Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Last edited by a moderator:
Mie niko mbali nae sana tu tatizo Asprin ni mchokozi sana na wakeze wanamuendekeza ukishtaki wala hawajali ndio kwanza wanamwambia aendelee.
Bila kumbembeleza shosti unafikiri mambo yataenda wangu?
mwaJ kam zis way akukague ndio utatuelewa kwa nn tunang'ang'ania hapo!
We umepotelea wapi wajameni, mbona umekua adimu kama ****** ya panya?!
ujue mama amerudi Yummy! nabanwaje sasa?? kazi mimi na mama mimi! ni kasheshe! ila MUNGU ni mwema anaendelea vema!
Ooh my luv, nashukuru kusikia hivyo......Mungu ni mwema na anasikiliza maombi yetu,tuzidi kumuomba.
Love u mwaaaaah
Poa nimekubali.
Umekubali nini msiri wangu mwaJ?
Hee! Na wewe Kaizer nawe! Kumbe upo huku! Wala hata sikumbuki nimekubali nini! Ha ha ha haaaaaaaaaaaaa!
Okay madam hukumbuki, safi. Ulidhani nipo wapi namo nimejiunga NDC? Ndo ivo kaa mbali na Asprin
Mie niko mbali nae sana tu tatizo Asprin ni mchokozi sana na wakeze wanamuendekeza ukishtaki wala hawajali ndio kwanza wanamwambia aendelee.
Okay, msiri wangu. I got you.
Hivi siku hizi hata wewe unaulizia nywele saluni? hebu kam zis way achana na longolongo mingi.hubby leo sio zamu yangu??
Yeah...
Dear My And Our Lord, I and We Pray For Our(My) Mama (In Law) To Get Well Soon!!..... I And We Pray Again and Again and Again....:amen::amen::amen:
Afu wewe ukinletea za kuleta nagawa ile makitu....Ohoooo!!Ameeeeein......bwana awe nanyi wapendwa wangu, bila kuwasahau BADILI TABIA na Kongosho
Basi hilo cheko nikiangalia na avatar yako.... mie huyooooo toilet na kasabuni kangu. Khaa!