Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,444
Kuna msomi mmoja anaitwa walter Rodney aliaandika kiatbu chke zamani sana na nasikia alifundisha pia UDSM. Pamoja na kitabu kuwa outdated kitarehe, aliyoyaandika yamesimaa hadi sasa jana na juzi.
Ni sababu mojawapo kwa nini hata tukiwa na Migodi 20 ni Wacanada, Waustralia na na waisrel ndio watafaidika. Hata yakipatikana mafuta Ni BP and the likes ndio watafaidika. Sasa ukichanganya na mikataba mibovu na ubinfsi wa baadhi ya viongozi wetu.........
Kama hata kiwanda cha baiskeli hatuna, Laini tunakuwa mahodari wa kuagiza ma VX , kama hata maziwa ya ng'ombe tunaagiza kwa pesa za kigeni kwa kisingizo cha soko huria, Kama hata Nyama ya Kuku na mayai na hata nyama ya Ngome nayo kwenye supermareket ni za kugazia hatuwezi kutoka.....
Bigest industry kwenye nchi kama Tanzania ni Administration. Pesa Nyingi zaidi inakwenda kulipa wabunge, walimu,wahasibu na watoa huduma . watu wachache wako wenye sekta hasasa za uzalishaji. Na hao wazalishaji hasa Kilimo kwanza bao ni siasa ......So ni sisi tulio mijini wavaa tai ni mzigo.
Mfano huu ndio wasi wasi wangu zile ahadi za kisiasa za za ajira milioni bili na nyinginezo bila kuzingtia mambo ya msingi zimeongeza mzigo
Ingawa hizi ni takwimu za zamani na si za tanzania lakini huu fano wa matatizo halisi tuliyoanyo.Na mbaya zaidi tunarudi kule kule . bunge anazidi mshahar Afisa elimu wa mkoa au Afisa Kilimo wa Mkoa au Mganga Mkuu wa Mkoa. Ours is a political driven economy
Badala ya kudeal na issue kila kitu siasa.Mfano huu dhaihiri wa ratio ya mbunge per wananchi upo hata zanzibar . M tu anakuwa mbunge kwa kura 8,000. Kwa nini tuna majimbo mengi ya kisiasa wakati matatizo yetu ni hata ukiunganisha mikoa au mikao mitatu ni yale yale common, elimu, afya, maji, kilimo, Nihshati?
Ni sababu mojawapo kwa nini hata tukiwa na Migodi 20 ni Wacanada, Waustralia na na waisrel ndio watafaidika. Hata yakipatikana mafuta Ni BP and the likes ndio watafaidika. Sasa ukichanganya na mikataba mibovu na ubinfsi wa baadhi ya viongozi wetu.........
...... It is typical of underdeveloped economies that they do not (or are not allowed to) concentrate on those sectors of the economy which in turn will generate growth and raise production to a new level altogether, and there are very few ties between one sector and another so that (say) agriculture and industry could react beneficially on each other.
Kama hata kiwanda cha baiskeli hatuna, Laini tunakuwa mahodari wa kuagiza ma VX , kama hata maziwa ya ng'ombe tunaagiza kwa pesa za kigeni kwa kisingizo cha soko huria, Kama hata Nyama ya Kuku na mayai na hata nyama ya Ngome nayo kwenye supermareket ni za kugazia hatuwezi kutoka.....
....Furthermore, whatever savings are made within the economy are mainly sent abroad or are frittered away in consumption rather than being redirected to productive purposes
Bigest industry kwenye nchi kama Tanzania ni Administration. Pesa Nyingi zaidi inakwenda kulipa wabunge, walimu,wahasibu na watoa huduma . watu wachache wako wenye sekta hasasa za uzalishaji. Na hao wazalishaji hasa Kilimo kwanza bao ni siasa ......So ni sisi tulio mijini wavaa tai ni mzigo.
...Much of the national income which remains within the country goes to pay individuals who are not directly involved in producing wealth but only in rendering auxiliary services-civil servants, merchants, soldiers, entertainers, etc.
Mfano huu ndio wasi wasi wangu zile ahadi za kisiasa za za ajira milioni bili na nyinginezo bila kuzingtia mambo ya msingi zimeongeza mzigo
.........What aggravates the situation is that more people are employed in those jobs than are really necessary to give efficient service; and to crown it all these people do not reinvest in agriculture or industry. They squander the wealth created by the peasants and workers by purchasing cars, whisky and perfume.
Ingawa hizi ni takwimu za zamani na si za tanzania lakini huu fano wa matatizo halisi tuliyoanyo.Na mbaya zaidi tunarudi kule kule . bunge anazidi mshahar Afisa elimu wa mkoa au Afisa Kilimo wa Mkoa au Mganga Mkuu wa Mkoa. Ours is a political driven economy
It has been noted with irony that the principal ‘industry' of many underdeveloped countries is administration. Not long ago, 60%, of the internal revenue of Dahomey went into paying salaries of civil servants and government leaders. The salaries given to the elected politicians is higher than that given to a British Member of Parliament
Badala ya kudeal na issue kila kitu siasa.Mfano huu dhaihiri wa ratio ya mbunge per wananchi upo hata zanzibar . M tu anakuwa mbunge kwa kura 8,000. Kwa nini tuna majimbo mengi ya kisiasa wakati matatizo yetu ni hata ukiunganisha mikoa au mikao mitatu ni yale yale common, elimu, afya, maji, kilimo, Nihshati?
....the number of parliamentarians in the underdeveloped African countries is also relatively high. In Gabon, there is one parliamentary representative for every 6,000 inhabitants, compared to one French parliamentary representative for every 100,000 Frenchmen.