Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,410
Hayupo kwenye huo ufuska muache apume mbona umemng'ang'aniaaa?Karucee usimtee bazazi!
Mndengereko umemuhonga nini kwini wa jango?
Hayupo kwenye huo ufuska muache apume mbona umemng'ang'aniaaa?Karucee usimtee bazazi!
Mndengereko umemuhonga nini kwini wa jango?
Mashaxizo mbona unaniweka kwenye team ambayo sihusiki bana mi team yangu ni [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamrafiki]#teamrafiki [/URL]
Mkuu sina Mashaka nawe!
Hofu na mashaka yote kwa Mndengereko! Kamati iundwe, jamaa uewenyekiti wake unakuwa chini ya memba wa #teamrafiki ambaye hajawahi kuwa bazazi!
Mkuu Excel tunauangalia usajili wako kwa makini maanaunaonekana unaleta dharau ambazo kwetu hakuna kitu kama hicho
#teamrafiki haina shida ya kifedha na wala haihitaji wenye uwezo na dharau kama wewe kuwa miongoni mwao ila tunahitaji watu ambao wanaqualify kuwa marafiki nawasiokuwa na chembe ya kumuona mwenzake hana maaana
Kwetu watu wote ni sawa hakuna ubaguzi wa kifedha au kihali ya maisha
So kuwa makini sana
cc Mndengereko, utafiti, Tized, Ntuzu,
Mkuu Excel tunauangalia usajili wako kwa makini maanaunaonekana unaleta dharau ambazo kwetu hakuna kitu kama hicho
#teamrafiki haina shida ya kifedha na wala haihitaji wenye uwezo na dharau kama wewe kuwa miongoni mwao ila tunahitaji watu ambao wanaqualify kuwa marafiki nawasiokuwa na chembe ya kumuona mwenzake hana maaana
Kwetu watu wote ni sawa hakuna ubaguzi wa kifedha au kihali ya maisha
So kuwa makini sana
cc Mndengereko, utafiti, Tized, Ntuzu,
Ntuzu wacha masiara yako!
Mashaxizo yuko pure kama maji ya bahari! Mashaxizo na ubazazi ni kama pilau na Mrenda, hata Mndengereko anatambua hilo!
we dogo mbona una kiherehere hivyo! kusajiliwa kwenyewe bado... fomu hata kuprintiwa bado!
mbona unachonga saaaaana! lol! i bet, you will be the reason for the fall... eenh!
ntake radhi ndugu ,ntake radhi ndugu, ntake radhi ndugu.Aaaka! Hapa itabidi iundwe kamati ya uchunguzi! Mdengereko una ubia na vyupi!
...
Cc Mr Rocky
hahahaaaa!!! ngoja nione ninavyopigwa aisee!! unaijua NAM mr rocky?
Tushamuelewa nia yake huyu mkuu Ntuzu ni kupinga kila kitu na bado ana uanachama na #teambazazi
ntake radhi ndugu ,ntake radhi ndugu, ntake radhi ndugu.