Insane coincidence: Futility and Titanic

Insane coincidence: Futility and Titanic

Mkuu uje useme lakini hapo kwa marais na wafanyabiashara wakubwa uwe makini sana....
Nitakuja kusema huko mbeleni kwenye makala zingine ni kwa nini uwe makini....
Tuombe uzima mkuu....

Okay, nimerejea kama nilivyoahidi. Pia nimezingatia angalizo lako.
Maisha ya binadamu huwa yamezungukwa na layers (hatua) nne katika kuhakikisha anapiga hatua kuelekea mafanikio yake, layers ambazo huwa zinamsukuma kufanya mambo (wakati mwingine bila yeye mwenyewe kujua). Layers hizi ndizo huchagiza msukumo wake kuelekea maendeleo au kushindwa kwake.

Layer ya kwanza huitwa “EASY TO DO”; hii ni layer ambayo kila binadamu huiishi, hasa pale anapoona jambo akajisemea “mbona hii hata mimi naweza kufanya!”. Kwa mfano pale anapomwona mkwezi akiangua nazi hudhani kuwa hata yeye anaweza kuwa mkwezi, na kusahahu kuwa kila kazi ina utaalamu wake.

Inapotokea mtu akasikia jambo fulani au akaona jambo fulani limefanyika; mfano hili andiko lako kuhusu Titanic ambalo naamini imekuchukua siku kadhaa kuliandika, mtu mwingine anaweza kudhani ilikuwa ni rahisi tu kwa kuwa hukutunga bali umesoma sehemu na kufanya uchambuzi ama kutafsiri maandiko ambayo tayari yapo, lakini akitaka na yeye afanye kama ulivyofanya wewe ndipo anapogundua kuwa ‘kuna ugumu fulani katika kazi hiyo’, na kwamba hiyo ni kazi inayohitaji utaalamu fulani kuifanya. Hapa ndipo anapoingia kwenye layer ya pili inayoitwa “IT’S DIFFICULT”.

Hii ni layer ambayo kama si mvumilivu, safari yako inaweza kuishia hapa, lakini kwa wanaokomaa hujiambia, “ni ngumu lakini nitajaribu”. Watapambana kwa kila hali na hatimaye kufanikiwa, na wengine hujikuta wakiridhika na kuishia hapo, hasa baada ya mafanikio ya hatua hii. Wanaojaribu kusonga mbele zaidi hukutana na layer ya tatu inayoitwa “IT’S IMPOSSIBLE”.

Hii ni layer ambayo wengi mno tumekwama hapa, kwani binadamu hujikuta kila anachogusa anaona hakiwezekani. Ni katika hatua hii ambapo mambo mengi huwa yanayaonekana hayawezekani kabisa, na anayejaribu kuyafanya anaonekana anasumbuka bure, kwani “haiwezekani”. Ni katika hatua hii mtu anayethubutu na kufanya jambo ambalo wengine walidhani 'haliwezekani' na akafanikia huonekana ni 'genius'.

Ni katika layer hii ambapo Kyler na timu yake kwenye Manhattan Project walifanikiwa kutengeneza atomic bomb XD, mwaka mmoja tu baada ya profesa mmoja wa sayansi mashuhuri wa Urusi (nimelisahau jina lake) kusema “It’s impossible for a man to capture an atom,” na watu wakaamini hivyo kwa kuwa statement hiyo ilitolewa na profesa aliyebobea kwenye physics. Lakini Kyler na timu yake wakam-prove wrong kwa kutengeneza atomic bomb.

Layer ya mwisho ni “BEYOND IMAGINATION”, ambapo watu wanaoishi kwenye dunia hii mara nyingi huonekana aidha wamechanganyikiwa au wana matatizo ya akili, kwa kuwa hufikiria vitu ambavyo vipo kwenye dunia ya kufikirika. Dunia ambayo wengi hawaioni wala kudhani kwamba ina-exist.

Kwa mfano, mnamo mwaka 1964 wakati Nelson Mandela anahukumiwa kifungo cha maisha jela, kama angetokea mtu akasema kuwa Mandela atakuja kuwa Rais wa Afrika Kusini, angeonekana amechanganyikiwa na anastahili kuwa kwenye wodi ya vichaa. THIS IS BEYOND IMAGINATION.

Lakini Mandela mwenyewe aliishi katika layer hii ndiyo maana alikataa offer ya kutolewa gerezani na kupewa pesa nyingi ili akaishi nje ya Afrika Kusini na kuachana na harakati za uhuru, na wapo waliomuona ama ana matatizo ya akili au amechanganyikiwa.

Mfano mwingine ni; kama miaka kumi na tano tu iliyopita angetokea mtu akasema kuwa dunia (kwa maana ya Marekani) ingekuja kuwa chini ya utawala wa mtu mwenye asili ya Afrika, bila shaka angeonekana amechanganyikiwa, na hata Barack Obama mwenyewe alipoanza harakati za kutaka kuingia ikulu ya Marekani wapo walioona anajisumbua bure, maana wakati huo alikuwa akishindana na wasaniasa waliokuwa wanakubalika sana kama Mama Hiraly Clinton. Wakasahu kuwa Obama mwenyewe aliishi kwenye layer hii akiamini kuwa ndoto zake lazima ziwe kweli…

Hata Jakaya Kikwete alikuwa akiwaambia rafiki zake mara kwa mara kuwa lazima siku moja awe kiongozi wa nchi na kuishi pale magogoni. Alipoianza safari yake mwaka 1995 wapo walioona anamsindikiza Lowassa, lakini baadaye ndoto yake ikatimia. ingawa sidhani kama kuna waliomuona kuwa amechanganyikiwa.

Ndiyo maana huwa nawaogopa sana watu wanaoonekana kama wana matatizo ya akili lakini ukiwatazama kwa makini utagundua si matatizo ya akili in such, bali wanaishi kwenye dunia hii. Kwa mfano atokee msanii mmoja wa Bongo Movies, aoneshe kuwa ana mpango wa kutengeneza movie itakayokuja kutamba kimataifa na kuchukua Tuzo ya Oscar, kila mtu atamuona amechanganyikiwa (au ana matatizo ya akili), lakini kama ataamua kuiishi ndoto yake kwa kufanya kazi kwa bidii, inaweza kutokea na kila mtu akashangaa…
 
Okay, nimerejea kama nilivyoahidi. Pia nimezingatia angalizo lako.
Maisha ya binadamu huwa yamezungukwa na layers (hatua) nne katika kuhakikisha anapiga hatua kuelekea mafanikio yake, layers ambazo huwa zinamsukuma kufanya mambo (wakati mwingine bila yeye mwenyewe kujua). Layers hizi ndizo huchagiza msukumo wake kuelekea maendeleo au kushindwa kwake.
Mkuu

Nimekusoma sana tena sana na nimekuelewa kirahisi sana...

Niliposema kwamba uwe makini kwenye kuwaelezea hawa viongozi wa kisiasa nilikuwa na maana kubwa sana.Ngoja tu Mungu akijaalia usima kuna makala moja naihangaikia kumhusu kiongozi mmoja mashuhuri sana duniani na kuna kitu utakielewa tu....

Mkuu,maisha hayapo kama tunavyoyaona,matukio na namna watu wanavyofanikiwa siyo kwa kufuata kanuni zinazouongoza ulimwengu huu ambazo hizo hatua ulizozisema ni sehemu yake....

Tutaelewa tu mkuu kadiri tunavyoendelea kuishi na kutafiti,tuombe uzima tu mkuu.....
 
Mkuu

Nimekusoma sana tena sana na nimekuelewa kirahisi sana...

Niliposema kwamba uwe makini kwenye kuwaelezea hawa viongozi wa kisiasa nilikuwa na maana kubwa sana.Ngoja tu Mungu akijaalia usima kuna makala moja naihangaikia kumhusu kiongozi mmoja mashuhuri sana duniani na kuna kitu utakielewa tu....

Mkuu,maisha hayapo kama tunavyoyaona,matukio na namna watu wanavyofanikiwa siyo kwa kufuata kanuni zinazouongoza ulimwengu huu ambazo hizo hatua ulizozisema ni sehemu yake....

Tutaelewa tu mkuu kadiri tunavyoendelea kuishi na kutafiti,tuombe uzima tu mkuu.....
Ndiyo maana nikasema mambo mengi sana huwa yanaanzia kwenye ulimwengu usioonekana (ulimwengu wa roho) kabla hayajaonekana kwenye ulimwengu wa mwili.

Mara nyingi huwa tunafanya au kusukumwa kufanya mambo ambayo hatujui kwamba tayari yamekwisha fanyika kwenye ulimwengu wa roho, ila kinachofanyika kwenye ulimwengu wa mwili huwa ni kukamilisha tu process. Hizo hatua nilizozianisha ni sehemu tu ya ulimwengu huo (bila sisi ku-notice).

Formula ni ileile tu, ni kama vile mtu anapoamua kuandika na kuchapisha kitabu au gazeti, kabla kitabu (au gazeti) hakijatoka na kusomwa, huanzia kwanza kwenye kitu kinachoitwa soft copy (ulimwengu wa roho), na baadaye ndipo huja hard copy (ulimwengu wa mwili)...
 
Everything is under watch hapa dunia,..ni masterplan ambazo huwez fikiria kama zna exist...kuna series moja ya LOST ukiiangalia vzur kwa umakin unaweza pata picha flan,af huyu grand master planner huwa anatoa clues flan sema kwasabab humans ni tomaso,so hua hatuoni.
Inabidi tuanzishe uzi wa series ya Lost kupata maana yake zaidi.
 
Ndiyo maana nikasema mambo mengi sana huwa yanaanzia kwenye ulimwengu usioonekana (ulimwengu wa roho) kabla hayajaonekana kwenye ulimwengu wa mwili.

Mara nyingi huwa tunafanya au kusukumwa kufanya mambo ambayo hatujui kwamba tayari yamekwisha fanyika kwenye ulimwengu wa roho, ila kinachofanyika kwenye ulimwengu wa mwili huwa ni kukamilisha tu process. Hizo hatua nilizozianisha ni sehemu tu ya ulimwengu huo (bila sisi ku-notice).

Formula ni ileile tu, ni kama vile mtu anapoamua kuandika na kuchapisha kitabu au gazeti, kabla kitabu (au gazeti) hakijatoka na kusomwa, huanzia kwanza kwenye kitu kinachoitwa soft copy (ulimwengu wa roho), na baadaye ndipo huja hard copy (ulimwengu wa mwili)...
Mkuu kuna watu hawatumii au kufuata hizo kanuni unazozisema hapo.....
 
Ni kweli,nakubaliana na wewe. Hii moja tu ya formula, ingawa sio lazima kila mtu apitie hatua hizi, lakini bado zinabaki kuwa ndizo layers zinazowazunguka bila wao kujua...
Mkuu

ninachotaka kusema hapa ni kwamba kuna kundi kubwa kiasi la wanadamu ambao wameweza kupata access ya siri ambazo binadamu hakupaswa kuzijua...

Siri hizi ni hatari sana,watu hawa wanaweza kucheza na kanuni zinazosimamia vitu hivi vyote na kuzielekeza zifanye watakavyo wao kwa kiwango kikubwa kabisa....

Ndiyo maana ninakuambia kwamba kuna watu hawana shida na kanuni zinazokuongoza wewe wao wanafanya mambo watakavyo.Wanaweza kufanya kusiwepo na masika kabisa au wakataka mvua ikanyesha mwaka mzima,ni suala la wao tu kuamua na inakuwa....
 
mkuu mleta post kwanza bravo sana Kwa story hii ila sometimes kun baadhi ya matukio na siku huwa naziona kama nishashaziishi hizo siku na vitendo vilevile huwa naona kama nilishawahi kuvifanya....hii sijui imekaaje...cc mkuu blaki womani
 
mkuu mleta post kwanza bravo sana Kwa story hii ila sometimes kun baadhi ya matukio na siku huwa naziona kama nishashaziishi hizo siku na vitendo vilevile huwa naona kama nilishawahi kuvifanya....hii sijui imekaaje...cc mkuu blaki womani
Ngoja aje na Bishop Hiluka anaweza kukupa mawazo zaidi mkuu...
 
Everything is under watch hapa dunia,..ni masterplan ambazo huwez fikiria kama zna exist...kuna series moja ya LOST ukiiangalia vzur kwa umakin unaweza pata picha flan,af huyu grand master planner huwa anatoa clues flan sema kwasabab humans ni tomaso,so hua hatuoni.
Niliomiangalia 3 yrs ago...mpaka leo naona maruerue tuu
 
Inajulikana kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1830 Amerika bado ilikuwa haijawa na Benki Kuu wakati majasusi hawa wa Ki-Italiano walihitaji benki nyingine Amerika ambayo wangetumia kuchota fedha kwa ajili ya kufanikisha mipango yao ya vita na ajenda nyingine za siri duniani kote.

Mnamo mwaka 1910 karibu na pwani ya Georgia katika kisiwa cha Jekyll wanaume saba walikutana kwa lengo la kuanzisha benki hiyo ambayo ingeitwa Benki ya Akiba. Hapa ninawazungumzia Nelson Aldrich na Frank Vanderlip ambao waliwakilisha taasisi ya fedha ya tajiri Rockefeller; Henry Davison, Charles Norton na Benjamin Strong waliowakilisha kampuni ya J.P, wengine ni Morgan na Paul Warburg waliowakilisha benki ya Uropa ijulikanayo kama Rothschilds ambayo ilikuwa ni wakala wa Kipapa ikifanya kazi moja tu, nayo ni kulinda utajiri wa kanisa la Katoliki.Ujenzi wa meli ya Titanic ulianza mnamo mwaka 1909 katika karakana ya kutengeneza meli ya Belfast, mji mkuu wa Ireland Kaskazini ukiwa na waumini wengi wa Kiprotestanti ambao walikuwa ni maadui wakubwa wa Jesuits katika harakati zao za kusimika Ukatoliki duniani.

Hii ilitokana na hofu kwa Jesuits kwamba watu hawa wangeweza kutumia umaarufu na utajiri wao kuzuia kuwepo kwa Benki ya Akiba. Na kwa kuwa hawa ni watu ambao walipenda starehe na kuponda raha, ni lazima wangependa kuishi ndani ya Titanic ambayo iliundwa maalumu kama kaburi lao bila kujua.
Mkuu bado hujakata kiu yangu
 
Hii ni meli inayotengenezwa baada ya ile ya kwanza kuzama....

Inatengenezwa ili ije ifanye safari kitoka kule kule Southampton kuelekea New York....

Meli hii inatengenezwa Australia na kampuni ya CSC Jinling,Nanjing....

Meli hii itagharimu dola mil 500...

Meli hii ni mali ya kampuni ya Blue Star line....

Itakuwa na urefu wa futi 883 na kampuni itakayomiliki meli hii iko chini ya billionea Clive Palmer ambaye ni mwenyekiti wa kampuni.......
Kama mm siwezi panda hata nikiwa na uwezo
 
Back
Top Bottom