Na mimi nataka ufafanuzi juu ya hapakuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Na mimi nataka ufafanuzi juu ya hapakuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Unaweza kufafanua zaidi mkuu?Naamini wewe ni mtu wa kiroho. Wengi hawajui kuwa kila kinachofanyika au kuonekana kwenye ulimwengu wa mwili huwa kimekwisha tokea kwenye ulimwengu wa roho. Haya mambo yana connection za kiroho 100%...
Na mimi nataka ufafanuzi juu ya hapakuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Kuna jambo sijaliandika kwenye makala hii..Aise inawezekana walimjasusi asije akaandika hadithi nyingine halafu yakatokea ya kutokea.
Hebu fanya upekuzi kwenye vyanzo vyako mkuu utuletee uzi kuhusiana na kifo chake
Tulikuww tunawinda mwituni1864 kampuni inatengeneza meli huku afrika sijui tulikua tunafanya nin
Tunafanya yetu.1864 kampuni inatengeneza meli huku afrika sijui tulikua tunafanya nin
1864 kampuni inatengeneza meli huku afrika sijui tulikua tunafanya nin





Alikua hajafika rasmi,tulikuwa tunakula bakora za mjerumani huko sikonge...
Plus ajali?Nafikiri waliotengeneza hiyo meli ya Titanic walidesa idea za hicho kitabu
Hiyo HUNITOKEAAsante sana mkuu kwa kutujuza zaidi kuhusu meli ya Titanic
Kwa hiyo walimwua Morgan au?
kuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Tudokezee kidogo kuhusu titanic 2Kuna jambo sijaliandika kwenye makala hii..
jambo lenyewe ni kwamba kitabu cha Morgan kilikuwa na toleo la pili ambapo kilihusisha Titan II na muda huu ninavyokueleza Titanic II inatengenezwa na itaanza kazi 2018....
kitabu hiki hakipo kabisa mtandaoni siku hizi sijajua ni kwanini lakini iko hivyo....