Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
Bora ya 2011 thiet eeeeh dada
Ya 2016 toa pesa ununue iphone 7.
Bora ya 2011 thiet eeeeh dada
Bei zake zimekaaje mkuu na pia kiwastan yaweza kua sawa na tekno w3ukubwa wa umbo
Mkuu huwezi kusign out iCloud bila kuingiza iCloud password, kama ulikuwa na hofu hii kuwa free sasa
Vp akiiweka ile find my iPhone off itakuwaje?
Vp akiiweka ile find my iPhone off itakuwaje?
InawezekanaAcc yangu nimefungua kitambo mkuu
Kwani hivi sasa wanalazimisha lazima uwe na master/visa card?
Hebu jaribu kuacha blank hicho kipengele
Huwezi ku-sign out iCloud account bila ku-turn off Find my iPhone, pia huwezi ku-turn off Find my iPhone bila kuingiza iCloud account password.
Huwezi sign-out iCloud account bila kuingiza iCloud account password.
Hapo ndipo Apple walipotisha katika security ya iPhone devices.



Kumbe? Mimi ya kwangu iliibiwa nikaifunga lost mode halafu nikawa namtafuta mwizi wangu mdogo mdogo huku nikimtumia message kwenye ile simu, mbona aliirudisha mwenyewe?![]()







tafuta uzi wa tecno hapa ni watu wa iphone mbona unataka kuchafua hali ya hewa na hiko ki tecnoVipi simu hii ya tecno camon cx chaji na madhaifu yake wadau
Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
Vipi simu hii ya tecno camon cx chaji na madhaifu yake wadau
Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
Huwezi kuweka off find my iPhone bila kuingiza Apple ID na password piaVp akiiweka ile find my iPhone off itakuwaje?
Jest killa ujue picha yako ndio screen saver ya simu yanguKee kee kee kee kee ushapanic na povu la foma gold uza hyo sim we mbwa unatumia iphone 4 2017 we kenge tena mjanewenzio tuna iphone 7 sasa hv october tunachkua 7S nyau mtoto we af mtu mzima unakuja uliza kesi za 2010 hapa a
mie Dada baba ako ndo ananijua