Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Last edited by a moderator:
aikupe shida wewe na ndugu yako Mashaxizo wote hamjasajiliwa hata uanacahama wa muda wa [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=team]#team rafiki[/URL] na wala atuitambui NAM ni kitu gni so asikupe shida.
mi mwenyewe nashangaa!
mi najua matatizo yote ya kifedha kwenye timu yenu ntayamaliza mimi, hamna mwenye uwezo kati yenu...
chama kitakufa bila mimi aisee!!
hivi kusaidia timu kama mfadhili tu wa kawaida ni makosa? mbona wengine wanaishi hivi?
mi mwenyewe nashangaa!
mi najua matatizo yote ya kifedha kwenye timu yenu ntayamaliza mimi, hamna mwenye uwezo kati yenu...
chama kitakufa bila mimi aisee!!
Mndengereko usitumie counter attac kujikinga, just confes na utubu ili tuwe pamoja ktk timu yetu maridhawa! Nafasi yako ni ya kudevelop tu na wala bazazi hawezi kuwa muasisi wa #team rafiki!
hahahaaaa!!! ngoja nione ninavyopigwa aisee!! unaijua NAM mr rocky?
Hayupo kwenye huo ufuska muache apume mbona umemng'ang'aniaaa?
Hatutaki maharibiko ktk timu yetu (#teamrafiki) thus why mabazazi kama wewe na Mndengereko either mkubali kama mlikua mabazazi na mtuhakikishie mnaacha mara moja or mbaki huko huko!
Knick knack, paddy whack
Give the dog a bone
Give the dog a bone
And he'll find his way home
Wacha NAM tulioona NATO na Warsaw Pact zikipita wala NAM yako haitishii nyau mkuu Excel
Tushamuelewa nia yake huyu mkuu Ntuzu ni kupinga kila kitu na bado ana uanachama na #teambazazi
i miss you by the way sijakutia machoni siku mbili nzima.
i see u around nakutega nione kama unaendelea kutongoza?
ukiwa NAM maana yake unakuwa na chembechembe za ubazazi kitu ambacho hatukitakilazima hio sera iwepo... la sivyo urafiki hautokuwepo kabisa..... NAM muhimu! NAM inaleta uhuru....
Mkuu Excel tunauangalia usajili wako kwa makini maanaunaonekana unaleta dharau ambazo kwetu hakuna kitu kama hicho
#teamrafiki haina shida ya kifedha na wala haihitaji wenye uwezo na dharau kama wewe kuwa miongoni mwao ila tunahitaji watu ambao wanaqualify kuwa marafiki nawasiokuwa na chembe ya kumuona mwenzake hana maaana
Kwetu watu wote ni sawa hakuna ubaguzi wa kifedha au kihali ya maisha
So kuwa makini sana
cc Mndengereko, utafiti, Tized, Ntuzu,
hivi Mr Rocky na ndugu Ntuzu.. kuna kosa gani endapo timu hii ikipata mfadhili tu mzuri ambae ataiwezesha timu kuwa strong?
hamuoni kwamba ntakuwa wa manufaa sana kwenu?
nimeomba organization structure... mpaka sasa naona kimya tu![/QUOTE
Mkuu Excel wenye organizationstructure ni #teambazazi sisi tunaishi kindugu hatuhitaji kuwa na mwenyekiti sijui katibu wala nini
Wapo waanzilishi wanaofahamika na tunawapa heshima yao tuu ila wote ni ndugu hakuna mwenyecheo anayepaswa kuheshimiwa sana wala mdogo au asiyepaswa kuheshimiwa au wakupokeaamri tuu
cc Mndengereko, utafiti, Tized na Ntuzu