Introverts Vs Relationship

Introverts Vs Relationship

Na mimi nahisi Niko na introvert kwa maisha niliyo nayo au baada ya vyuma kukazaa nimekuwa mtu wa indoor sana kwa kipindi hichi yaani
 

Usinivunje mbavu zangu mimi.

Ujue una kipaji Sana Wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha! Niliambiwaga hivyohivyo ati unakipaji nikaenda kukipajisha kilichonikuta sikumbuki meno yangu mawili ya mbele yaliwezaje kudondoka kwa sekunde moja tu wakati nayaaminia lkn yalikutana na binadamu alienzisha ule usemi mwana kulitaka mwana kulipata!

Hayo ya vipaji kaeni navyo nyie tu binafsi nimestaafu na mapengo yangu mawili yamebaki kama kumbukumbu au mafao ya kustaafu.
 
Haha! Niliambiwaga hivyohivyo ati unakipaji nikaenda kukipajisha kilichonikuta sikumbuki meno yangu mawili ya mbele yaliwezaje kudondoka kwa sekunde moja tu wakati nayaaminia lkn yalikutana na binadamu alienzisha ule usemi mwana kulitaka mwana kulipata!

Hayo ya vipaji kaeni navyo nyie tu binafsi nimestaafu na mapengo yangu mawili yamebaki kama kumbukumbu au mafao ya kustaafu.

Acha kunichekesha tafadhali
Nacheka kama mjinga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Acha kunichekesha tafadhali
Nacheka kama mjinga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mi nakujibu we unaona vituko!!
Hilo halikutosha sikukoma kuna siku nilikutana na binadamu huyo nafikiri ni professional wa kung'ata!
Alining'ata kwenye kisogo walahi nisinge piga kelele angeniuwa yule mpuuzi maana ngumi zangu alikuwa hasikii ila ile uma yake hapo ndo nikajua Yule aliesema ubinadamu kazi alikuwa anamaana kama hii inayonikuta hapa
 
Dah! Mi nakujibu we unaona vituko!!
Hilo halikutosha sikukoma kuna siku nilikutana na binadamu huyo nafikiri ni professional wa kung'ata!
Alining'ata kwenye kisogo walahi nisinge piga kelele angeniuwa yule mpuuzi maana ngumi zangu alikuwa hasikii ila ile uma yake hapo ndo nikajua Yule aliesema ubinadamu kazi alikuwa anamaana kama hii inayonikuta hapa

Acha Basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom