Ingekuwa kama TWITA

Nduka

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
8,552
2,359
Yaan unaweza ku~follow kila post ya member uliyem~follow, unapata notification kila akipost na unaweza ku repost hiyo post yake. Ningemfollow member anaitwa Asprin, japo tunatofautiana sana mitazamo ila babu huwa anahusisha ubongo wake kwenye kila post yake. Ni hayo tu.
 
Last edited by a moderator:
Yaan unaweza ku~follow kila post ya member uliyem~follow, unapata notification kila akipost na unaweza ku repost hiyo post yake. Ningemfollow member anaitwa Asprin, japo tunatofautiana sana mitazamo ila babu huwa anahusisha ubongo wake kwenye kila post yake. Ni hayo tu.
Khaa! Huu ujiko ni lazima nishee na wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uangalizi wa Kongosho. Hivi kumbe hata haya maposts ya ukrap kuna watu yanawavutaga?

Leo ntakunywa biya mpaka nipasuke wallah. Mara ya mwisho kupata maujiko kama haya wakati wa gradyuesheni ya fom foo. Baada ya kuutwika mtungi wa kutosha niliingia kwenye ukumbi wa disko nikatoa viti vyote nje. Masista duu wa Kibosho gelz tuliowaalika kukata mkonyonyo walicheza mziki mwanzo mwisho bila kupumzika. Wangekaa wapi?

Mkuu Ecoli ahsante kwa kunifolo, nami ntajitahidi kukufolo ila tu uniambie ni wapi tunatofautiana mitazamo ili nijirekebishemo. Najua ni mimi tu ntakuwa nakorofisha. Source: mwaJ, Blue G, Nyamayao, Zion Daughter, Mamndenyi, Dena Amsi , gfsonwin, snowhite na videmu vyoote vinavyopinga Infii.
 
Last edited by a moderator:
Khaa! Huu ujiko ni lazima nishee na wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uangalizi wa Kongosho. Hivi kumbe hata haya maposts ya ukrap kuna watu yanawavutaga?

Leo ntakunywa biya mpaka nipasuke wallah. Mara ya mwisho kupata maujiko kama haya wakati wa gradyuesheni ya fom foo. Baada ya kuutwika mtungi wa kutosha niliingia kwenye ukumbi wa disko nikatoa viti vyote nje. Masista duu wa Kibosho gelz tuliowaalika kukata mkonyonyo walicheza mziki mwanzo mwisho bila kupumzika. Wangekaa wapi?

Mkuu Ecoli ahsante kwa kunifolo, nami ntajitahidi kukufolo ila tu uniambie ni wapi tunatofautiana mitazamo ili nijirekebishemo. Najua ni mimi tu ntakuwa nakorofisha. Source: mwaJ, Blue G, Nyamayao, Zion Daughter, Mamndenyi, Dena Amsi , gfsonwin, snowhite na videmu vyoote vinavyopinga Infii.

Duh! Sikubali! Yaani sie ni videmu! Ila hongera kwa kupata maujiko. Kama namuona cacico tabasamu mpaka kisogoni!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ecoli ahsante kwa kunifolo, nami ntajitahidi kukufolo ila tu uniambie ni wapi tunatofautiana mitazamo ili nijirekebishemo. Najua ni mimi tu ntakuwa nakorofisha..

Babu wala usijirekebishe bakia hivyo hivyo, unajua mimi ni gamba tokea babu hadi mjukuu. Ndipo tunapo hitalafiana ila nafurahia tofauti zetu.
 
Khaa! Huu ujiko ni lazima nishee na wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uangalizi wa Kongosho. Hivi kumbe hata haya maposts ya ukrap kuna watu yanawavutaga?

Leo ntakunywa biya mpaka nipasuke wallah. Mara ya mwisho kupata maujiko kama haya wakati wa gradyuesheni ya fom foo. Baada ya kuutwika mtungi wa kutosha niliingia kwenye ukumbi wa disko nikatoa viti vyote nje. Masista duu wa Kibosho gelz tuliowaalika kukata mkonyonyo walicheza mziki mwanzo mwisho bila kupumzika. Wangekaa wapi?

Mkuu Ecoli ahsante kwa kunifolo, nami ntajitahidi kukufolo ila tu uniambie ni wapi tunatofautiana mitazamo ili nijirekebishemo. Najua ni mimi tu ntakuwa nakorofisha. Source: mwaJ, Blue G, Nyamayao, Zion Daughter, Mamndenyi, Dena Amsi , gfsonwin, snowhite na videmu vyoote vinavyopinga Infii.

Yaani pamoja na likapasite lako la uelewa umeshindwa kurikognaiz mnapotafautiana? Kwa ufupi mnapotafautiana ni kua wewe unakulaga "Finyango kwa finyango" na yeye anakula na "Chandarua"
 
Last edited by a moderator:
Yaan unaweza ku~follow kila post ya member uliyem~follow, unapata notification kila akipost na unaweza ku repost hiyo post yake. Ningemfollow member anaitwa Asprin, japo tunatofautiana sana mitazamo ila babu huwa anahusisha ubongo wake kwenye kila post yake. Ni hayo tu.
Tofauti yenu mmoja cha pombe mwingine totos!
 
Yaani pamoja na likapasite lako la uelewa umeshindwa kurikognaiz mnapotafautiana? Kwa ufupi mnapotafautiana ni kua wewe unakulaga "Finyango kwa finyango" na yeye anakula na "Chandarua"
We dogo Judgement kiherehere kitakuponza. Msome huyu aliyegoma kuvua gamba hapo chini alivosasambua tofauti ya mitazamo yetu.

Babu wala usijirekebishe bakia hivyo hivyo, unajua mimi ni gamba tokea babu hadi mjukuu. Ndipo tunapo hitalafiana ila nafurahia tofauti zetu.
Heheheh! Mie si mwanachama wa chama lolote lile la siasa. Ila mgombea wa Gamba aliyewahi kubahatika kukamata kura yangu alikuwa Charles Keenja. Wakati huo akitokea kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jiji akiwa jembe kwelikweli. Nlikuja kujuta baada ya kushinda kwake, hakuna alichofanya bungeni.... Ili ujue sina chama, wagombea wafuatao wa uraisi ndio waliofanikiwa kuambilia kura yangu.

1995 - Augustine Lyatonga Mrema... Holaaa!!
2000 - Ibrahimu Lipumba...... Holaaaa!
2005 - John Momose Cheyo..... Holaaa
2010 - Dr. Wilbrod Peter Slaa..... Holaaa!

Sijawahi kuchagua lijamaa likawa lirais asee. Na sijawahi juta.

Damn! Kumbe hili ni jukwaa ChitChat, na hii ni sredi ya maujiko kwangu?

Poor me!!
 
Last edited by a moderator:
Khaa! Huu ujiko ni lazima nishee na wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uangalizi wa Kongosho. Hivi kumbe hata haya maposts ya ukrap kuna watu yanawavutaga?

Leo ntakunywa biya mpaka nipasuke wallah. Mara ya mwisho kupata maujiko kama haya wakati wa gradyuesheni ya fom foo. Baada ya kuutwika mtungi wa kutosha niliingia kwenye ukumbi wa disko nikatoa viti vyote nje. Masista duu wa Kibosho gelz tuliowaalika kukata mkonyonyo walicheza mziki mwanzo mwisho bila kupumzika. Wangekaa wapi?

Mkuu Ecoli ahsante kwa kunifolo, nami ntajitahidi kukufolo ila tu uniambie ni wapi tunatofautiana mitazamo ili nijirekebishemo. Najua ni mimi tu ntakuwa nakorofisha. Source: mwaJ, Blue G, Nyamayao, Zion Daughter, Mamndenyi, Dena Amsi , gfsonwin, snowhite na videmu vyoote vinavyopinga Infii.

Hayo ndo matamu ujue.....yanawapunguzia mastress. Sasa tunasheherekea wapi haya maujiko mume wetu? na unataka wakezo tuje tumevaa nini?weka na picha kwa msisitizo
 
Tofauti yenu mmoja cha pombe mwingine watoto!
Sikujua kumbe Ecoli ni chapombe? Ulijuaje KARIA? Kiukweli mi napenda watoto kama alivyosema Yesu, waacheni watoto wadogo waje kwangu kwakuwa ufalme wa mbinguni ni wao. We KARIA ushaacha tabia yako ya kupiga punyeto unapoona vinyeo vya mbuzi? Utakuja baka wanyama siku za usoni usipoacha tabia yako hii..... Ohooo!
 
We dogo Judgement kiherehere kitakuponza. Msome huyu aliyegoma kuvua gamba hapo chini alivosasambua tofauti ya mitazamo yetu.

Heheheh! Mie si mwanachama wa chama lolote lile la siasa. Ila mgombea wa Gamba aliyewahi kubahatika kukamata kura yangu alikuwa Charles Keenja. Wakati huo akitokea kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jiji akiwa jembe kwelikweli. Nlikuja kujuta baada ya kushinda kwake, hakuna alichofanya bungeni.... Ili ujue sina chama, wagombea wafuatao wa uraisi ndio waliofanikiwa kuambilia kura yangu.

1995 - Augustine Lyatonga Mrema... Holaaa!!
2000 - Ibrahimu Lipumba...... Holaaaa!
2005 - John Momose Cheyo..... Holaaa
2010 - Dr. Wilbrod Peter Slaa..... Holaaa!

Sijawahi kuchagua lijamaa likawa lirais asee. Na sijawahi juta.

Damn! Kumbe hili ni jukwaa ChitChat, na hii ni sredi ya maujiko kwangu?

Poor me!!

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii Asprin unanikoshaaa.............ungemalizia kabisa na 2015 utampigia nani na una uhakika mtakatifu hatokua raisi lol
 
Last edited by a moderator:
2005 - John Momose Cheyo..... Holaaa


Sijawahi kuchagua lijamaa likawa lirais asee. Na sijawahi juta.

Damn! Kumbe hili ni jukwaa ChitChat, na hii ni sredi ya maujiko kwangu?

Poor me!!


Duu we kiboko hadi bwana mapesa ndani? Ngota tuchenji sabjekti tusije wakimbiza wajukuu zako wapendwa. Swala la Judgement linaukweli? Una ushkaji na Zuma?
 
Last edited by a moderator:
We dogo Judgement kiherehere kitakuponza. Msome huyu aliyegoma kuvua gamba hapo chini alivosasambua tofauti ya mitazamo yetu.

Heheheh! Mie si mwanachama wa chama lolote lile la siasa. Ila mgombea wa Gamba aliyewahi kubahatika kukamata kura yangu alikuwa Charles Keenja. Wakati huo akitokea kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jiji akiwa jembe kwelikweli. Nlikuja kujuta baada ya kushinda kwake, hakuna alichofanya bungeni.... Ili ujue sina chama, wagombea wafuatao wa uraisi ndio waliofanikiwa kuambilia kura yangu.

1995 - Augustine Lyatonga Mrema... Holaaa!!
2000 - Ibrahimu Lipumba...... Holaaaa!
2005 - John Momose Cheyo..... Holaaa
2010 - Dr. Wilbrod Peter Slaa..... Holaaa!

Sijawahi kuchagua lijamaa likawa lirais asee. Na sijawahi juta.

Damn! Kumbe hili ni jukwaa ChitChat, na hii ni sredi ya maujiko kwangu?

Poor me!!
Huuwiii! Kweli fungu la kukosa ni la kukosa tu! ila usikate tamaa Babu yangu 2015 utampata tu!
 
Hayo ndo matamu ujue.....yanawapunguzia mastress. Sasa tunasheherekea wapi haya maujiko mume wetu? na unataka wakezo tuje tumevaa nini?weka na picha kwa msisitizo
Pigeni vivazi vya kuogelea kama siku ile CUTE alivyokuja kuwatembelea...

group+2.JPG





Mie ntakuwa nimepozi mkao wa nyani nawaangalieni wake zangu mnavyojimwayamwaya...

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom