Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,111
- 4,773
We comment yangu imekuuma nini? Kanunue tecno yako ya bei ya iphone panya buku we!Kwahyo iphone ndio umeona ni simu ya beighali tuu? Kweli ukiwa unakufa njaa hata funza utamuona km tambi
We comment yangu imekuuma nini? Kanunue tecno yako ya bei ya iphone panya buku we!Kwahyo iphone ndio umeona ni simu ya beighali tuu? Kweli ukiwa unakufa njaa hata funza utamuona km tambi
Dah,yaani vita OS imefikia huku.We comment yangu imekuuma nini? Kanunue tecno yako ya bei ya iphone panya buku we!
Mjinga huyo kati ya comments 900 kwenda kufukunyua yangu utadhani nimemwibia bwana ..anipishe!Dah,yaani vita OS imefikia huku.
Kweli watu mna mahaba kindakindaki.
Taratibu jamani.Mjinga huyo kati ya comments 900 kwenda kufukunyua yangu utadhani nimemwibia bwana ..anipishe!
Taratibu jamani.
We comment yangu imekuuma nini? Kanunue tecno yako ya bei ya iphone panya buku we!
Mimi nina iOS na android mkuu najua nikiandikacho, i phone natumia kwa mengine machache sana but android ndio naitumia almost kwa kila kitu, tatizo mnapenda show off, kuwa na iphone ushaona deal sana
Kwa lipi ambalo unadhani au kwakuwa unatumia iphone basi unaona ushamaliza kazi, iphone ni tofauti upande wa security tuu ila ukizungumzia uhuru wa kuitumia simu utakavyo iphone hovyo kabisa hala usikute unatumia iphone 3g
Security is my number 1 priority baba ake usipanik na kua friendly user hapa ndo kwao hyo 3G nimeitumia enz zile huna hata demu nimeitumia 3G mwaka 2008 mwezi wa 11.hapa nilipo nina iphone 7 zipo 2 moja nimeiweka tu kwa box pia nina almost gadget zote za apple from tablet laptop watch na vinginevyo huniambii kitu.Teamapple baby kila mwaka nahis nakua mtz wa kwanza kua na sim zao zikitoka hua sijali bei.
Kahongwe na wewe.Unajiona mjanja kuhongwa ka iPhone 4 hahahaha
Msaada kwa anaejua hii..nmejarib kusign in kwa account yangu kuna sehem nmefika imeniambia ivo maana yake nin?![]()
Wateja hawakutaki wasema u mchafu. Jiweke sawa unifate tena nikupasie upate senti za kuishiSiku hizi ile biashara hufanyi tena
Wateja hawakutaki wasema u mchafu. Jiweke sawa unifate tena nikupasie upate senti za kuishi
Usijali, safari hii nitakupa iphone 7 ila kapigwe bomba kwanza maana sitaki kuelea
Hahaa, unajiona mjaaanjaaaa wee una uwezo wa kunipa iPhone 4 tu achia mbali 7 wewe???? Lmao!!!! Kalale ukue akili uache ujinga!
Hahaa, unajiona mjaaanjaaaa wee una uwezo wa kunipa iPhone 4 tu achia mbali 7 wewe???? Lmao!!!! Kalale ukue akili uache ujinga!
Bye bitch!Ndio kawaida yenu mkihongwa mnaleta kashfa oooh ana kibamia, let 0713 upate iphone 7 mtoto usiwe na maneno ya kisiasa kwenye mambo ya mabizness na mabiashara