Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Kwahyo iphone ndio umeona ni simu ya beighali tuu? Kweli ukiwa unakufa njaa hata funza utamuona km tambi
Ha ha haaa
Kwahyo iphone ndio umeona ni simu ya beighali tuu? Kweli ukiwa unakufa njaa hata funza utamuona km tambi
Karibia ya 85% ya watumiaji wa smartphone marekani wanatumia iphone na wengi wenye hzo status unazosema ww wanatumia window mobile kuliko iphone, halafu kumbuka watu wengi wenye status kubwa kuibiwa simu ni nadra sana kutokana na ukweli ulio wazi kuwa maeneo wanayojichanganya ni ya watu wenye almost the same status, pia kwa ustatus wao hawaogopi kuibiwa cmu cuz they can buy new one, pia km una bima ukiibiwa unapewa nyingine, hvyo hizo mambo za icloud zipo sana kwa nyie wa low status ambao mkiibiwa simu mpk kununua nyingine watoto hawali nyama mwaka mzima, kwanza watu wenye status kubwa simu zao haziwekwi password, mfano mzuri mimi, sijawahi weka pasword kwenye simu ya na sifikirii na sijawahi ibiwa simu
Hii yangu tofauti mkuu.. option inakuwepo ila once napo insert line ya hao jamaa wa halotel inapotea...nikirudisha line ya vodacom options zinarudi
In which criteria brav?, acha kukariri joh, fanya research yako vizuri
Halafu jitahidi kuwa specific, usipende kutumia general conclusion kwenye vitu vyenye changamoto
Kwahyo iphone ndio umeona ni simu ya beighali tuu? Kweli ukiwa unakufa njaa hata funza utamuona km tambi
Wee ni me au ke?Bei kaulize kariakoo sio hapa soma kichwa cha thread na ndio mana sim za apple mnaona pasua kichwa kutumiamana hamjielewi
Wakuu habari naomba kujuzwa bei ya iphone 6used iliykatikahali nzuri na pia je nimewahi tumia iphone 5s tu .je hii iphone 6 ni kubwa kuliko 5s kwa upanana size ya kioo ?Na pia inapata update iliypo sasa hivi
Msaada i phone yangu 4s gb 32 nyeupe haina mchubuko betri inapata moto sana ukiwasha data hasa ukiwa unatumia afu betr halikawii kwisha alafu ukichaji ikiwa inawaka haiingiz mpaka uzime sasa naomba kujua yafuatayo
Nataka kujua bei ya betri na ya fundi
Maeneo gan naweza pata hyo huduma ikiwa tatzo ni betr
Kwa sababu hupitia kwako kuja kukuhemea.Muulize baba ako why anarud kwenu saa nne kila siku.??
iPhone 5s
Kijivu,
nyeusi,
rose gold,
nyeupe,
mwenye kujua wapi zinauzwa mpya kwa hapa bongo, ( dar es salaam )
Anijuze nahitaji kununua hiyo simu.
Kwa sababu hupitia kwako kuja kukuhemea.
Oooh yeah thats Great my dear
Anajua kukutia vzur kwel
Taratibu jana hili ni jukwaa la tech na sio mipashoMuulize huyo apo juu why wanalalia maharage na mchicha kila siku baba anaacha 2k mezani .??
Aiseeee we utakua ndugu yangu, masibhotaa! Karibu Kyerwa
Iphone haifananishwi na mbwa wengine achana nayo kabsaa
Ushaanza tena kifo vs iphone we kweli team android af umeingia huku choo cha....