NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,723
- 2,317
Lakini je heshima unayopata kwa wewe unavyojiona unastahili ama ndo ile ukimilki gari kama vile mie kijijini kwetu naonekana tajiri lakini ukweli ninao moyoni....ahaaaa!!
Heshima haitokani na simu ila wao wametia adabu, baada ya kuona nmekuja kivingine kwenye huu ulimwengu wa technology. Last time nilikuwa na asus zenfon 2 .wakawa hawaielewi