Gari hizi usisafiri nazo Mkoani: Usifanye haya, Tanganyika inakuhitaji.

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
aaaaab.jpeg


aaaaabc.jpeg
aaaaa.jpeg




Kuelekea sikuku ya Kuzaliwa Yesu, mkombozi wa wandamu wote, Watu wanasafiri sanna mkoa mmoja kwenda mwengine kujumuika na familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
.
Ajali nyingi kipindi hiki na hasa watu wanaotoka Dar kwenda mikoani.
Sababu za ajali ni pamoja na :

1. Aina ya gari, mfano Prado Mchagga huwa zinakatika miguu ya mbele hta kama ni mpya, hiyo ni defect toka kiwandani na inaasikitisha mpaka leo TBS wanaruhusu hizo gari kuingia nchini.

2 . Nissan dualis, zimeumbiwa baridi, nyingi zinaungua na madereva unakuta kaweka mziki mnene ndani hasikii wala kujua kinachoendelea.

3.Passo, Ractic na vigari sivivyozidi CC 1000 si kwa safari ndefu, vinapeperushwa na upepo, piston ndogo unakuta dereva wa Passo anata ku -overtake garo ya cc 4000.

4.Unywaji Pombe:- Dereva unakeha usiku na marafiki zako bar, mnaagana saa saba usiku alafu saa 11 alfajiri upo barabarani huku ukijidanganya na malta na kahawa, ndugu utasinzia tu.

5. Kufanya mapenzi kabla ya safari: Kufanya mapenzi kabla ya safari ,wanaita kuagana, unakesha kwa mwanamke unapiga mpaka alfakjiri then kuoga huogi unakamata usukani, uchovu unkubeba unafia ajalini.

6. Kula na kuvimbiwa: Unakula kwa kukomoa chakula, nyama zinahitaji oksijeni kumengenywa, utakula digestion ikianza unasinzia, unalala barabarani.

7. Kushondana kuwahi safari, unachati na wenzako mnaokwenda msohi na kuringishiana mlipofika, unataka uwaki zaidi ya mwenzio, utapata ajali.

8. Kutokujua barabara, mfano maeneo ya msambiazi kuna kona kali na zipo nyingi, kama hujui lazma ujibamize: Eneo lingine hatari ni Same na Hedaru kuna upepo mkali, gari ikipigwa upepo inahama hivyo eneo hili hakikisha unafunga vioo vyote.

9. TRAFFCIK:Hawa ni chanzo cha ajali , wanasimamisha gari popote bila kuzingatia ajjaye nyuma ya mhusika, ndio unagongwa unajifia.

10. Mashimo ya muda mrefu na TANROAD kuyasusa, hapa unakuta unakwepa shimo ukidhani utamuwahi wa upand wa pili unafia hapo. Mnakumbuka yule bibi harusi anaitwa Chao alikufa pale Same na mama yake wakitokea morogoro, walikuwa wanakwepa shimo barabarani wakakutana na gari ya upande wapili.

11. Gari zilizofunga breki za kichina, hakikisha una breki za uhakika, achana na maspea ya Mtaa wa lumumba, kule wanauza famba.

12. Bajaji hasa maeneo ya miji mipya, korogwe, mkata, msata zenyewe zinamadereva hawana leseni na wanajihisi wao ni kiola kitu, jichunge na bajaji, ukiona anakuja kuliko upinduke mbamizie mtaroni ujisalimishe polisi.

Mnaoendesha kwend amikoani kupitia njia ya Dar -Chalinze, hii barabara ina malori mengi, pia ina kashata yani imetitia upande upande, sasa ukiwa una overtake hakikisha unatoka kwa hatua na kurudi taratibu na pia hii barabara ni hatari sana kwa malori, dereva katoka Tunduma, Rwanda, Zambia, Congo wanakuwa wamechoka na wanasinzia hivyo hawana umakini na gari ndogo, kuwa makini sana barabara hii.


MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za usalama barabarani.

VIFO VYA AJALI BARABARANI
(a) Uendeshaji wa hatari
(b) Uzembe wa dereva=1573
(c) Uzembe wa waendesha baiskeli=205
(d) Uzembe wa waendesha pikipiki=1142
(e) Uzembe wa abiria=6
(f) Mwendokasi=509
(g) Mifugo=13
(h) Kupita gari bila uangalifu(overtake)=265
(i) Uzembe wa waenda kwa miguu=388
(j) Uzembe wa waendesha mikokoteni=7
(k) Ulevi=93

NB: Serikali ipige marufuku hizi Prado zinaaitwa PRADO MCHAGGA
 
View attachment 2842479

View attachment 2842477View attachment 2842478



Kuelekea sikuku ya Kuzaliwa Yesu, mkombozi wa wandamu wote, Watu wanasafiri sanna mkoa mmoja kwenda mwengine kujumuika na familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
.
Ajali nyingi kipindi hiki na hasa watu wanaotoka Dar kwenda mikoani.
Sababu za ajali ni pamoja na :

1. Aina ya gari, mfano Prado Mchagga huwa zinakatika miguu ya mbele hta kama ni mpya, hiyo ni defect toka kiwandani na inaasikitisha mpaka leo TBS wanaruhusu hizo gari kuingia nchini.

2 . Nissan dualis, zimeumbiwa baridi, nyingi zinaungua na madereva unakuta kaweka mziki mnene ndani hasikii wala kujua kinachoendelea.

3.Passo, Ractic na vigari sivivyozidi CC 1000 si kwa safari ndefu, vinapeperushwa na upepo, piston ndogo unakuta dereva wa Passo anata ku -overtake garo ya cc 4000.

4.Unywaji Pombe:- Dereva unakeha usiku na marafiki zako bar, mnaagana saa saba usiku alafu saa 11 alfajiri upo barabarani huku ukijidanganya na malta na kahawa, ndugu utasinzia tu.

5. Kufanya mapenzi kabla ya safari: Kufanya mapenzi kabla ya safari ,wanaita kuagana, unakesha kwa mwanamke unapiga mpaka alfakjiri then kuoga huogi unakamata usukani, uchovu unkubeba unafia ajalini.

6. Kula na kuvimbiwa: Unakula kwa kukomoa chakula, nyama zinahitaji oksijeni kumengenywa, utakula digestion ikianza unasinzia, unalala barabarani.

7. Kushondana kuwahi safari, unachati na wenzako mnaokwenda msohi na kuringishiana mlipofika, unataka uwaki zaidi ya mwenzio, utapata ajali.

8. Kutokujua barabara, mfano maeneo ya msambiazi kuna kona kali na zipo nyingi, kama hujui lazma ujibamize: Eneo lingine hatari ni Same na Hedaru kuna upepo mkali, gari ikipigwa upepo inahama hivyo eneo hili hakikisha unafunga vioo vyote.

9. TRAFFCIK:Hawa ni chanzo cha ajali , wanasimamisha gari popote bila kuzingatia ajjaye nyuma ya mhusika, ndio unagongwa unajifia.

10. Mashimo ya muda mrefu na TANROAD kuyasusa, hapa unakuta unakwepa shimo ukidhani utamuwahi wa upand wa pili unafia hapo. Mnakumbuka yule bibi harusi anaitwa Chao alikufa pale Same na mama yake wakitokea morogoro, walikuwa wanakwepa shimo barabarani wakakutana na gari ya upande wapili.

11. Gari zilizofunga breki za kichina, hakikisha una breki za uhakika, achana na maspea ya Mtaa wa lumumba, kule wanauza famba.

12. Bajaji hasa maeneo ya miji mipya, korogwe, mkata, msata zenyewe zinamadereva hawana leseni na wanajihisi wao ni kiola kitu, jichunge na bajaji, ukiona anakuja kuliko upinduke mbamizie mtaroni ujisalimishe polisi.

MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za usalama barabarani.

VIFO VYA AJALI BARABARANI
(a) Uendeshaji wa hatari
(b) Uzembe wa dereva=1573
(c) Uzembe wa waendesha baiskeli=205
(d) Uzembe wa waendesha pikipiki=1142
(e) Uzembe wa abiria=6
(f) Mwendokasi=509
(g) Mifugo=13
(h) Kupita gari bila uangalifu(overtake)=265
(i) Uzembe wa waenda kwa miguu=388
(j) Uzembe wa waendesha mikokoteni=7
(k) Ulevi=93

NB: Serikali ipige marufuku hizi Prado zinaaitwa PRADO MCHAGGA
Hahaaaa ,Kwa nini waliziita Prado mchaga mkuu ,?
 
Hahaaaa ,Kwa nini waliziita Prado mchaga mkuu ,?
Mjini hapa Magari yana majina kutokana na matukio.

1. Prado Mchagga- Wazee wa Kichaga wanazipenda, ni mult purpose, kusafiri, kanisani na pia kubeba vitu vizito, hazipo soft.

2. Rav 4 Kili time ......
3. Harrier New Model--tako la nyani.
4. Harrier New new model--- Anaconda
5. Rav 4 --miss Tanzania.
6. Toyota RVR ----kitchen Party
7. Cruiser- shangingi-- hii zilikuwa za wabunge na mashangingi walikuwa wanajipendekeza kwa wabunge
8. Benzi-- Macho ya Panzi.
 
kwa hizo prado ni kweli ....mimi mwenyewe nimeshuhudia 2 zikiwa zimechomoka Tairi la mbele ...hadi nikaziogopa hizo gari...!​
Ajali ya pale Kimara wanafunzi wa UDSM na familia yake walikufa, ilikatika mguu wa mbele na haikuwa spidi kubwa.

Mbunge wa CHADEMA viti maalum yule dada sikumbuki jina pale chalinze nayo ilikata mguu wa mbele ikamuua.
 
View attachment 2842479

View attachment 2842477View attachment 2842478



Kuelekea sikuku ya Kuzaliwa Yesu, mkombozi wa wandamu wote, Watu wanasafiri sanna mkoa mmoja kwenda mwengine kujumuika na familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
.
Ajali nyingi kipindi hiki na hasa watu wanaotoka Dar kwenda mikoani.
Sababu za ajali ni pamoja na :

1. Aina ya gari, mfano Prado Mchagga huwa zinakatika miguu ya mbele hta kama ni mpya, hiyo ni defect toka kiwandani na inaasikitisha mpaka leo TBS wanaruhusu hizo gari kuingia nchini.

2 . Nissan dualis, zimeumbiwa baridi, nyingi zinaungua na madereva unakuta kaweka mziki mnene ndani hasikii wala kujua kinachoendelea.

3.Passo, Ractic na vigari sivivyozidi CC 1000 si kwa safari ndefu, vinapeperushwa na upepo, piston ndogo unakuta dereva wa Passo anata ku -overtake garo ya cc 4000.

4.Unywaji Pombe:- Dereva unakeha usiku na marafiki zako bar, mnaagana saa saba usiku alafu saa 11 alfajiri upo barabarani huku ukijidanganya na malta na kahawa, ndugu utasinzia tu.

5. Kufanya mapenzi kabla ya safari: Kufanya mapenzi kabla ya safari ,wanaita kuagana, unakesha kwa mwanamke unapiga mpaka alfakjiri then kuoga huogi unakamata usukani, uchovu unkubeba unafia ajalini.

6. Kula na kuvimbiwa: Unakula kwa kukomoa chakula, nyama zinahitaji oksijeni kumengenywa, utakula digestion ikianza unasinzia, unalala barabarani.

7. Kushondana kuwahi safari, unachati na wenzako mnaokwenda msohi na kuringishiana mlipofika, unataka uwaki zaidi ya mwenzio, utapata ajali.

8. Kutokujua barabara, mfano maeneo ya msambiazi kuna kona kali na zipo nyingi, kama hujui lazma ujibamize: Eneo lingine hatari ni Same na Hedaru kuna upepo mkali, gari ikipigwa upepo inahama hivyo eneo hili hakikisha unafunga vioo vyote.

9. TRAFFCIK:Hawa ni chanzo cha ajali , wanasimamisha gari popote bila kuzingatia ajjaye nyuma ya mhusika, ndio unagongwa unajifia.

10. Mashimo ya muda mrefu na TANROAD kuyasusa, hapa unakuta unakwepa shimo ukidhani utamuwahi wa upand wa pili unafia hapo. Mnakumbuka yule bibi harusi anaitwa Chao alikufa pale Same na mama yake wakitokea morogoro, walikuwa wanakwepa shimo barabarani wakakutana na gari ya upande wapili.

11. Gari zilizofunga breki za kichina, hakikisha una breki za uhakika, achana na maspea ya Mtaa wa lumumba, kule wanauza famba.

12. Bajaji hasa maeneo ya miji mipya, korogwe, mkata, msata zenyewe zinamadereva hawana leseni na wanajihisi wao ni kiola kitu, jichunge na bajaji, ukiona anakuja kuliko upinduke mbamizie mtaroni ujisalimishe polisi.

MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za usalama barabarani.

VIFO VYA AJALI BARABARANI
(a) Uendeshaji wa hatari
(b) Uzembe wa dereva=1573
(c) Uzembe wa waendesha baiskeli=205
(d) Uzembe wa waendesha pikipiki=1142
(e) Uzembe wa abiria=6
(f) Mwendokasi=509
(g) Mifugo=13
(h) Kupita gari bila uangalifu(overtake)=265
(i) Uzembe wa waenda kwa miguu=388
(j) Uzembe wa waendesha mikokoteni=7
(k) Ulevi=93

NB: Serikali ipige marufuku hizi Prado zinaaitwa PRADO MCHAGGA
Umewasahau wajomba wa pawa tila na trekta zisizo na reflector usiku na alfajiri, pia wazee wa matela ya punda na ng'ombe
 
Kama hauna sababu za msingi kusafiri mwishoni mwa mwaka na mwanzoni mwa mwaka kaa nyumbani na familia yako.
Unaweza kuwa makini ila dereva asiyemakini akakusababishia ajali
Kwa wale wa Dar, maeneo ya Coco Beach Haile Selasie, Mbezi ya chini huko kuna starehe nyingi hasa nigh clubs, ajali nyingi kila mwenye alteza, anataka aonyeshe tambwe zake.
 
View attachment 2842479

View attachment 2842477View attachment 2842478



Kuelekea sikuku ya Kuzaliwa Yesu, mkombozi wa wandamu wote, Watu wanasafiri sanna mkoa mmoja kwenda mwengine kujumuika na familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
.
Ajali nyingi kipindi hiki na hasa watu wanaotoka Dar kwenda mikoani.
Sababu za ajali ni pamoja na :

1. Aina ya gari, mfano Prado Mchagga huwa zinakatika miguu ya mbele hta kama ni mpya, hiyo ni defect toka kiwandani na inaasikitisha mpaka leo TBS wanaruhusu hizo gari kuingia nchini.

2 . Nissan dualis, zimeumbiwa baridi, nyingi zinaungua na madereva unakuta kaweka mziki mnene ndani hasikii wala kujua kinachoendelea.

3.Passo, Ractic na vigari sivivyozidi CC 1000 si kwa safari ndefu, vinapeperushwa na upepo, piston ndogo unakuta dereva wa Passo anata ku -overtake garo ya cc 4000.

4.Unywaji Pombe:- Dereva unakeha usiku na marafiki zako bar, mnaagana saa saba usiku alafu saa 11 alfajiri upo barabarani huku ukijidanganya na malta na kahawa, ndugu utasinzia tu.

5. Kufanya mapenzi kabla ya safari: Kufanya mapenzi kabla ya safari ,wanaita kuagana, unakesha kwa mwanamke unapiga mpaka alfakjiri then kuoga huogi unakamata usukani, uchovu unkubeba unafia ajalini.

6. Kula na kuvimbiwa: Unakula kwa kukomoa chakula, nyama zinahitaji oksijeni kumengenywa, utakula digestion ikianza unasinzia, unalala barabarani.

7. Kushondana kuwahi safari, unachati na wenzako mnaokwenda msohi na kuringishiana mlipofika, unataka uwaki zaidi ya mwenzio, utapata ajali.

8. Kutokujua barabara, mfano maeneo ya msambiazi kuna kona kali na zipo nyingi, kama hujui lazma ujibamize: Eneo lingine hatari ni Same na Hedaru kuna upepo mkali, gari ikipigwa upepo inahama hivyo eneo hili hakikisha unafunga vioo vyote.

9. TRAFFCIK:Hawa ni chanzo cha ajali , wanasimamisha gari popote bila kuzingatia ajjaye nyuma ya mhusika, ndio unagongwa unajifia.

10. Mashimo ya muda mrefu na TANROAD kuyasusa, hapa unakuta unakwepa shimo ukidhani utamuwahi wa upand wa pili unafia hapo. Mnakumbuka yule bibi harusi anaitwa Chao alikufa pale Same na mama yake wakitokea morogoro, walikuwa wanakwepa shimo barabarani wakakutana na gari ya upande wapili.

11. Gari zilizofunga breki za kichina, hakikisha una breki za uhakika, achana na maspea ya Mtaa wa lumumba, kule wanauza famba.

12. Bajaji hasa maeneo ya miji mipya, korogwe, mkata, msata zenyewe zinamadereva hawana leseni na wanajihisi wao ni kiola kitu, jichunge na bajaji, ukiona anakuja kuliko upinduke mbamizie mtaroni ujisalimishe polisi.

MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za usalama barabarani.

VIFO VYA AJALI BARABARANI
(a) Uendeshaji wa hatari
(b) Uzembe wa dereva=1573
(c) Uzembe wa waendesha baiskeli=205
(d) Uzembe wa waendesha pikipiki=1142
(e) Uzembe wa abiria=6
(f) Mwendokasi=509
(g) Mifugo=13
(h) Kupita gari bila uangalifu(overtake)=265
(i) Uzembe wa waenda kwa miguu=388
(j) Uzembe wa waendesha mikokoteni=7
(k) Ulevi=93

NB: Serikali ipige marufuku hizi Prado zinaaitwa PRADO MCHAGGA
Sasa asiye na gari, na dualis imemgonga, unataka kusemaje?
 
Back
Top Bottom