kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,968
MI NAPITA TU HAPA, Mkuu shusha nondo nasubiria majibu mubashara uliyoulizwa hapo juu
Sisi hadi leo hatujafikia maendeleo yao ya kipindi hichoNimewaza hivyo pia, wenzetu maendeleo kwao yameanza kitambo sana!!
Heshima Mkuu, Blaki.
Nadhani binadamu mwenye sifa za kinabii ndiye mwenye uwezo wa kutabiri jambo then baada ya muda utabiri wake hujidhihirisha.
Hivi tuite ndoto au maono?.Au yote kwa pamoja?.
Wabheja sana.Salama sana mkuu
nafikiri tuite vyote maana unaweza kuoteshwa kama YUSUPH wa kwenye Biblia
Huyo jamaa aliyeandika kitabu na baadaye kuja kutokea kama alivyoandika na bado kifo chake utata mtupu inaonekana kuna kitu zaidi ya hapo.
Historia ya jamaa inaonesha alikuwa "wa kawaida sana" na wengine walikuwa wakidhani alikuwa na matatizo ya akili....
Kifo chake nacho ni cha kustaajabisha sana maana alikutwa akiwa amekufa kwenye chumba cha hoteli.Wakati Morgan robertson anaishi hakukuwa na wazo la meli hiyo kutengenezwa hadi miaka mingi kidigo baadaye....
Hapo ndipo ugumu wa jambo hili unapokuja....
Inajulikana kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1830 Amerika bado ilikuwa haijawa na Benki Kuu wakati majasusi hawa wa Ki-Italiano walihitaji benki nyingine Amerika ambayo wangetumia kuchota fedha kwa ajili ya kufanikisha mipango yao ya vita na ajenda nyingine za siri duniani kote.Pia ni vyema tukawajua hawa kina Ismay na mrs astor walikuwa ni kina nani na kwa nini waliatract public interests,vifo vyao vilikuwaje latter on?pia walikuwa wanajihusisha na taasisi gani?
Mkuu mm niliota mama yangu kafariki baada ya miaka mitatu tukio likarudia vile vile paka nikajua naota tena kumbe nipo kwenye uhalisia ni kama nilimuadithia kifo chake kitavyo kuwa kwasababu niliota nikamuambia mama nimeota umekufa nikamudithia ndoto yote na siku aliyokufa kweli akuna ata tukio moja lililoenda tofauti na nilicho kiota
Hamia Amerca/Asia Europe nkmmmmmh umejibu kishujaa tu hapa ila afrika mpaka ni bara giza
Mkuuu twende kwenye jukwaa la wazee wenzangu wa kuweka mzigo unaweza kuwa mwarobain wa mikeka.Mkuu mm niliota mama yangu kafariki baada ya miaka mitatu tukio likarudia vile vile paka nikajua naota tena kumbe nipo kwenye uhalisia ni kama nilimuadithia kifo chake kitavyo kuwa kwasababu niliota nikamuambia mama nimeota umekufa nikamudithia ndoto yote na siku aliyokufa kweli akuna ata tukio moja lililoenda tofauti na nilicho kiota
Mkuuu twende kwenye jukwaa la wazee wenzangu wa kuweka mzigo unaweza kuwa mwarobain wa mikeka.Mkuu mm niliota mama yangu kafariki baada ya miaka mitatu tukio likarudia vile vile paka nikajua naota tena kumbe nipo kwenye uhalisia ni kama nilimuadithia kifo chake kitavyo kuwa kwasababu niliota nikamuambia mama nimeota umekufa nikamudithia ndoto yote na siku aliyokufa kweli akuna ata tukio moja lililoenda tofauti na nilicho kiota
Namaanisha.Hii ni meli inayotengenezwa baada ya ile ya kwanza kuzama....
Inatengenezwa ili ije ifanye safari kitoka kule kule Southampton kuelekea New York....
Meli hii inatengenezwa Australia na kampuni ya CSC Jinling,Nanjing....
Meli hii itagharimu dola mil 500...
Meli hii ni mali ya kampuni ya Blue Star line....
Itakuwa na urefu wa futi 883 na kampuni itakayomiliki meli hii iko chini ya billionea Clive Palmer ambaye ni mwenyekiti wa kampuni.......
Inajulikana kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1830 Amerika bado ilikuwa haijawa na Benki Kuu wakati majasusi hawa wa Ki-Italiano walihitaji benki nyingine Amerika ambayo wangetumia kuchota fedha kwa ajili ya kufanikisha mipango yao ya vita na ajenda nyingine za siri duniani kote.
Mnamo mwaka 1910 karibu na pwani ya Georgia katika kisiwa cha Jekyll wanaume saba walikutana kwa lengo la kuanzisha benki hiyo ambayo ingeitwa Benki ya Akiba. Hapa ninawazungumzia Nelson Aldrich na Frank Vanderlip ambao waliwakilisha taasisi ya fedha ya tajiri Rockefeller; Henry Davison, Charles Norton na Benjamin Strong waliowakilisha kampuni ya J.P, wengine ni Morgan na Paul Warburg waliowakilisha benki ya Uropa ijulikanayo kama Rothschilds ambayo ilikuwa ni wakala wa Kipapa ikifanya kazi moja tu, nayo ni kulinda utajiri wa kanisa la Katoliki.Ujenzi wa meli ya Titanic ulianza mnamo mwaka 1909 katika karakana ya kutengeneza meli ya Belfast, mji mkuu wa Ireland Kaskazini ukiwa na waumini wengi wa Kiprotestanti ambao walikuwa ni maadui wakubwa wa Jesuits katika harakati zao za kusimika Ukatoliki duniani.
Hii ilitokana na hofu kwa Jesuits kwamba watu hawa wangeweza kutumia umaarufu na utajiri wao kuzuia kuwepo kwa Benki ya Akiba. Na kwa kuwa hawa ni watu ambao walipenda starehe na kuponda raha, ni lazima wangependa kuishi ndani ya Titanic ambayo iliundwa maalumu kama kaburi lao bila kujua.
Dunia hii inamambo mengi sana, matukio mengi yaliyo wahi kutokea au yanayo tokea nimipango ya watu makini sana.Mkuu hebu endelea kutupia nondo hapa tunaendelea kupata mengine yaliyotokea kwenye ajali hiyo.
kwa mtizamo huo kuna mengi yamejificha.......
Sijaweza kujua lakini kutokana na baadhi ya watu waliokuwa karibu na Morgan Robertson wanadai kuwa aliwahi kuandika hicho kitabu lakini haijulikani kilikwenda wapi.....Namaanisha.
huyo mwandishi alichokiandika kuhusu atlantic 2 ni nini, kwa ufupi
Ujuwe kuna mengi kwenye jambo hili na mara zote ukilifuatilia utaishia kubaki na maswali yasiyokuwa na majibu....Matatizo ya akili tena? daaahh kuna kitu hapo
yawezekana ni tukio lililopangwa siku nyingi naye akateuliwa kuandika kitabu ili isijeeleweka baadae litakapotokea
swali la kuendelea kujiuliza na abira je ?
Mkuu endelea kusema kuhusu hili...Inajulikana kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1830 Amerika bado ilikuwa haijawa na Benki Kuu wakati majasusi hawa wa Ki-Italiano walihitaji benki nyingine Amerika ambayo wangetumia kuchota fedha kwa ajili ya kufanikisha mipango yao ya vita na ajenda nyingine za siri duniani kote.
I see, chunguza vizuri huenda ukawa na karama ya unabii...Hii hali hunitokea