IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

Ndio sababu nikamuuliza Soby foreign currencies tutazitoa wapi?

Watu wanapendekeza mambo hata sijui wanakuwaje nchi haizalishi lakini tunataka kuwe na foreign currencies nyingi (hizi si hadithi za abunuwasi kupanga utajiri kwa mayai mawili). Tuwekeze katika sekta za uzalishaji ili tuweze kuexport more kuliko import ili tuweze kuongeza mapato ya foreign currencies. Na hatuwezi kuwa na ongezeko la uzalishaji bila ya serikali kuwekeza katika sekta ya kilimo, viwanda ili uzalishaji uongezeke zaidi.

Uchumi wa Tanzania sasa 26% unatokana na agriculture (from the previous 40%). Tumewekeza zaidi katika sekta ya huduma na nyenginezo. Globally there is a rise of global food prices increase of 70% (golden opportunity) lakini kilimo tunawekeza kisiasa zaidi ya kimpangilio. Boosting agricultural sector will help to increase agricultural production growth. Increase foreign currencies reserves.

Serikali inaweza kupunguza mzigo wa gharama za maisha ya mtanzania kwa kupunguza VAT from 20% to about 18% au 17%. Kodi hiyo ikaenda kuongezwa katika sekta ya madini au mawasiliano. Vile vile kodi hiyo inaweza kufidiwa kwa kuongeza vyanzo vya kodi kama kodi ya upangishaji nk.

Narudia siasa katika uchumi ni hatari tutakwama. Hatuwezi kuwa lower foreign currency exchange rate bila kuwa na ongezeko la foreign currencies through exports, investments and non-revenue incomes. Vile hatuwezi kuwa na lower foreign currency value bila ya mipango madhubuti ya kupambana na excess demand of us dollar (dollarisation) in our economy. Nilikuwapo!
Dah!!..... yaani wewe unataka kuniambia hatuwezi kuzidisha exports zetu? Hatuwezi kuzidisha ?
Then let's not waste our time.
 
wanaofanya kazi kwenye halmashauri za wilaya na sehemu nyingine wanajua hili-nchi haina hela kabisa-
baada ya muda nchi itakuwa kwenye wakati mgumu sana
 
Merekani wanakopa itakuwa Tanzania? mnanchekesha!
FF kama amekunywa maji ya bendera tunakwambia hali mbaya unazungumzia marekani nayo inakopa, weka ushabiki kando uchumi unakwenda kubaya
 
wanaofanya kazi kwenye halmashauri za wilaya na sehemu nyingine wanajua hili-nchi haina hela kabisa-
baada ya muda nchi itakuwa kwenye wakati mgumu sana
Haya ndiyo nayaita mawazo mgando. Kwanini halmashauri zishindwe kujiendesha zenyewe?
 
Mchambuzi,

Pumba nyingi mchele kidogo.


wasi wasi wangu ni kwamba kwenye mjadala huu wewe unona nyota tu!!. Unanikumbusha bibi yangu ambaye alikuwa hajui kusoma. Akikuta umeshika kitabu anasema " Naona nzehe nzehe tu". Sasa tafuta mchaga akusaidie tafsiri sahihi ya nzehe nzehe! ssi ajabu kwenye nondo za mchambuzi wewe unaona nzehe nzehe.
 
Hata haihitaji aiemuefu.maisha tu yalivopanda juu yanajieleza.kila kitu anasa siku hizi hata unga wa ugali.
 
FaizaFoxy, kuitetea serikali ya CCM inatakiwa uwe na roho ngumu kama ya paka shume mweusi, nakushauri ukubali wachambuzi wanayokwambia, hata mwanangu anapenda lile tangazo la hakielimu ambalo mwanafunzi anamuuliza mwalimu "Mwalimu kama ndiyo hivyo mbona sisi maskini" wakati tuna madini ya kila aina?

Mwanangu pia (7) alikuwa anauliza swali hilo hilo - na mimi nimempa majibu haya haya kwamba uongozi mbovu kwenye kila sekta - tena nampa na mfano wa umeme, maji, usafiri dar nk -- amenielewa. wewe bado tu unatetea nini hapa mkuu kama si ubishi usio na maana.


Ungelijuwa hilo dongo usingelirudi humu. Au humjui Mwalimu?
 
Hata haihitaji aiemuefu.maisha tu yalivopanda juu yanajieleza.kila kitu anasa siku hizi hata unga wa ugali.

Internet tu ndio bei nafuu..

Tumia muda kidogo JF jishughulishe upate unga..

Tatizo mnatumia muda mwingi kwenye internet mnakosa hela za kununulia unga..
 
Merekani wanakopa itakuwa Tanzania? mnanchekesha!
Nadhani unafaa sana kutoa maoni kama haya ukiwa chumbani kwa mmeo na si hapa.
Plz hapa hatuzungumzii mambo ya chumbani bali uchumi. Nadhani ulikosea jukwaa, badala ya jukwaa la kikubwa ukaandika huku.
 
Mchambuzi,

Pumba nyingi mchele kidogo.
Naelewa yanayokusibu faizafoxxy, upo hapa kutetea CCM lakini kwa kweli kuna mambo ambayo kwa akili timamu, huwezi kukaa na kuanza kuyasifia eti ndio mafanikio ya CCM. Hiyo inakuwa ni kama kupiga ngumi ncha ya mkuki. Isitoshe, sisi wananchama wa CCM – CCM ile ya Nyerere, sio ya Mafisadi, tunaishi ndani ya nguzo moja isemayo - “Nitasema Ukweli Daima, Fitina Kwangu Mwiko”;

Ingawa mimi ni mwana CCM kama wewe, naweka Tanzania mbele, tumbo langu nyuma; vinginevyo sishindwi kufanya unayofanya; Tofauti kubwa kati yangu na wewe ni hulka tu, kwani nikisema mtazamo najua mtazamo huo utaisha mara tu pale nafasi yako uliyonayo sasa itayeyuka; Vinginevyo siwezi kukaa hapa na akili zangu timamu kutetea mambo mengine ambayo ni wazi serikali ya CCM inayadumaza, na sana sana kutokana na Rais kuzungukwa na watu wenye hulka kama yako ya kumwambia Rais yale tu ambayo wanadhani yatamfanya atabasamu wakati wote, sio ya kumfanya rais azidi kuota mvi kichwani kutokana na kupewa taarifa za kweli na wasaidizi wake; Tazama Ma-Rais wa marekani wanavyochakaa baada ya miaka michache ya kuingia madarakani; hapa kwetu wakipata tu madaraka, wanazidi kunona, yote ni kwasababu ya watu kama wewe. Mimi nipo within the principles za chama change cha mapinduzi kama nilivyosema hapo juu na isitoshe inspiration yangu kubwa sana ni Baba wa taifa ambae imetokea unambeza. Mwalimu aliwahi sema katika kitabu chake cha binadamu na Maendeleo uk 113 – 114:
“Tunahitaji bunge na halmashauri za wilaya, zenye wajumbe safi na unyenyekevu kwa watu; lakini vile vile tunahitaji wabunge na madiwani wanaoweza kujadili jinsi tunavyoweza kutimiza shabaha zetu za Maendeleo vizuri; Halmashauri ya wilay au bunge lililojaa watu wanaoweza tu kusema “ndiyo’, ‘ndiyo’, kufuatisha mawazo ya watu wengine halitasaidia Maendeleo yetu wala demokrasia yetu”

Vinginevyo, samahani sana wana JF kwa maneno haya kwani naelewa ukichefu chefu ambao baadhi yenu mnaupata mara msikiapo CCM; mjue tu kwamba kuna wengine wengi ndani ya CCM ambao wana mawazo kama yenu kwamba CCM imechoka; lakini wanaoichosha watasinyaa muda si mrefu na kukiacha chama ki ‘rejuvenate’, vinginevyo bila Chadema makini, CCM madhubuti haiwezekani.
 
Internet tu ndio bei nafuu..

Tumia muda kidogo JF jishughulishe upate unga..

Tatizo mnatumia muda mwingi kwenye internet mnakosa hela za kununulia unga..

hivi mtoto wa malkia kaja kuanza kutekeleza lile agizo David Cameron?





l
 
Naelewa yanayokusibu faizafoxxy, upo hapa kutetea CCM lakini kwa kweli kuna mambo ambayo kwa akili timamu, huwezi kukaa na kuanza kuyasifia eti ndio mafanikio ya CCM. Hiyo inakuwa ni kama kupiga ngumi ncha ya mkuki. Isitoshe, sisi wananchama wa CCM – CCM ile ya Nyerere, sio ya Mafisadi, tunaishi ndani ya nguzo moja isemayo - "Nitasema Ukweli Daima, Fitina Kwangu Mwiko";

Ingawa mimi ni mwana CCM kama wewe, naweka Tanzania mbele, tumbo langu nyuma; vinginevyo sishindwi kufanya unayofanya; Tofauti kubwa kati yangu na wewe ni hulka tu, kwani nikisema mtazamo najua mtazamo huo utaisha mara tu pale nafasi yako uliyonayo sasa itayeyuka; Vinginevyo siwezi kukaa hapa na akili zangu timamu kutetea mambo mengine ambayo ni wazi serikali ya CCM inayadumaza, na sana sana kutokana na Rais kuzungukwa na watu wenye hulka kama yako ya kumwambia Rais yale tu ambayo wanadhani yatamfanya atabasamu wakati wote, sio ya kumfanya rais azidi kuota mvi kichwani kutokana na kupewa taarifa za kweli na wasaidizi wake; Tazama Ma-Rais wa marekani wanavyochakaa baada ya miaka michache ya kuingia madarakani; hapa kwetu wakipata tu madaraka, wanazidi kunona, yote ni kwasababu ya watu kama wewe. Mimi nipo within the principles za chama change cha mapinduzi kama nilivyosema hapo juu na isitoshe inspiration yangu kubwa sana ni Baba wa taifa ambae imetokea unambeza. Mwalimu aliwahi sema katika kitabu chake cha binadamu na Maendeleo uk 113 – 114:
"Tunahitaji bunge na halmashauri za wilaya, zenye wajumbe safi na unyenyekevu kwa watu; lakini vile vile tunahitaji wabunge na madiwani wanaoweza kujadili jinsi tunavyoweza kutimiza shabaha zetu za Maendeleo vizuri; Halmashauri ya wilay au bunge lililojaa watu wanaoweza tu kusema "ndiyo', ‘ndiyo', kufuatisha mawazo ya watu wengine halitasaidia Maendeleo yetu wala demokrasia yetu"

Vinginevyo, samahani sana wana JF kwa maneno haya kwani naelewa ukichefu chefu ambao baadhi yenu mnaupata mara msikiapo CCM; mjue tu kwamba kuna wengine wengi ndani ya CCM ambao wana mawazo kama yenu kwamba CCM imechoka; lakini wanaoichosha watasinyaa muda si mrefu na kukiacha chama ki ‘rejuvenate', vinginevyo bila Chadema makini, CCM madhubuti haiwezekani.

Mkuu vipi unapimaje kuwa wewe unaipenda zaidi Tanzania kuliko mwana JF mwingine? na kwamba wewe hutmikii tumbo lako ila wengine wanatumikia??? unatumia kipimo gani??

Kwanini chadema makini na siyo CUF au TLP au NCCR makini what is special with chadema hasa kwako binafsi kama mwana ccm?? what connects you with chadema? what is the link? and why chadema and not other parties??
 
Naelewa yanayokusibu faizafoxxy, upo hapa kutetea CCM lakini kwa kweli kuna mambo ambayo kwa akili timamu, huwezi kukaa na kuanza kuyasifia eti ndio mafanikio ya CCM. Hiyo inakuwa ni kama kupiga ngumi ncha ya mkuki. Isitoshe, sisi wananchama wa CCM – CCM ile ya Nyerere, sio ya Mafisadi, tunaishi ndani ya nguzo moja isemayo - “Nitasema Ukweli Daima, Fitina Kwangu Mwiko”;

Ingawa mimi ni mwana CCM kama wewe, naweka Tanzania mbele, tumbo langu nyuma; vinginevyo sishindwi kufanya unayofanya; Tofauti kubwa kati yangu na wewe ni hulka tu, kwani nikisema mtazamo najua mtazamo huo utaisha mara tu pale nafasi yako uliyonayo sasa itayeyuka; Vinginevyo siwezi kukaa hapa na akili zangu timamu kutetea mambo mengine ambayo ni wazi serikali ya CCM inayadumaza, na sana sana kutokana na Rais kuzungukwa na watu wenye hulka kama yako ya kumwambia Rais yale tu ambayo wanadhani yatamfanya atabasamu wakati wote, sio ya kumfanya rais azidi kuota mvi kichwani kutokana na kupewa taarifa za kweli na wasaidizi wake; Tazama Ma-Rais wa marekani wanavyochakaa baada ya miaka michache ya kuingia madarakani; hapa kwetu wakipata tu madaraka, wanazidi kunona, yote ni kwasababu ya watu kama wewe. Mimi nipo within the principles za chama change cha mapinduzi kama nilivyosema hapo juu na isitoshe inspiration yangu kubwa sana ni Baba wa taifa ambae imetokea unambeza. Mwalimu aliwahi sema katika kitabu chake cha binadamu na Maendeleo uk 113 – 114:
“Tunahitaji bunge na halmashauri za wilaya, zenye wajumbe safi na unyenyekevu kwa watu; lakini vile vile tunahitaji wabunge na madiwani wanaoweza kujadili jinsi tunavyoweza kutimiza shabaha zetu za Maendeleo vizuri; Halmashauri ya wilay au bunge lililojaa watu wanaoweza tu kusema “ndiyo’, ‘ndiyo’, kufuatisha mawazo ya watu wengine halitasaidia Maendeleo yetu wala demokrasia yetu”

Vinginevyo, samahani sana wana JF kwa maneno haya kwani naelewa ukichefu chefu ambao baadhi yenu mnaupata mara msikiapo CCM; mjue tu kwamba kuna wengine wengi ndani ya CCM ambao wana mawazo kama yenu kwamba CCM imechoka; lakini wanaoichosha watasinyaa muda si mrefu na kukiacha chama ki ‘rejuvenate’, vinginevyo bila Chadema makini, CCM madhubuti haiwezekani.

kaka mimi binafsi huwa ninahusudu sana comments zako. ni za mtu aliyekwenda shule na asiyependa kujinafikisha, ati kwa kisingizio cha u-ccm wako.

kimsingi Faiza Fox hayupo hapa kutetea CCM. yuko hapa kwa hoja za udini.

unaweza kuthibitisha hilo kwa kupitia makala za Mohamed Said zinazoeleza mambo ya uhuru wa Tanganyika.

ukipitia makala zile ndiyo utajua motives za Faiza Fox. Ni udini na kumnanga Nyerere kiasi ambacho hata mtoa mada mwenyewe hafanyi, hasa la kumsakama Nyerere na familia yake.
 
Je nikuulize Sie tunakopa kwa ajili ya kuwekeza au tunakopa kufidia mashimo ya bajeti? Vile vile nikuulize Our economic growth rate is 6.3% and rate of inflation is 17% Je growth ya tanzania inatokea wapi? Hebu tupe mchakato wa hizo activity drivers zinazosukuma uchumi kukuwa by 6.3% na vile vile kuweza kumanage debt kama unavyofikiria wewe. IMF wamesema hivi na nanukuu:-

Tunakopa kwa kuwekeza na tunakopa kwa kufidia bajeti. Hivi mabarabara, ma University, ma shule. Huo wote kivyako wewe sio uwekezaji? Unanshangaza sana.


Hivi ulitaka Serikali iwekeze tena kwenye viwanda vya umma, warudie makosa ya Nyerere? ni kiwanda kipi cha Umma kilichofanikiwa? uwekezaji wa uhakika ni kwenye elimu na miundo mbinu na huo ndio unafanyika kwa sasa, na hizo ndio katika "reforms strategies".


Kuhusu kufidia bajeti, naomba tazama takwimu zimewekwaa juu huko, uniambie ni kipindi kipi toka 1967 mpaka sasa ambacho tunafidia bajeti kwa kiwango kidogo? toka kashika Kiwete tumetoka kwenye zaidi ya 40% sasa tupo "around" 25%. Au hilo hulioni?


“Under the PSI program through June 2011, the Bank of Tanzania’s reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits. However, partly due to the shortfall in commercial borrowing, domestic financing of the budget was higher than planned and the target for accumulating net international reserves was missed. Structural reforms are moving forward, notably to strengthen debt management capacity.

“Discussions during the mission focused on ensuring that public spending does not exceed the available fiscal space; setting the right policy mix for reducing inflation; and the financial implications of Tanzania’s emergency power plan.

“It was agreed that the budget deficit in 2011/12 should be allowed to exceed the earlier programmed level (6 percent of GDP) to help finance the emergency power plan and accommodate expanded social spending. At the same time, savings will be implemented in non-priority programs, ensuring that the deficit is reduced from year-ago levels to around 6½ percent of GDP. This fiscal tightening will also help the disinflation effort.

“The authorities intend to pursue prudent fiscal policies in 2012/13 and beyond to stabilize Tanzania’s rising public debt, projected to end this year at close to 42 percent of GDP. The government has agreed that recurrent spending in the 2012/13 budget should not exceed the financing provided by revenues and grants. This will require continuing efforts to prioritize spending and/or increase revenue collections.

“The authorities will maintain tight liquidity conditions to help reduce the demand for foreign exchange and stem inflationary pressures. The floating exchange rate regime will be maintained, and the accumulation of international reserves will benefit in the coming months from new donor funding and other credits.

“The government’s emergency power plan combines public and private investment in new thermal power capacity, with initial investments having already reduced the frequency of load-shedding. The purchase cost to the state power utility of the new power supplies is relatively high, and the government recognizes that early steps will be needed to strengthen the power utility’s finances.
“Reflecting discussions in these and other areas, the authorities and the mission reached understandings, ad referendum, on economic policies and reforms that could be supported under the PSI. The IMF Executive Board is expected to take up the third PSI review in January 2012.”

Mwisho wa kunukuu.

Hayo uliyowawekea nyekundum ndio mambo yaliyokuwa kwenye "discussions" ya kuyafanyia kazi, ambayo ni kawaida kabisa, kama huna cha kuyafanyia kazi ili kuboresha uchumi wako utakuwa na faida ipi? tayari umeshatosheka? mnashangaza sana sijui hujaliona neno "discussion"?

Sasa yatazame hayo ambayo hujayaweke "red" uone ni nini hicho? uchumi mbovu?


Kwa hivyo basi serikali yenyewe inaliona tatizo la madeni ya nchi. IMF wanachokipendekeza na kukubaliana na serikali ndio hichi tunachokisema hapa kuwa serikali inahitaji kusave hela na kupunguza gharama zisizo na umuhimu pamoja na kutatua tatizo la umeme. Let us hope they keep their promise to the IMF we shall see!!!

Unasave pale unapokuwa nazo, na hilo linaongeleka tu pale unapokuwa nazo au hilo vile vile linakupa shida kufahamu hujakiona hiki kipande? hiki ndio hicho unachokiita wewe "kusave" "the Bank of Tanzania’s reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits."
 
Mkuu vipi unapimaje kuwa wewe unaipenda zaidi Tanzania kuliko mwana JF mwingine? na kwamba wewe hutmikii tumbo lako ila wengine wanatumikia??? unatumia kipimo gani??

Kwanini chadema makini na siyo CUF au TLP au NCCR makini what is special with chadema hasa kwako binafsi kama mwana ccm?? what connects you with chadema? what is the link? and why chadema and not other parties??


Offcourse mimi simsemei mchambuzi, lakini baadhi ya maswali uliyomwuliza huyu ndugu majibu yake yanajulikana kwa watu wengi- haswa walio makini. Sio siri kwamba kwa siku za karibuni kumezuka orodha ya vyama ambavyo ama vinaishabilia CCM moja kwa moja au kwa kujificha. Nitatoa mfano.


1)Kwenye kampeni za kugombea urais mwaka 2010, TLP walikuwa wakifanya kampeni waziwazi kumsaidia mgombea wa CCM, licha ya kwamba wao walisimamisha mgombea

2) Kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge Igunga, mgombea wa CUF alinukuliwa mara kdhaa akiwaambia wanaiginga kama hawtamchagua yeye, ni bora waichague CCM.

3) Sitaki kuongolea chochote jinsi ambavyo CUF imekuwa ikishirikian na CCM pale ambapo kuna uamuzi wowote wa kufikiwa kwa njia ya kupiga kura.


4) Tafuta pia taarifa za ucha guzi wa ubunge wa mwaka 2010 katika jimbo la kawe, jinsi ambavyo wale jamaa wa manunuzi walivyopambana kufa na kupona kuihujumu CDM kwa manufaa ya CCM.


Hapo sasa fanya hitimisho mwenyewe.
 
Je nikuulize Sie tunakopa kwa ajili ya kuwekeza au tunakopa kufidia mashimo ya bajeti? Vile vile nikuulize Our economic growth rate is 6.3% and rate of inflation is 17% Je growth ya tanzania inatokea wapi? Hebu tupe mchakato wa hizo activity drivers zinazosukuma uchumi kukuwa by 6.3% na vile vile kuweza kumanage debt kama unavyofikiria wewe. IMF wamesema hivi na nanukuu:-

Tunakopa kwa kuwekeza na tunakopa kwa kufidia bajeti. Hivi mabarabara, ma University, ma shule. Huo wote kivyako wewe sio uwekezaji? Unanshangaza sana.


Hivi ulitaka Serikali iwekeze tena kwenye viwanda vya umma, warudie makosa ya Nyerere? ni kiwanda kipi cha Umma kilichofanikiwa? uwekezaji wa uhakika ni kwenye elimu na miundo mbinu na huo ndio unafanyika kwa sasa, na hizo ndio katika "reforms strategies".


Kuhusu kufidia bajeti, naomba tazama takwimu zimewekwaa juu huko, uniambie ni kipindi kipi toka 1967 mpaka sasa ambacho tunafidia bajeti kwa kiwango kidogo? toka kashika Kiwete tumetoka kwenye zaidi ya 40% sasa tupo "around" 25%. Au hilo hulioni?


“Under the PSI program through June 2011, the Bank of Tanzania’s reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits. However, partly due to the shortfall in commercial borrowing, domestic financing of the budget was higher than planned and the target for accumulating net international reserves was missed. Structural reforms are moving forward, notably to strengthen debt management capacity.

“Discussions during the mission focused on ensuring that public spending does not exceed the available fiscal space; setting the right policy mix for reducing inflation; and the financial implications of Tanzania’s emergency power plan.

“It was agreed that the budget deficit in 2011/12 should be allowed to exceed the earlier programmed level (6 percent of GDP) to help finance the emergency power plan and accommodate expanded social spending. At the same time, savings will be implemented in non-priority programs, ensuring that the deficit is reduced from year-ago levels to around 6½ percent of GDP. This fiscal tightening will also help the disinflation effort.

“The authorities intend to pursue prudent fiscal policies in 2012/13 and beyond to stabilize Tanzania’s rising public debt, projected to end this year at close to 42 percent of GDP. The government has agreed that recurrent spending in the 2012/13 budget should not exceed the financing provided by revenues and grants. This will require continuing efforts to prioritize spending and/or increase revenue collections.

“The authorities will maintain tight liquidity conditions to help reduce the demand for foreign exchange and stem inflationary pressures. The floating exchange rate regime will be maintained, and the accumulation of international reserves will benefit in the coming months from new donor funding and other credits.

“The government’s emergency power plan combines public and private investment in new thermal power capacity, with initial investments having already reduced the frequency of load-shedding. The purchase cost to the state power utility of the new power supplies is relatively high, and the government recognizes that early steps will be needed to strengthen the power utility’s finances.
“Reflecting discussions in these and other areas, the authorities and the mission reached understandings, ad referendum, on economic policies and reforms that could be supported under the PSI. The IMF Executive Board is expected to take up the third PSI review in January 2012.”

Mwisho wa kunukuu.

Hayo uliyowawekea nyekundum ndio mambo yaliyokuwa kwenye "discussions" ya kuyafanyia kazi, ambayo ni kawaida kabisa, kama huna cha kuyafanyia kazi ili kuboresha uchumi wako utakuwa na faida ipi? tayari umeshatosheka? mnashangaza sana sijui hujaliona neno "discussion"?

Sasa yatazame hayo ambayo hujayaweke "red" uone ni nini hicho? uchumi mbovu?


Kwa hivyo basi serikali yenyewe inaliona tatizo la madeni ya nchi. IMF wanachokipendekeza na kukubaliana na serikali ndio hichi tunachokisema hapa kuwa serikali inahitaji kusave hela na kupunguza gharama zisizo na umuhimu pamoja na kutatua tatizo la umeme. Let us hope they keep their promise to the IMF we shall see!!!

Unasave pale unapokuwa nazo, na hilo linaongeleka tu pale unapokuwa nazo au hilo vile vile linakupa shida kufahamu hujakiona hiki kipande? hiki ndio hicho unachokiita wewe "kusave" "the Bank of Tanzania’s reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits."

andika kwa yale maandishi ya kusoma kutoka kushoto kwenda kulia.

vinginevyo tutolee pumba zako hapa.

Nyerere kesha kufa. You keep blaming him.

Una matatizo kweli.
 
Mkuu vipi unapimaje kuwa wewe unaipenda zaidi Tanzania kuliko mwana JF mwingine? na kwamba wewe hutmikii tumbo lako ila wengine wanatumikia??? unatumia kipimo gani??

Kwanini chadema makini na siyo CUF au TLP au NCCR makini what is special with chadema hasa kwako binafsi kama mwana ccm?? what connects you with chadema? what is the link? and why chadema and not other parties??
Hapa sisi wote waelewa. Chadema ndicho chama kikuu cha upinzani. Ni sawa na uingereza. Kuna conservatives, labour na liberal democrats na vingine. USA kuna democrats, Republicans na wengine. Sasa kwa Tanzania huwezi zungumzia Nccr sijui tlp!
 
andika kwa yale maandishi ya kusoma kutoka kushoto kwenda kulia.

vinginevyo tutolee pumba zako hapa.

Nyerere kesha kufa. You keep blaming him.

Una matatizo kweli.

Mkuu kilichoandikwa pale ni english huwezi kuelewa? sembuse kiarabu lugha adhim..

Wewe unaweza kuelewa hotuba ya padri tu haya mambo si mapambio ya kina mbowe na slaa..far from that..

Usikasirike elimu yako bado ni ndogo sana..uko programmed..
 
Back
Top Bottom