Inspirational Speakers wazidi kupungua

Inspirational Speakers wazidi kupungua

Kwa sifa hizi, unaweza kusifia daktari anatibu UKIMWI kwa kumtoa damu yote mgonjwa mpaka afe.

Vijidudu vyote vya UKIMWI vitakufa.

Lakini na mgonjwa naye atakufa.

Kama hao inspirational speakers ni parasites, parasites wapo kwenye jamii zote, na uwep owao unaonesha nguvu za uchumi. Uchumi usio na parasites ni uchumi dhaifu. Waondolewe kimahesabu ili wasije kuondolewa kwamzuka kuwaondoakukaua mpaka mgonjwa.

Ndiyo maana kuna wachungaji wanaishi kwa kutegemea sadaka,na wao ni motivcational speakers tu, hawazalishi kitu, wanatoa motivation na spiritual direction tu.

Sasa ukisifia uchumikuanguka kwa sababu motivational speakers wanakosa,ukipunguzwa kazi kwa sababu uchumi hauna nguvu ya kuku support, au ukikosa biashara kwa sababu hamna demand, endelea kufurahia tu.
 
Binafsi mtu akiniambia "madalali wanapungua, uchumi huu hautaki watu wanaoishi kwa ujanja ujanja wa kunyonya wenzao tu" naweza kumuelewa kuliko mtu akisemahivyo kuhusu "inspirational speakers".

Kwa nini?

Madalali wana ji impose wao kwenye maisha yetu katika shughuli na bidhaa za muhimu ambazo tunahitaji na ni za lazima.

Ukitaka kupanga chumba, kununua nyumba, kununua gari, utakutana nao.

Wanaongeza bei na kuchukua cha juu chao. Mara nyingine huwezikuwaepuka.

Hawa mtu akiwalalamikia na kufurahi wanapungu nitamuelewa sana.

Hao inspirational speakers ukiwasema, watu hawakulazimishi uende kwao wala semina zao si za lazima sana, wanajipigia hela kwa domo kivyao tu, ukisema unafurahi kuona wanapungua, watu wakasema unaona wivu wa kile Wajerumani wanachokiita "schadenfraude" (kufurahia mabaya yanayompata mwenzako bila wewe kufaidika lolote) naweza nikaona sababu ya watu kusema una wivu.

Hawa watu hawakulazimishi uende kwao,unaweza kuwapotezea tu.

Kama wanaishikwa ujanja ujanja wewe kinachokuuma ni kipi as long as wanafanya kazi zao legal na hawakulazimishi wewe uwalipe?

Madalali angalau naweza kuelewa wame tight sekta muhimu utawatumia utake usitake.

Hawa motoivational speakers hata kamawapigaji tu, wanatumia midomo kutengeneza pesa, kama kuna watu wanahitaji huduma yao na wanaipata kwa maelewano bila mtu kulazimishwa, tatizoliko wapi?

Amount of disposable incomein the economy is an indicator of the strength of the economy.

Unaweza kushangilia motoivational speakers wanapungua, kumbe hujui unashangilia uchumi kusinyaa na kesho utasikia effects zake hata wewe.
 
Ila hawa watu ni waongo kama jiwe

Nakumbuka walikuwa wanasema China inataka muhogo ila kiualisia tanzania ya leo muhugo unauzwa sh. 150 kwa kila bado mbaazi waliyokuwa wanataka India ndani ya mwaka mmoja ilitoka shiling 3700 mpaka shiling 150 kwa kilo. Bado korosho ambayo serikali imekula hela za wakulima.

Naonaga eti wanahamasisha vijana tuingie kwenye kilimo kwani kuna utajiri utaendesha magari na kujenga nyumba za ghorofa. Sasa jiulize wazee wetu wamelima miaka 50 LAKINI walichofanikiwa kutoka kwenye kilimo ni kuoa tu.

anyway nawapendaga wanajua kupanga mambo hewa kama jiwe mtukufu wa makinikia na noah zetu
 
Blah blah nyingi Bongo hii. Watu tuingie kupiga business halis tuache kuuza maneno matupu/bongo movie
 
Mkuu umewahi kusoma kitabu cha "Je Umelogwa?"

Ndani yake kuna hadithi ya "Binadamu Uroho Bin Uhondo"

Kisa hiko kimekaririwa vyema na Dr mtarajiwa Gasper Mollel wa Rangers Safari Arusha. Inahusu mtu kujifanya hayakuhusu wala hayakugusi.
Mkuu hiki kitabu naweza kukipata wapi?
 
Kuna Sister nilikutana naye kwenye basi kwa jinsi nilivyopauka kwa vumbi la mkaa akajua labda nina ngoma,akanipa kikaratasi akitangaza wanayo hospital inatoa tiba mdabala,inatibu magonjwa sugu na bla bla bla kibao,cha kushangaza huyo siter alikuwa anakohoa kinoma,nikajiuliza mbona na yeye hajitibu kwa hizo tiba mbadala?

Utakutana na hawa watu wanaouza mafuta sijui yanaondoa chunnusi na bla bla kibao,yeye anayeuza hayo mafuta uso wake una chunusi utafikiri fenesi au wanauza dawa za meno kwa kusema zinangarisha meno na bla bla kibao,ukiyacheck meno ya huyo muuzaji utafikiri ni Shabiki wa yanga.

Huwa sinaga upuuzi wa kusikiliza watu wa type hizo.
 
Binafsi mtu akiniambia "madalali wanapungua, uchumi huu hautaki watu wanaoishi kwa ujanja ujanja wa kunyonya wenzao tu" naweza kumuelewa kuliko mtu akisemahivyo kuhusu "inspirational speakers".

Kwa nini?

Madalali wana ji impose wao kwenye maisha yetu katika shughuli na bidhaa za muhimu ambazo tunahitaji na ni za lazima.

Ukitaka kupanga chumba, kununua nyumba, kununua gari, utakutana nao.

Wanaongeza bei na kuchukua cha juu chao. Mara nyingine huwezikuwaepuka.

Hawa mtu akiwalalamikia na kufurahi wanapungu nitamuelewa sana.

Hao inspirational speakers ukiwasema, watu hawakulazimishi uende kwao wala semina zao si za lazima sana, wanajipigia hela kwa domo kivyao tu, ukisema unafurahi kuona wanapungua, watu wakasema unaona wivu wa kile Wajerumani wanachokiita "schadenfraude" (kufurahia mabaya yanayompata mwenzako bila wewe kufaidika lolote) naweza nikaona sababu ya watu kusema una wivu.

Hawa watu hawakulazimishi uende kwao,unaweza kuwapotezea tu.

Kama wanaishikwa ujanja ujanja wewe kinachokuuma ni kipi as long as wanafanya kazi zao legal na hawakulazimishi wewe uwalipe?

Madalali angalau naweza kuelewa wame tight sekta muhimu utawatumia utake usitake.

Hawa motoivational speakers hata kamawapigaji tu, wanatumia midomo kutengeneza pesa, kama kuna watu wanahitaji huduma yao na wanaipata kwa maelewano bila mtu kulazimishwa, tatizoliko wapi?

Amount of disposable incomein the economy is an indicator of the strength of the economy.

Unaweza kushangilia motoivational speakers wanapungua, kumbe hujui unashangilia uchumi kusinyaa na kesho utasikia effects zake hata wewe.
Mkuu watu wanaupeo mdogo sana. Nadhani ndio kama unavyosema huenda ni wivu maana hao wazungumzaji hawana nguvu ya kumlazimisha mtu na wanafanya kitu wanaona kinawafaa na kinawafaa wengine. Role yao ni kusaidia watu ku-sharpen their saw na wao kujipatia kipato chao na ni industry ipo duniani kote,kupungua kwao kama ni kweli si ishu sababu awamu hii kila sekta imeyumba na mtu hapaswi kufurahia sababu impact yake itamfikia tu soon or later
 
Back
Top Bottom