Inasikitisha sana kuona baadhi ya hospitali binafsi ambazo ni PENDWA zinagomea kutoa huduma

Zipo baadhi ya hospitali binafsi ambazo ziliwahi kubebwa sana na Serikali na hatimaye zikapata faida kubwa na kujiimarisha.

Zipo baadhi ya hospitali zilianza kama hospitali za kujitolea yaani Charitable hospitals lakini leo zinaingia kwenye mkumbo wa kishabiki.

NHIF amehusika kukuza hospitali nyingi za binafsi kwa reimbursement ya mafedha mengi leo hii zinagomea wateja. Hata kama NHIF ina changamoto zake lakini sio kwa extent ya kugomea wateja wake...yaani wa kina sisi.

Sio kwamba hatuoni mnavyolazimisha na mlivyotengeneza genge la kuwapiga watanzania kwa kuexagerrate price za tiba mfano oxygen.

Hongera waziri tukiwaachia watatuletea ombwe kama ilivyo huko USA yaani mwalimu au hata daktari atashindwa kumudu gharama za matibabu.

AFYA SIO BIASHARA....NI HUDUMA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nilitegemea Serikali kutoa tamko la maana kumbe wakatoa tamko la kitoto kabisa. Serikali iache kuzikandamiza Hospitali kwa kigezo cha huduma, wanatakiwa kutafuta ufumbuzi wa suala hilo maana NHIF imepigwa na wao wenyewe halafu leo wanataka kubebesha mzigo Hospitali.
 
Zipo baadhi ya hospitali binafsi ambazo ziliwahi kubebwa sana na Serikali na hatimaye zikapata faida kubwa na kujiimarisha.

Zipo baadhi ya hospitali zilianza kama hospitali za kujitolea yaani Charitable hospitals lakini leo zinaingia kwenye mkumbo wa kishabiki.

NHIF amehusika kukuza hospitali nyingi za binafsi kwa reimbursement ya mafedha mengi leo hii zinagomea wateja. Hata kama NHIF ina changamoto zake lakini sio kwa extent ya kugomea wateja wake...yaani wa kina sisi.

Sio kwamba hatuoni mnavyolazimisha na mlivyotengeneza genge la kuwapiga watanzania kwa kuexagerrate price za tiba mfano oxygen.

Hongera waziri tukiwaachia watatuletea ombwe kama ilivyo huko USA yaani mwalimu au hata daktari atashindwa kumudu gharama za matibabu.

AFYA SIO BIASHARA....NI HUDUMA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ungezitaja tu mkuu..
 
Shida kubwa ya taifa hili ni kufanya mambo ili kupata sifa za kipumbavu za kisiasa,watu walisha onya mara nyingi kwamba serikali isifanye kila jambo kuwa la kisiasa Kuna mambo ni sensitive sana hasa afya.

Waziri amekaa kama public relations officer, badala ya mtatunzi wa matatizo ya afya.Matamko anaona kama ndo uwajibikaji.

Bure kabisa.
 
Zipo baadhi ya hospitali binafsi ambazo ziliwahi kubebwa sana na Serikali na hatimaye zikapata faida kubwa na kujiimarisha.

Zipo baadhi ya hospitali zilianza kama hospitali za kujitolea yaani Charitable hospitals lakini leo zinaingia kwenye mkumbo wa kishabiki.

NHIF amehusika kukuza hospitali nyingi za binafsi kwa reimbursement ya mafedha mengi leo hii zinagomea wateja. Hata kama NHIF ina changamoto zake lakini sio kwa extent ya kugomea wateja wake...yaani wa kina sisi.

Sio kwamba hatuoni mnavyolazimisha na mlivyotengeneza genge la kuwapiga watanzania kwa kuexagerrate price za tiba mfano oxygen.

Hongera waziri tukiwaachia watatuletea ombwe kama ilivyo huko USA yaani mwalimu au hata daktari atashindwa kumudu gharama za matibabu.

AFYA SIO BIASHARA....NI HUDUMA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Tatizo lako ndugu muuguzi(Nursing officer) ni uchawa
 
Hospitali ilibebwa?

Zipo baadhi ya hospitali binafsi ambazo ziliwahi kubebwa sana na Serikali na hatimaye zikapata faida kubwa na kujiimarisha.

Zipo baadhi ya hospitali zilianza kama hospitali za kujitolea yaani Charitable hospitals lakini leo zinaingia kwenye mkumbo wa kishabiki.

NHIF amehusika kukuza hospitali nyingi za binafsi kwa reimbursement ya mafedha mengi leo hii zinagomea wateja. Hata kama NHIF ina changamoto zake lakini sio kwa extent ya kugomea wateja wake...yaani wa kina sisi.

Sio kwamba hatuoni mnavyolazimisha na mlivyotengeneza genge la kuwapiga watanzania kwa kuexagerrate price za tiba mfano oxygen.

Hongera waziri tukiwaachia watatuletea ombwe kama ilivyo huko USA yaani mwalimu au hata daktari atashindwa kumudu gharama za matibabu.

AFYA SIO BIASHARA....NI HUDUMA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Zipo baadhi ya hospitali binafsi ambazo ziliwahi kubebwa sana na Serikali na hatimaye zikapata faida kubwa na kujiimarisha.

Zipo baadhi ya hospitali zilianza kama hospitali za kujitolea yaani Charitable hospitals lakini leo zinaingia kwenye mkumbo wa kishabiki.

NHIF amehusika kukuza hospitali nyingi za binafsi kwa reimbursement ya mafedha mengi leo hii zinagomea wateja. Hata kama NHIF ina changamoto zake lakini sio kwa extent ya kugomea wateja wake...yaani wa kina sisi.

Sio kwamba hatuoni mnavyolazimisha na mlivyotengeneza genge la kuwapiga watanzania kwa kuexagerrate price za tiba mfano oxygen.

Hongera waziri tukiwaachia watatuletea ombwe kama ilivyo huko USA yaani mwalimu au hata daktari atashindwa kumudu gharama za matibabu.

AFYA SIO BIASHARA....NI HUDUMA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Siku hizi AFYA sio Huduma tena ni BIASHARA, wife anafanya kazi hospitali na hapo kituoni kwao wagonjwa wanaitwa wateja.
 
Back
Top Bottom