Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,303
- 29,863
Hhhahaha nawanachuna kisengeHao wezi wanaibia waalimu hela zao miaka na miaka na hakuna faida yoyote kwa waalimu.
Hhhahaha nawanachuna kisengeHao wezi wanaibia waalimu hela zao miaka na miaka na hakuna faida yoyote kwa waalimu.
Wapigane tumpwayungu village njoo huku kimeumana tena
Hata wakivinjana pua sawa tu, nadhani utakuwa mwanzo wa kujitambua kama habari hiyo ni ya kweliWapigane tu
Kama ni kweli basi ziwe vurugu za kuleta mageuzi yenye kuwakomboa kifikra na kimaslahi maana hili kundi linakuwa kama special group vile. Ila viongozi wengi wa CWT niwanyonyaji na wahuni sana wanadhani walimu hawakwenda shule kumbe ni basi tu umasikin unawafanya wasiwe
Ha ha ha!Mpwayungu village kakinukisha uko nini
Unamuuliza Nani hili swali?Wakuu wa shule wapo hapo mkuu?
wewe ni Lecture sio mwalimu 😄😄😄Japo mimi ni mwalimu ila huu ni ukweli mchungu🤣🤣🤣
WeweUnamuuliza Nani hili swali?
Mwl mkuu yyte anaweza kuwa huko kama atakuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa cwt taifaWakuu wa shule wapo hapo mkuu?
Waache bhana acha unoko kuna training ya Ndoige na Peresu Peresu inaendelea pale ukumbiniKuna tetesi za kuwepo vurugu kubwa kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania unaoendele muda huu ndani ya Ukumbi wa CCM wa Jakaya Kikwete Dodoma .
Vyombo vya Dola tunaomba muwahi eneo la tukio mkatulize hiyo sintofahamu inayoendelea muda huu ukumbini .
Mpwayungu village kakinukisha uko nini
Umeanza!! Niwe lecturer kwa GPA gani labda🤣🤣🤣🤣wewe ni Lecture sio mwalimu 😄😄😄
Hahaha unawaona jamaa zakoHhhahaha nawanachuna kisenge
😅😅😅 3.8 with honoursUmeanza!! Niwe lecturer kwa GPA gani labda🤣🤣🤣🤣
Huwa nawapenda walimuJapo mimi ni mwalimu ila huu ni ukweli mchungu🤣🤣🤣
Nyoooooh!! 🤣🤣🤣😅😅😅 3.8 with honours
Itakua maana yule jamaa sijui walimu walimkosea nini
Au katuma wahuni kuleta vurugu.