In Edward Lowassa, I trust...

In Edward Lowassa, I trust...

Jamani mbona nachoka, hatuwezi kuachana na Lowasa tukajadili mengine na kwenda mbele. Hata kama alikuwa anafaa, najua hakuwa anafaa na hatafaa, kwani hatupo wengine wa kuongoza nchi ni lazima Lowasa.

Tusonge mbele jamani.
 
Nchi yetu inahitaji mfuatiliaji/msimiaji wa kweli kweli km tunataka maendeleo

Inatagemea na lengo la huyo mfuatiliaji; Lowasa alikuwa mfuatiliaji wa ujenzi hizo shule za kata lakini hatukuwa na maendeleo ya elimu nchini.
 
Teuzi zake bado zipo na ndizo serikali yenyewe. EL tunaye tu.
 
Jamani mbona nachoka, hatuwezi kuachana na Lowasa tukajadili mengine na kwenda mbele. Hata kama alikuwa anafaa, najua hakuwa anafaa na hatafaa, kwani hatupo wengine wa kuongoza nchi ni lazima Lowasa.

Tusonge mbele jamani.

Kama alikuwa hafai, hao wanaofaa baada ya kuingia, kikwazo kikiwa kimeondoka wamefanya nini cha kuikomboa nchi?

Au ni kusema walioingia na waliotoka wote hawafai?
 
Kama alikuwa hafai, hao wanaofaa baada ya kuingia, kikwazo kikiwa kimeondoka wamefanya nini cha kuikomboa nchi?

Au ni kusema walioingia na waliotoka wote hawafai?

Naunga mkono hoja.........
 
Bado siku chache ifike tarehe 6/2/2008 siku ambayo Mh Lowassa alitangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu kufuatia Ripoti ya kamati ya bunge juu ya sakata la Richmord.

Kwa hiyo tunakumbuka nini? Kuna kinachostahili kuadhimishwa hapo? Alichemsha, akaipua, hadithi ikaishia hapo.
 
Kwa wakazi wa dar es salaam wanakumbuka mh. Lowassa alivyopiga marufuku uchimbaji wa kokoto kule Kunduchi, jamaa walianza taratibu sasa hivi biashara ya kokoto Kunduchi imerudi kama kawaida.

Na lile la barabara tatu kupunguza msongamano ameondoka nalo.


Pale Kunduchi alitaka ajaze kifusi ajenge nyumba za kupangisha wala hakuwa na mpango mwingine.
 
There is no need crying over spilt milk. After all Lowassa is a spent force. What we need is brains not a bull-dozer for a Prime Minister! Mtoto wa Mkulima is far far better than Lowassa when it comes to realizing issues and dealing with problems of wananchi in a cool but efficient manner.
 
ana mtandao mpana sana huyo EDUARDO naona kuna vijana wameivamia JF ili waaanze kumsafisha kisirisiri TUMEWASTUKIA.Tulonge issue zingine
 
Utendaji mzuri kila mmoja anauweza isipokuwa watanzania ni waoga, hawana confidence na ni wagumu kufanya decision, EL siyo Mungu au malaika hata kama yeye hayupo siyo kwamba tumeshindwa, alitufunika kwa utendaji mzuri but alikuwa anatuibia!!
 
There is no need crying over spilt milk. After all Lowassa is a spent force. What we need is brains not a bull-dozer for a Prime Minister! Mtoto wa Mkulima is far far better than Lowassa when it comes to realizing issues and dealing with problems of wananchi in a cool but efficient manner.

Your are 500% right. I really admire Mtoto wa Mkulima.
 
Jamani mbona nachoka, hatuwezi kuachana na Lowasa tukajadili mengine na kwenda mbele. Hata kama alikuwa anafaa, najua hakuwa anafaa na hatafaa, kwani hatupo wengine wa kuongoza nchi ni lazima Lowasa.

Tusonge mbele jamani.

Historia ni muhimu kuijua/kuijifunza ili kujua tunakotoka,tulipo na tunakoenda.
Fikirisha kichwa,ona kama tuna mkosa Lowasa au alistahili kuondoka kabla hata ya 6/2/08.
 
Lowasa si kama panya? Anauma na kupuliza. Kuzuia kokoto, kujenga shule, n.k si hoja kama ile rasilimali muhimu-pesa inafichwa na kutafunwa na haohao
 
Alikuwa na kasi kila upande kwenye ufisadi na utoaji maamuzi bila kuyapima ila ufuiatiliaji hakuwepo ila ikumbukwe ili uibe lazima uwabane wa chini yako wakuachie nafasi ya kuchota kwani nao wakichota wa juu utakuwa huna cha kuchota
 
Back
Top Bottom