Introverts Vs Relationship

Introverts Vs Relationship

Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko na vita vya Corona.

Ninakuja mbele zenu kuomba kujua kuna changamoto gani ambazo watu wa ndani ( introverts) wanazipata wakitaka kuanza mahusiano na jinsi gani wanaweza kuzishinda ukizingatia personality yao inawafanye wawe waoga kiunteract na watu wengine.

Nawasilisha !

Sent using Samsung Galaxy A7 (2018)


Tuanze na wewe kwanza, una matatizo gani maishani ya kutopata wanawake wa kujamiana nao?
 
Wakitaka kuanza mahusiano inawawia vigumu sana kuchukua hatua ya kwanza hasa kwenye kutongoza ni midomo zege!,Ni watu wenye hofu kuichukua hatua yoyote ile bila kuona usahihi wa yeye kuichukua hatua husika! Ni logics people so kufikia maamuzi kitu kimepangwa kikapangika!.

Wanakuwa disappointed ama wao wenyewe au watu waliomzunguka kutokana na ugumu walionaokuichukua hatua hiyo wengine huwaona kama si binadamu aliekamilika so husemwa vibaya sometime na yakimfikia hujisikia hovyo na huenda akaacha jambo husika.

Tabia pia za mhusika huenda zikamkwaza asichukue hatua ya kuamua kuingia kwenye mahusiano!

Let's say yeye ni mpole ila anatokea kumpenda mtu mwenye gubu,kukurukakara aisee hawapendi hivi.. wao wanapenda utulivu na maelewano.

Kutokuwa karibu na watu huwaleteleza kuwa na aibu,kutokujiamini mbele ya watu hasa jinsia iliyotofauti nae so hayo yanaweza mpatia ugumu ktk kutongoza n.k

Mkuu moja ya usuruhishi wa tatizo ni kulitambua tatizo introvert husubiri mahusiano ila pindi yafikapo huruka mbali

Akiweza tambua kuwa ili kupata ushirikiano na watu na kujiongezea kujiamini ni lazima ashiriki na watu hili litamfanya awazoee watu,maana kwanza introvert wana akili nyepesi ya kutambua na pia inaweza mrahisishia kupata mwenza humohumo kutokana na mazoea n.k

Nadedaga Lolo
Chizaa gete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww n wa shy
Wakitaka kuanza mahusiano inawawia vigumu sana kuchukua hatua ya kwanza hasa kwenye kutongoza ni midomo zege!,Ni watu wenye hofu kuichukua hatua yoyote ile bila kuona usahihi wa yeye kuichukua hatua husika! Ni logics people so kufikia maamuzi kitu kimepangwa kikapangika!.

Wanakuwa disappointed ama wao wenyewe au watu waliomzunguka kutokana na ugumu walionaokuichukua hatua hiyo wengine huwaona kama si binadamu aliekamilika so husemwa vibaya sometime na yakimfikia hujisikia hovyo na huenda akaacha jambo husika.

Tabia pia za mhusika huenda zikamkwaza asichukue hatua ya kuamua kuingia kwenye mahusiano!

Let's say yeye ni mpole ila anatokea kumpenda mtu mwenye gubu,kukurukakara aisee hawapendi hivi.. wao wanapenda utulivu na maelewano.

Kutokuwa karibu na watu huwaleteleza kuwa na aibu,kutokujiamini mbele ya watu hasa jinsia iliyotofauti nae so hayo yanaweza mpatia ugumu ktk kutongoza n.k

Mkuu moja ya usuruhishi wa tatizo ni kulitambua tatizo introvert husubiri mahusiano ila pindi yafikapo huruka mbali

Akiweza tambua kuwa ili kupata ushirikiano na watu na kujiongezea kujiamini ni lazima ashiriki na watu hili litamfanya awazoee watu,maana kwanza introvert wana akili nyepesi ya kutambua na pia inaweza mrahisishia kupata mwenza humohumo kutokana na mazoea n.k

Nadedaga Lolo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiufupi Intros hawajaumbiwa mapenzi!! Maana hawayawezi
Angalia real introvert kama Yesu, Tesla, Newton, Da Vinci, nk nk hawakua na wapenzi.
Usimweke YESU katika hiyo list ya wavuvi...
 
Hivi Diamond ni introvert? Naomba km kuna mifano halisi kwa public figures tuwafahamu
 
Introverts kundi la phlegmatic ni wakimya mno na huwezi kujua kama wamekasirika au wamefurahi . Wanaweza kuwa wananyanyasika bila kusema . Kwa kifupi they are too dull .

Introverts kundi la melancholics siyo waongeaji lakini unaweza kuwatazama usoni ukajua kiwango chake cha furaha au hasira . Mara nyingi ni kundi la watu wanaolenga kwenye ukamilifu ( perfectionists ) , sasa changamoto ni kwamba hakuna mtu asiyekuosea ; nd'o maana wakikosea wao hawawezi kujisamehe na akikosea mwenzie hawezi kusamehe , kwa hiyo ni watu complicated ingawa ukiwaelewa huwa ni wakarimu mno na ni waaminifu na wenye vipaji vikubwa vya akili , utunzi na uvumbuzi .

Naomba kuwasilisha .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli umenisema kama nilikuhadithia nilivyo... .I'm melancholics
 
First of all, we don't know how to approach. Huwa tunapata muda mgumu sana katika kutongoza labda mpaka tupewe pasi ya kisigino mbali na hapo huwa tunaishia kufa na tai zetu shingoni kwa sababu ya uoga kama wasemavyo watu ingawa siyo kweli bali huwa tunafanya risk assessment eg nitaonekanaje nikikataliwa? etc.

Second of all, most women take us for granted since we do really love ( When we love, we do really love ). However, as you know, everything must be limited, upendo ukizidi huwa unaleta kero. Hivyo katika mahusiano hili nalo ni tatizo kubwa sana.

Further, huwa hatufanyi maamuzi ya haraka hata siku moja. Kwa sababu huwa tunahuruma sana na hofu ya kwamba tutaonekanaje kwa jamii endapo tutafanya hivyo.

Pia, huwa hatupendi kuchangamana na watu wengi. wakizidi wawili tu inakuwa ni tabu kwa introvert kwa sababu hautoona anachangia hata siku moja( Hivyo watu wanaweza kukufikiria kwamba unaringa). Pia kutokana na kuwa hivyo unaweza sababisha mwenzako(mpenzi wako akaboreka na kuchukia). Huenda huko alikokuwa alikuwa na mtu ambaye ni comedian. leo hii kakutana na mtu ambaye haujui u-comedian.

Kadhalika, katika reasoning na kutoa good and reasonable decisions tuko vizuri sana kwa sababu huwa hatukurupuki hata kidogo.

Mwisho, extroverts huwa wanatuchukulia au wanatuona kama wadhaifu sana mfano katika mahusiano kama mwanamke akizingua huwa hatuna maamuzi ya haraka. Hapo sasa ndipo wanatuona kama wadhaifu.
 
Tatizo binamu yangu amekariri definition. Enzi hilo neno linatafsiriwa hakukuwa na mitandao kama jamiiforums, ingekuwepo wakati huo bila shaka wangefafanua
introvert ninaemfahamu mimi hana aibu wala hana tatizo la kutokujiamini. Enzi za chuo, muda pekee utakaomuona akiongea ni wakati wa presentation. Na hapo ndio atakushangaza kwa uwezo wake wa kupresent kwa kujiamini. Tofauti na hapo, hautamsikia tena. Group la darasa aliandika text mara moja tu ndani ya miaka sita niliyokua humo. Nyinyi wengine mnasumbuliwa na aibu tu na kutokujiamini hehee!
 
introvert ninaemfahamu mimi hana aibu wala hana tatizo la kutokujiamini. Enzi za chuo, muda pekee utakaomuona akiongea ni wakati wa presentation. Na hapo ndio atakushangaza kwa uwezo wake wa kupresent kwa kujiamini. Tofauti na hapo, hautamsikia tena. Group la darasa aliandika text mara moja tu ndani ya miaka sita niliyokua humo. Nyinyi wengine mnasumbuliwa na aibu tu na kutokujiamini hehee!
Mimi sina aibu hata kidogo binamu,naweza kusimama nikaongea au nikaimba mbele ya kundi la watu.
 
Haha..
Kwani nani alikuwa anapenda debate..?

Kuna siku nikaweka hudhuru ya makusudi ticha akaona isiwe tabu jina langu likawekwa mwishoni kabisa nikijua limetolewa halafu kwenye hudhuru sikwenda ila akili ilinicheza kwamba bado nipo kwenye listi ya waongeaji nikawa nimejiandaa kabisa😂

Nilivyoitwa tu watu waliangua vicheko😂
Ile ilikuwa ni adhabu sema kweli dah!

Nikienda mbele kutizama watu ni zoezi gumu ila nikae nyuma kelele nyingi kweli..

Itabidi watuzoee tu hakuna namna..


Kumbe wewe pia ni introvert?
 
Kutifuana kivipi wakati hatutaki shida? si unapotezea ukiona huwezi vumilia? Binafsi naona wanaume ambao sio intro wanapata tabu sana kwa kuwa driven na wanawake na kulia lia kila mda na ndo hao wanajinyonga lakini sio sisi intros,yaani mwanamke anikosee afu nimbembeleze? haijawah tokea..hata tabia za kubembelezana na kudeka deka hatupendi kabisa
Sehemu nayoishi mm huwa wananiogopa maana mm ni salamu miendo/ndani sina stor sijui na wanawake au washkaji wa hovyo hovyo hapana,tuko selective na marafiki mara nyingi wanakuwa very few
Aina hii ya maisha imeniepusha na ugomvi na mabalaa mengi wanayopata watu wanaopenda kuchangamana,kugombana kwao ni nje nje nk nk
Hahaha..yaani naongelea mwanaume introvert na mwanamke extrovert au mwanaume extrovert na mwanamke intovert
Unakuta una mtu yaani akianza kuongea lawama anaweza ongea saa Zima ..wewe upokimya..
Unaweza kukaa siku nzima hujamtafuta mtu kutokana na kazi na ukaona normal lakini mwenzio Hilo kwake Ni kosa..kwa hiyo shida huja hapo
 
sawa jamani, nimekubali nyinyi ni maintrovert. Kiroho safi binamu!
Mimi sijalazimisha kuwa ni introvert ila nikiangalia yanayosemwa kuhusu hao watu mengi yananihusu ndio maana nilisema unitafutie jina unanipa jina bayaaa...upande wa aibu mimi nakataa sijawahi kuwa na aibu hata kidogo hadi kuna rafiki yangu alikuwaga ananisema eti mwanamke unakuwaje na macho makavu hivyo😂😂😂
 
Haha..
Kwani nani alikuwa anapenda debate..?

Kuna siku nikaweka hudhuru ya makusudi ticha akaona isiwe tabu jina langu likawekwa mwishoni kabisa nikijua limetolewa halafu kwenye hudhuru sikwenda ila akili ilinicheza kwamba bado nipo kwenye listi ya waongeaji nikawa nimejiandaa kabisa😂

Nilivyoitwa tu watu waliangua vicheko😂
Ile ilikuwa ni adhabu sema kweli dah!

Nikienda mbele kutizama watu ni zoezi gumu ila nikae nyuma kelele nyingi kweli..

Itabidi watuzoee tu hakuna namna..
Mimi debate nilikuwa nashiriki vizuri kabisa na nikipangwa naparticipate vizuri sema hadi nikukubalie kushiriki ufanye kazi
 
Back
Top Bottom