Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,759
- 40,995
Tununue zipi
Nunua NYUMBU CRUISERTununue zipi
Hizi habari mnatoa wapi? Sasa hivi nina gari lina km 234,000. Hili ukiliona na kuendesha hutajua kama limetembea km234k. Lingine limepaki lina miles 160,000 ambazo ni km 250,000+.Wewe umenunua Passo kuu kuu unakuja kulia lia huku... Tangu lini gari imetembea kilometer kama laki mbili ivi ikawa nzima. Nunua angalau ka Passo kametembea KM elfu sabini angalau na wewe uongeze nyingine hamsini hapo kabla hakajaenda kaburini kuchinjwa skreppa...
Unajua kazi ya thermostat? Endeleeni kusikiliza mafundi wenu wa chini ya miembe.Kuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Mkuu, hizo gari ni za engine ya Petrol au Diesel?Hizi habari mnatoa wapi? Sasa hivi nina gari lina km 234,000. Hili ukiliona na kuendesha hutajua kama limetembea km234k. Lingine limepaki lina miles 160,000 ambazo ni km 250,000+.
Petrol. Kitu muhimu ni service tu. Kama gari unaihudumia vizuri,huigongi hovyo itatembea hadi ifanane na wewe.Mkuu, hizo gari ni za engine ya Petrol au Diesel?
we bwana wacha ichafua passo,, we ka passo kako ka cc 990 alafu dashboard kanasoma km 509888 wadhani kataacha chemsha hata ukitia reverse tu ya dakika mbili,, wacha bhanaaa.. kati ya gari ndogo zinazofanya vyema mjini ni Paasso na kama una safari ndefu ya cc 1200 is the bestMpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Upo correct bro nilikuaga na tezza ikafika 235000km nikauza hyo ilikua mwaka 2015 na mteja niliyemuuzia had leo bado anayo just imagineHizi habari mnatoa wapi? Sasa hivi nina gari lina km 234,000. Hili ukiliona na kuendesha hutajua kama limetembea km234k. Lingine limepaki lina miles 160,000 ambazo ni km 250,000+.
Acha uwongo hiyo passo yako itakuwa baiskeli ,pikpiki yenyewe inatembea 250 km bila kuchemka na aina rejeta.Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
kwanini IST hujaweka ukubwa wake nini??Kati ya Suzuki Swift, Toyota Passo, Toyota Vitz/Yaris, Honda Fit na Toyota Starlet. Ni baby walker gani ipo imara zaidi, inaweza kwenda masafa zaidi (considering kuwa hizi zote ni town cars). Sijaweka Toyota IST coz nahisi ipo juu ya hizi zote.
anaweza akawa bado anayo lakini kapakiUpo correct bro nilikuaga na tezza ikafika 235000km nikauza hyo ilikua mwaka 2015 na mteja niliyemuuzia had leo bado anayo just imagine
Ina version kubwa kidogo, achilia ile ya 1.3L kuna ya 1.5L engine, ndio maana nimeitoa.kwanini IST hujaweka ukubwa wake nini??
vitz kuna 1L, 1.3L, 1.5L, 1.6L, 1.8L na diesel 1.4LIna version kubwa kidogo, achilia ile ya 1.3L kuna ya 1.5L engine, ndio maana nimeitoa.
Kapimwe akili wewe... acha dhalauHuwezi kuwa na akili timamu ukaja sehemu nikakuuliza umekujaje ukasema umekuja na gari halafu ukanionesha passo...ni bora uje na daladala tu nijue hujanunua gari unajipanga. passo nayo ni gari? hiki ni kidude kinatumika kwa wale wacheza golf kuwazungusha wenye viwanja vya golf huku tanzania ndo tunasafiria. sasa passo unaenda nayo mbeya na ile milima kweli wewe una akili? unataka upate ajali njiani umsingizie shetani..kigari kinapigwa upepo kinataka kupinduka umeshwah endesha gari njia kuu ukakutana na yale malori au mabasi yameachia break yanawah mitaa flan? ule upepo wake tu unaweza ukakuta kigari chako kinaBinduka. viacheni vipasso hapa mjini tu akina mama waendee sokoni na wadada wa kazi pia kuwapelekea watoto shule. ila usije mwanaume mzima na akili zako unanambia una gari gari lenyewe passo....jinga kabisa.