NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Watu tuna zereu balaa!Narudia, passo ni sawa na wheel Barrow yenye injini. Usithubutu kununua.
Watu tuna zereu balaa!Narudia, passo ni sawa na wheel Barrow yenye injini. Usithubutu kununua.
Kweli mkuu, mafundi wa chini ya mwembe wanapotosha sana. Mimi nilitoa thermostat kweli mlori wangu Hilux DC 2.8 ya 2001. Siku nilipoamua kwenda nayo kwetu nyanda za juu kusini, hata Morogoro sikufika, ikachemsha. Bahati nzuri ile thermostat niliitunza. Baada ya kirudishia sija-experience kuchemsha tena.Unajua kazi ya thermostat? Endeleeni kusikiliza mafundi wenu wa chini ya miembe.
Mkuu unazurula jf yote na unatunza kumbukumbu wa kukhajhaKuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Hiyo ni passo yako tu, pole me nina passo tangu 2014 mpaka leo na napiga root ndefu zote Tanzania bara. Hakuna cha kutoa thermostat wala nn na hii yangu ni 4pMpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Hahahahahaaaa ... mi napita tu!!Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
natumia CORONA ya mwaka 2000, CC 1790 sasa ina KM 248000 kila weekend na tembea zaidi ya KM 500 (Mbeya_Njombe) haijawahi kuchemka! "WATCH IT"Wewe umenunua Passo kuu kuu unakuja kulia lia huku... Tangu lini gari imetembea kilometer kama laki mbili ivi ikawa nzima. Nunua angalau ka Passo kametembea KM elfu sabini angalau na wewe uongeze nyingine hamsini hapo kabla hakajaenda kaburini kuchinjwa skreppa...
CORONA si PASSO ndugu, "flent pogi"natumia CORONA ya mwaka 2000, CC 1790 sasa ina KM 248000 kila weekend na tembea zaidi ya KM 500 (Mbeya_Njombe) haijawahi kuchemka! "WATCH IT"
Yaan huyo Jamaa muongo Hatari..Acha uwongo hiyo passo yako itakuwa baiskeli ,pikpiki yenyewe inatembea 250 km bila kuchemka na aina rejeta.
Hahhaaaaaa unachekesha sana.sawasawa umpe mtu ushauri atoe thermostat kwenye pasi yake ya umeme.Kuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Wewe una gari gani? Usikute hata guta hunaIngekuwa amri yangu ningepiga ban gari za kipuuzi zisitumike maeneo ya mjini kabisa labda mikoani huko.Exception ni kama zikiwa kwenye kampuni ya taxi na zisizidi miaka mitatu from manufactured date.
Kwa wote wenye plates za njano nahitaji kuona SUV za maana tu jijini Dar, na executive sedans, series 7 bmw, s class, royal crown, jaguar xf, ls 500 and the like! Zote zitembeazo zisizidi 5 years from manufactured date.
Sio kujaza barabara na mataka taka foleni tu za kijinga. Wasioweza wapande mwendokasi ziwekwe kila route,treni ama wanunue pikipiki!
Mi nina range rover mkuu, sio kama nachukia bureWewe una gari gani? Usikute hata guta huna
YarisKati ya Suzuki Swift, Toyota Passo, Toyota Vitz/Yaris, Honda Fit na Toyota Starlet. Ni baby walker gani ipo imara zaidi, inaweza kwenda masafa zaidi (considering kuwa hizi zote ni town cars). Sijaweka Toyota IST coz nahisi ipo juu ya hizi zote.