iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Jamani kwa anayeweza kunisaidia kufungua apple account anisaidie maujanja ya kufungua bila kulipia maana ninejaribu kigumu gum imekataa nikienda kwenye email kufanya verification inaniambia user name incorect, atakayeweza kunisaidia kufungua bila malipo itakua poa sana
 
habari wakuu,natumia iphone 4 shida moja kubwa betri haikai na chaja pia hupata moto sana,kama kuna mtu anajua uvumbuzi wa hili tatizo naomba anijuze!
 
habari wakuu,natumia iphone 4 shida moja kubwa betri haikai na chaja pia hupata moto sana,kama kuna mtu anajua uvumbuzi wa hili tatizo naomba anijuze!

Betr Itakuwa Imechka Kuna Wadau Humu Wanaziuza Kama Spare Watakutafta Ama Nenda Kwa Fundi,pia Badil Charger Tmia Org ,
 
Jestkilla ndugu mm pia niko na iphone ila iko ugonjwa huo

Wewe si umefungua uzi kwa jukwaa umekoswa ufumbuzi?
Hiyo iPhone yako haiwezi kupatiwa ufumbuzi hapa maana huu Uzi unawahusu wenye iPhone zao halali hiyo yako ya kuuziwa mtaani nenda kwa aliyekuuzia akusaidie pascode pia pia uwe care sana km Ina iCloud ujue Itafuatwa na mwenyewe.
 
Mi natafuta hizo iphone zenye icloud namba yangu ni 0714648822
 
Hiyo i cloud lock inatoka tena kabisa, iphone zote zinazotumia ios 6 kushuka chini zina uwezokano wa kufunguliwa icloud kwa kutumia IMEI namba tuwasiliane 0714648822
 
Back
Top Bottom