and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,218
- 39,701
- Thread starter
- #81
Watu waache uvivu wakafanye kazi
Mmoja waoPoor you. Huwezi ku-understimate role ya inspirational speakers. Jamii ina matatizo mengi mengine yakiwa ni Uvivu, Ugonjwa wa akili na Sonona etc. Hawa watu wanastahili kupewa message ya kuwakumbusha kuwa hawajachelewa to be what they wanna be. Inspirational speak wengi huja ku-share skills zao na perception kuhusu maendelo or Jinsi ya Kujikwamua. Lakini kwa Akili yako ndefu na Pana, Umewaona ni wapiga dili!! Hahaha...
As a parent, nakushauri ufanye kazi kwa bidii, usome or usomeshe saana na timiza wajibu wako kama mwafrika. Adui yako naona yuko ndani yako...
Anatetea tumboMmoja wao
Poa mkuu. Mimi ni prof. Itakuchukuwa miaka mingi kuwa kama mimi. sanasana, nakushauri ufanye kazi kwa bidiiMmoja wao
Motivational ProfPoa mkuu. Mimi ni prof. Itakuchukuwa miaka mingi kuwa kama mimi. sanasana, nakushauri ufanye kazi kwa bidii
Tunakwenda mbele au tunarudi nyuma?Hao ni muhimu sana hoja ingekuwa fani kuvamiwa na wasiohusika.Katika kuonyesha kuwa awamu hii hamna janja-janja wale ndugu zetu watia rangi kwenye maisha (Inspirational Speakers) wamezidi kupungua na kutafuta shughuli halisi na kuachana na mambo ya kupiga domo tupu. Asante sana Mheshimiwa. Tuendapo hata Ma-MC watatoweka kwenye ramani.
Mmoja wao
Inspirational speakers bongo ushuxz tuyani huu uzi una insiprational speakers kibaoooo[emoji23][emoji23][emoji23]povu zinawatoka tu
Bado wale wa forex... ..Katika kuonyesha kuwa awamu hii hamna janja-janja wale ndugu zetu watia rangi kwenye maisha (Inspirational Speakers) wamezidi kupungua na kutafuta shughuli halisi na kuachana na mambo ya kupiga domo tupu. Asante sana Mheshimiwa. Tuendapo hata Ma-MC watatoweka kwenye ramani.
Forex imenitandika mbayaBado wale wa forex... ..
Haha haha kama dollars ngapi umepotezaForex imenitandika mbaya