Introverts Vs Relationship

Introverts Vs Relationship

Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko na vita vya Corona. Ninakuja mbele zenu kuomba kujua kuna changamoto gani ambazo watu wa ndani ( introverts) wanazipata wakitaka kuanza mahusiano na jinsi gani wanaweza kuzishinda ukizingatia personality yao inawafanye wawe waoga kiunteract na watu wengine. Nawasilisha !

Sent using Samsung Galaxy A7 (2018)
Wenye hio trait wanaongoza kwa puchu

Seek respect, not attention. It lasts longer
 
Kudate na introvert yahitaji moyo
Kikubwa
Hahah once nilikuwa introvert coz mazingira niliyolelewa we enjoyed to stay indoors ukitoka shule ni ndani hulazimishwi ila unajikuta tu utalala,utasoma vitabu,utachora mpaka unashangaa muda hautoshi.

Siku moja nipo school kuna mdada nilikaa nae jirani alikuwa ni charming sana na famous nilivutiwa nae sana coz alikuwa anaanzisha mazungumzo naenjoy kumsikiliza na kutikisa kichwa hahitaji nichangie mada na akienda out weekend au sherehe yoyote anakuja na picha na zawadi na story za visa kwa sherehe😁😁 hapo nikagundua i need an Extrovert ili nipate raha so nikawa najitahitadi kuwa smart muonekano and cool basi micharuko (extrovert) ndo wapenzi wangu na nafurahia sana japo wivu ni mwingi coz wanavyofahamiana na watu wengi sana mpaka nachoka kufatilia na mnaweza enda sehemu unakuta watu wanakujua wewe huwajui kumbe alikutambulisha zamani sana wewe hujui so napata surprise nyingi sana kwa hawa
 
Kudate na introvert yahitaji moyo
Kikubwa
Sasa kama huyu niliye nae mpaka outing sehemu gani twende anapanga mpaka cha kuvaa na kula mi nitatoa hela tu yaani mimi ni mpenzi mtazamaji na ananijua napenda nin na nikichukia anajua so ni anajiongeza sana coz kuna muda nakuwaga kimya sijisikii kuongea na mtu atakuja atakaa anakuangalia tu mpaka utakapoona kama unamtesa hivi ndo unamwongelesha kidogo na kumtania hapo ndo umefungulia maongezi😁😁

ila introverts kuachika ni nje nje coz mawasiliano ni hafifu waweza msalimia mpenzi afu ndo ukaishia hapo baada ya salama mpaka kesho so unaonekana ka hueleweki hivi au haujali au uko selfish sana
 
Sasa kama huyu niliye nae mpaka outing sehemu gani twende anapanga mpaka cha kuvaa na kula mi nitatoa hela tu yaani mimi ni mpenzi mtazamaji na ananijua napenda nin na nikichukia anajua so ni anajiongeza sana coz kuna muda nakuwaga kimya sijisikii kuongea na mtu atakuja atakaa anakuangalia tu mpaka utakapoona kama unamtesa hivi ndo unamwongelesha kidogo na kumtania hapo ndo umefungulia maongezi

ila introverts kuachika ni nje nje coz mawasiliano ni hafifu waweza msalimia mpenzi afu ndo ukaishia hapo baada ya salama mpaka kesho so unaonekana ka hueleweki hivi au haujali au uko selfish sana

Haha eti nje nje , ni kweli maana kwenye mahusiano kikubwa ni communication ndo kitakacho saidia mambo yaende

Nilitoka na mwanaume introvert yaani mambo yalikuwa magumu nikashindwa hiyo ya mimi kumuanza mwanaume

sipendi hivyo mwisho wa siku unaona huyu hanipendi kumbe mwenzako yupo na yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom