Introverts Vs Relationship

Introverts Vs Relationship

Introvert + Introvert hii wala haiitaji mbwembwe.. ndg intro + extro mmh..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kweli shida huyu anapenda mtoko huyu hapendi. Mmoja anajichanganya mwengine anapenda mkae nyie tu wawili. Au kuna muda wanakuwa wakimya kama umemuudh kumbe hamna shida kabisa, badae akisha charge akiwa full yy anakuchangamsha. Ila ukishamjua haikupi shida, unampa ka space kidogo akiwa yy na ww unakuwa ww then u meet n enjoy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yamenifika hapa introvert tunaonewa sana! Kuna demu alikuwa mpaka ananifundisha kumuomba uchi😂😅
Alijua udhaifu wangu live to live siwezi ongea ila kwa sms dah! Nilikuwa namkalisha mpk ananipigia niseme hayo maneno niliyokuwa namuandikia!

Hapo ndo kazi ilipokuwa😅😅

Mtu naongea nae kwenye simu lkn Yale maneno hakuna!.

Nilipata tabu! Anajua kabisa nachokitaka ila omba yangu sasa ni tumaneno tuwili tu nimemaliza ila yeye anataka nianzie mbali Mara hivi Mara vile,Tena kwa kuongea!

Msiwe mnatufanyia hivi nyie wadada tueleweni tulivyo.. kizungumza wengine tabu kidogo,dodoso moja la pili linatosha.
Na nyinyi extrovert msiwe mnawajaza maneno hawa wadada mnatupa kazi kuja kuyapangua na vile kuongea mnatuzidi ni mtihani kwelikweli..
 
Real intro ni waoga wa kuumia so they defend themselves sooo much hii inaleta shida nyingi kwenye uhusiano.
They calculate the future soo much mpaka wanasahau kuiishi leo.
True, inakuwa unajihami hami sana. Wasi mwingi, hofu ya yaliyokukuta kutokea tena. Ila ulimwengu unakufunza. Unapata wanaokupenda unawakwepa, with time unajifunza ku relate nao bila kuweka hisia then comes a time una nasa tena and we are good at typing njoo face to face.
We love the space.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mujunwa, Well explained, nothing to add. My wife and I are in this group. It was even hard to believe if I was really gonna marry now, and she was also worried. Ups and downs zipo ila quickly fixing is important. Na kuna muda unakuta tupo pamoja hatuna story kabisa yani mtu akija anaweza hisi tumegombana, ila kwa sababu ni kweli kuna muda vitu vya kuongea vinaisha. Once dated extrovert nilikuwa napata shida, two different worlds. Hakuelewi, anasema napenda kunyoosha vitu. Office then home, it is fun though ukijijua na kumjua mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaweza,lakini muda mwingine ni ngumu sana...hata akibadilika hawezi badilika completely,lazima baadhi ya tuchembechembe tubaki

Sawa na mtu mwongeajji aliezoeana na watu ,anaweza kuwa mkimya?,mfano mpoki (yule mchekeshaji)
Ukijitune unaweza kubadilika, kuwa kimya kabisa inawezekana.....
 
anapenda kukaa room kwake peke ake, hapendi chats , kumuona mpaka umfate, yani anaishi kivyake tu japo mimi nili change kwa ajili yake lakini mwisho i had to let go


Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini tupo hivyo, nyumbani nilihakikisha chumba changu kina kila kitu, meza ya PC, TV, DVD, PS3, sometimes even drinks and snacks, siku sina mishe naweza hata kibarazani nisifike. Watu wakija niulzia mwanzo walkuwa wanaambiwa sipo, walivyonzoea wakawa wanakuja niambia kama nina mgeni au la. Shule, watu wakitoka naweza kuwa was mwisho au naenda ila nawahi kurudi nakuwa class muda mrefu. Nna rafiki yangu mmoja alikuwa anantania usipende kukaa peke yako peke yako utajinyinga bure. ila kuna muda tukijichanganya tunawazoea wachache na huwezi jua kama ni wakimya hivyo. Wacheshi pia, na tuko na ujinga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niwaambie wawafanyie wepesi

Mimi mwenyewe Nina vijitabia vya uintrovert..
Yaani Ni ngumu Sana kuendana na mtu extrovert

Sent using Jamii Forums mobile app
Extrovert wanapenda kujionyesha wale

Hasa wakikujua mpole utapata tabu.

Mi najua kudilinao sahivi lkn ndo vile siwezi jificha mambo yote😂

Mimi nawapenda extrovert hasa mara nyingi kundi la chorelic najikuta naelewana nao sana ila wana tutabia situpendi wamekaa kifaidafaida tu! Ukizubaa unaweza uzwa hata wewe 🤣 natania (ila nawafahamu vilivyo ngumi njenje!) Na wachapa kazi..

Sanguine hawa nao nawaelewa Sana tu hata kumgundua ndani ya muda mfupi naweza.. Sasa hawa ndo watesaji wangu😂

Wananinyanyasa kwenye maneno ktk kuongea nashukuru kwenye kuandika wengi wao hawaoni ndani.. Natia ushairi mpaka mtoto anakolea sasa tutoke kwenye kuandika njoo jicho to jicho😅😅

Dah! Siongezi
 
Haha eti nje nje , ni kweli maana kwenye mahusiano kikubwa ni communication ndo kitakacho saidia mambo yaende

Nilitoka na mwanaume introvert yaani mambo yalikuwa magumu nikashindwa hiyo ya mimi kumuanza mwanaume

sipendi hivyo mwisho wa siku unaona huyu hanipendi kumbe mwenzako yupo na yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha true, mm na yy wote intro. Ila tunajuana. Nikaa kimya sana, ananichokoza kwa kunisemesha au kunigusa. Najua anajaribu hakikisha kama sijakasirika, na mm akikaa kimya na mwangalia tu uso namjua. Ila kazi kama mtu hawezi tuelewa na kweli unaona kabisa unamtesa na kumpangia mtu. Mwenzio anataka akienda out awe na watu wake, unaenjoy tu kiwepo mahali pale pawe na watu au la. Club unaweza enda hata kama wako watu wachache, unaenjoy music na kuwa tipsy kidogo ila bila bugudha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom