Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

good for you dude.. iam in the non alignment movement... i can get help from anywhere! lol!
bado hatujathibitisha kwamba tutakuwa tunawasaidia watu waliopo mlengwa wa kati ama la,so usifurahi saaaana.
 
Hakuna cha 'NAM fan' wala nini, wewe ni bazazi! Usepe mwenyewe kwenye team yetu (#teamrafiki ) kabla sjangulia mbwa!

we dogo mbona una kiherehere hivyo! kusajiliwa kwenyewe bado... fomu hata kuprintiwa bado!

mbona unachonga saaaaana! lol! i bet, you will be the reason for the fall... eenh!
 
bado hatujathibitisha kwamba tutakuwa tunawasaidia watu waliopo mlengwa wa kati ama la,so usifurahi saaaana.

lazima hio sera iwepo... la sivyo urafiki hautokuwepo kabisa..... NAM muhimu! NAM inaleta uhuru....
 
we dogo mbona una kiherehere hivyo! kusajiliwa kwenyewe bado... fomu hata kuprintiwa bado!

mbona unachonga saaaaana! lol! i bet, you will be the reason for the fall... eenh!

aikupe shida wewe na ndugu yako Mashaxizo wote hamjasajiliwa hata uanacahama wa muda wa #teamrafiki na wala atuitambui NAM ni kitu gni so asikupe shida.
 
Last edited by a moderator:
aikupe shida wewe na ndugu yako Mashaxizo wote hamjasajiliwa hata uanacahama wa muda wa #teamrafiki na wala atuitambui NAM ni kitu gni so asikupe shida.

mi mwenyewe nashangaa!

mi najua matatizo yote ya kifedha kwenye timu yenu ntayamaliza mimi, hamna mwenye uwezo kati yenu...

chama kitakufa bila mimi aisee!!
 
Back
Top Bottom