Hayo sasa ndo maneno muulize mwaJ atakwambia nilikokua nikitetra taifa. Hekima hii kakufundisha nani Blue G?Haaaaaaahaaaaaaahaaaaaa.pole sana Kaizer,ila mi niliingilia huu huu mlango wa jf sema labda we ulikuwa umesafiri wakati huo.hata hivyo ondoa shaka hesabu mpaka hapo ushanijua nitanya juu chini ili niwe mwenyeji machoni pako.
Kaizer we kuingia hapa utaona
habari ya jioni hubby! natumaini kwema utokako, karibu maamri na mabumunda!
kwani ile ratiba ipo ama imeahirishwa?? nadhani tungeangalia mambo ya msingi kwa taifa letu kwanza.Ahsante wifey. Niko namkodolea macho shostee hapa ametia mbavu. Leo niko kibodigadi zaidi. Afu nna hamu yako ujue.
kwani ile ratiba ipo ama imeahirishwa?? nadhani tungeangalia mambo ya msingi kwa taifa letu kwanza.