Introverts Vs Relationship

mbn kama unanisema mimi
 
hat mm kuna muda nazipa tym kuzisoma na kujibu nkishaona na kuelewa content

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True, wanashangaa hau respond kama wanvyo expect, hard to cheat cc. Wazito kutongoza n ths mks them think we fake true. Na wengine huwa bored n ss kuwa nice guy, some women want mikiki hata km ukiowa extrovert anaweza expect makofi akikuznguwa ila anashangaa politeness

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Used to go solo tu, raha. No explanations needed to anyone. Ts y I sometimes loved to go out alone. My blth music bx, some beers to the shore. Jst loved tht vibe, na sishuki kweny gari


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mimi ikifika jioni mama huwa anakuja kunitoa chumbani ananiambia niende nikae japo sebuleni.
Halafu Mimi huwa nakuwa comfortable tu kukaa room siku nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali niliwahi kuishi kwa miezi mitano, tunapishana na watu ndani ya nyumba lakini kamwe hawakuwahi kujua jina langu mpaka naondoka!

Walikuwa wananiita tu "we kaka". Baada ya hapo nayeyuka kama barafu! Kimyaaaa kama nimekufa!

Nilikuwa nanunua mavyakula ya kusindika na kukausha naweza kukaa ndani hata wiki mbili watu wasinione!

Nadhani nilivyoondoka walihisi mimi ni jini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ati walihisi wewe Ni jini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa, mm hata utoton walijua nisipo kwepo home. Wananikuta kwa nani, hadi siku mshuwa kafariki wanakuja nichkuwa kwa rafki yangu nierudi home when I was 12 walikuja straight na nlikuwa siagagi, house boy akasema yani mm najua wapi unakwepo hata usipoaga. Na hadi let ofsin niko close na wachache but story na weng nlowazoea, home alikuwa mmoja ila sahz na yy nmekata hadi kashazoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ni Introvert Sanguine, unaweza kuimagine nafananaje. Vile ninavyoshindwa mkusanyo wa watu ndivyo ninavyoweza kuwa entertainer.
Kitu watu hawajui ni kuwa Siwezi himili physical mkusanyiko kabiiiiisa, digital hivi niko poa kabisa! Hata muwe 100 at per.
Nina marafiki lukuki kimtandao, kila ikitakiwa tuonane mimi nakwepa kabisa
Sijawahi enda disco
Siendi harusi, matamasha haya ya wanawake, sijui kongamano la kidini, kitchen[arty wala sherehe , siwezi tuu!
Naweza kuwa likizo siku 28, na zote nikazimaliza nikiwa ndani!
Ninaandika mno kuliko kuongea.
Napenda watu wakiwa mbali sio wanisogelee!

Nina kajina jina huko mtandaoni, watu huamini mi ni mtu wa watuuuuuuuu vile naaandika sana na kuinteract nao kimaandishi!
Najijua ni Rafiki ninayebore usiponizoea!
Sioni shida kabisa kukaa thearte peke yangu naangalia movie hata mbili mfululizo peke yangu!
na sioni upweke kabiiiisa!
Nyumbani kwangu tunakaa mimi, mume wangu, dada na watoto.
Vile huandika sana, naaminika ni muongeaji sana.
Kitu sicho kabisa, Inasumbua mno!
Shuleni huko nilikuwa nasingiziwa vitu mpk dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…