Inahitaji ujasiri kumiliki PASSO

Huwezi kuwa na akili timamu ukaja sehemu nikakuuliza umekujaje ukasema umekuja na gari halafu ukanionesha passo...ni bora uje na daladala tu nijue hujanunua gari unajipanga. passo nayo ni gari? hiki ni kidude kinatumika kwa wale wacheza golf kuwazungusha wenye viwanja vya golf huku tanzania ndo tunasafiria. sasa passo unaenda nayo mbeya na ile milima kweli wewe una akili? unataka upate ajali njiani umsingizie shetani..kigari kinapigwa upepo kinataka kupinduka umeshwah endesha gari njia kuu ukakutana na yale malori au mabasi yameachia break yanawah mitaa flan? ule upepo wake tu unaweza ukakuta kigari chako kinaBinduka. viacheni vipasso hapa mjini tu akina mama waendee sokoni na wadada wa kazi pia kuwapelekea watoto shule. ila usije mwanaume mzima na akili zako unanambia una gari gari lenyewe passo....jinga kabisa.

Kapimwe akili wewe... acha dhalau
Huyu jamaa kama ni dharau hizi za kiwango cha lami
 
Wewe umenunua Passo kuu kuu unakuja kulia lia huku... Tangu lini gari imetembea kilometer kama laki mbili ivi ikawa nzima. Nunua angalau ka Passo kametembea KM elfu sabini angalau na wewe uongeze nyingine hamsini hapo kabla hakajaenda kaburini kuchinjwa skreppa...
Hapa ndo mnapopigwa,mnaamini gari yenye km ndogo ndo nzma,watu wanazirudisha nyuma hizo!Kalaga baho!!
 
Kuchemsha kwa gari ni tatizo linaloweza kutokea kwa gari yoyote ile.
Mara nyingi imettokea hizi gari zinazotumika kwa safari fupi ukibhokoza safari ndefu usipokuwa makini lazima ichemshe.
Muhimu ni kujua gari yako ikoje na hata ikitokea unasafiri safari ndefu lazima uwe na tahadhari.
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Co kwel kk
 
Huwezi kuwa na akili timamu ukaja sehemu nikakuuliza umekujaje ukasema umekuja na gari halafu ukanionesha passo...ni bora uje na daladala tu nijue hujanunua gari unajipanga. passo nayo ni gari? hiki ni kidude kinatumika kwa wale wacheza golf kuwazungusha wenye viwanja vya golf huku tanzania ndo tunasafiria. sasa passo unaenda nayo mbeya na ile milima kweli wewe una akili? unataka upate ajali njiani umsingizie shetani..kigari kinapigwa upepo kinataka kupinduka umeshwah endesha gari njia kuu ukakutana na yale malori au mabasi yameachia break yanawah mitaa flan? ule upepo wake tu unaweza ukakuta kigari chako kinaBinduka. viacheni vipasso hapa mjini tu akina mama waendee sokoni na wadada wa kazi pia kuwapelekea watoto shule. ila usije mwanaume mzima na akili zako unanambia una gari gari lenyewe passo....jinga kabisa.
Duuuuuhhh
 
Huwezi kuwa na akili timamu ukaja sehemu nikakuuliza umekujaje ukasema umekuja na gari halafu ukanionesha passo...ni bora uje na daladala tu nijue hujanunua gari unajipanga. passo nayo ni gari? hiki ni kidude kinatumika kwa wale wacheza golf kuwazungusha wenye viwanja vya golf huku tanzania ndo tunasafiria. sasa passo unaenda nayo mbeya na ile milima kweli wewe una akili? unataka upate ajali njiani umsingizie shetani..kigari kinapigwa upepo kinataka kupinduka umeshwah endesha gari njia kuu ukakutana na yale malori au mabasi yameachia break yanawah mitaa flan? ule upepo wake tu unaweza ukakuta kigari chako kinaBinduka. viacheni vipasso hapa mjini tu akina mama waendee sokoni na wadada wa kazi pia kuwapelekea watoto shule. ila usije mwanaume mzima na akili zako unanambia una gari gari lenyewe passo....jinga kabisa.
Hizi ni shombo za level yab masters
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Hiyo ina shida
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Huu ni mtazamo mkuu! na inawezekana ulipata gari ikiwa tayali inamatatizo. Mimi nina Passo kwasasa mbali na nyingine ninazotumia, na nimekuwa nikienda karibu mara mbili kila mwezi Mwanza - Dodoma bila kuhisi hiyo shida ya kuchemsha.

Unaweza kuangalia yafuatayo:
1. Hakikisha rejeta yako imefanyiwa ukaguzi/kusafishwa na mtu ambaye ni mtaalam.
2. Jaribu kuachana na kuweka maji ya Duwasa/Dawasco au kisima kwenye rejeta - jitahidi kutumia coolant. Napendekeza utumie coolant bora sio zile zinazouzwa gerezani. Pata kutoka BP au kampuni nyingine zinazojitambua.

3. Fanya wholesome wngine check - ipimwe system yote. Garage za veta au kwengineko wanaweza kupima gari gako na kukushauri vipuri ambavyo tayali vimechakaa na unahitaji kubadilisha.

Naamini ukifanya haya mkuu wangu, tatizo linaweza kupungua.

TATIZO LA PASSO:
Gari nyingi aina ya Passo zona shida ya usukani kuwa mgumu - kuna indicator moja inajitokeza unapowasha gari "EPS" - ikitokea hiyo unaweza kushawishika kutupa gari kwani hata baadhi ya mafindi wa toyota hasa mikoani hawajui namna ya kurekebisha.

Zaidi ya shida hii sijaona. Kinachonifurahisha zaidi ni kuwa natumia 120,000/- mwezi mzima tofauti na gari zangu nyingine nilipokuwa natumia zaidi ya 250,000/- kwa mwezi (hii nazungumzia Mwanza).

Jitahidi matunzo kwa gari yoyote - utaipenda
 
Back
Top Bottom