IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

Dah!!..... yaani wewe unataka kuniambia hatuwezi kuzidisha exports zetu? Hatuwezi kuzidisha ?
Then let's not waste our time.

Mkuu, ni mimi ambae cjaelewa au ni wewe?! manake jamaa kaeleza huwezi kuongeza forex pasipo na kuongeza exports. Likewise, kashauri kuongeza uzalishaji as a move forward to increase exports. Offcoz, if we want to earn more forex ni lazima tuongeze exports....but wht to exports if no production?! nope, we really produce for exports but if we wanna increase exports then we must increase production, bila kusahau kale ka-logical defensive mechanism kwamba keeping other factors constant!
 
Soby,

Narudia numbers do not lie. Tumezidisha exports wakati Current account deficit inaexpand kila siku. Mwezi wa 9 Tanzania current account deficit ili expand by 8% kama kawaida BOT ikakimbilia kulaumu oil prices and food prices. Zanzibar iliyokuwa ikirikodi current account surplus, recorded a deficit this year. Unafikiri hizo foreign currencies tutazitoa wapi????

Tazama hawa : Britain's deficit third worst in the world, table - Telegraph

[TABLE="width: 100%"]
[TR="class: mod2zero"]
[TD]Iceland
[/TD]
[TD] 15.7
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Greece
[/TD]
[TD] 12.7
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] Britain
[/TD]
[TD] 12.6
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Ireland
[/TD]
[TD] 12.2
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] United States
[/TD]
[TD] 11.2
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Spain
[/TD]
[TD] 9.6
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] France
[/TD]
[TD] 8.2
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Japan
[/TD]
[TD] 7.4
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] Portugal
[/TD]
[TD] 6.7
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Canada
[/TD]
[TD] 4.8
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] Australia
[/TD]
[TD] 4
[/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Germany
[/TD]
[TD] 3.2 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
nilikuwa sifahamu kama kulikuwa na tanzania ya mkoloni,
nilikuwa sijafahamu hilo-so sikuweza kui-consider kwenye comparison yangu

mkuu hawa mods nadhani inabidi wathibiti baadhi ya memba wasiwe wanapata access ya baadhi ya majukwaa.

mtu kama FF hana analofanya zaidi ya kuandika ujinga akitetea ujinga.

Tanzania ya Mkoloni hata mimi naisikia leo.
 
Tazama hawa : Britain's deficit third worst in the world, table - Telegraph

[TABLE="width: 100%"]
[TR="class: mod2zero"]
[TD]Iceland [/TD]
[TD] 15.7 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Greece [/TD]
[TD] 12.7 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] Britain [/TD]
[TD] 12.6 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Ireland [/TD]
[TD] 12.2 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] United States [/TD]
[TD] 11.2 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Spain [/TD]
[TD] 9.6 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] France [/TD]
[TD] 8.2 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Japan [/TD]
[TD] 7.4 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] Portugal [/TD]
[TD] 6.7 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Canada [/TD]
[TD] 4.8 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2zero"]
[TD] Australia [/TD]
[TD] 4 [/TD]
[/TR]
[TR="class: mod2notZero"]
[TD] Germany [/TD]
[TD] 3.2[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



unatafuta excuse.

Hivi wewe na Tanzania yako ya kwenye pochi na Uingereza au Ujerumani wapi na wapi?
 
Soby,

Narudia numbers do not lie. Tumezidisha exports wakati Current account deficit inaexpand kila siku. Mwezi wa 9 Tanzania current account deficit ili expand by 8% kama kawaida BOT ikakimbilia kulaumu oil prices and food prices. Zanzibar iliyokuwa ikirikodi current account surplus, recorded a deficit this year. Unafikiri hizo foreign currencies tutazitoa wapi????
Hatuelewani mkuu,
Numers don't lie but people do. Imports are higher than exports, ukishakubali hilo,utakuwa umepiga hatua kubwa kimaisha.
Hiyo humaanisha kuwa kuna fedha zinaingia nchini kuliko zinavyotoka. Kusu kukusanya kodi, mimi nadhani serikali ipo kwenye mkodo mzuri tu, it may be off by my be 200bn shilings, these can be compasated, by reducing allowances to politicians. And then what? what's the point of being able to pay your workers money that don't have any value?
Let's stop witch-hunting and improve our productivty... let's discuss how to improve our exports, and how to reduce our imports. If we manage to do that, then trust me my brother, or lives will improve.
 
Je nikuulize Sie tunakopa kwa ajili ya kuwekeza au tunakopa kufidia mashimo ya bajeti? Vile vile nikuulize Our economic growth rate is 6.3% and rate of inflation is 17% Je growth ya tanzania inatokea wapi? Hebu tupe mchakato wa hizo activity drivers zinazosukuma uchumi kukuwa by 6.3% na vile vile kuweza kumanage debt kama unavyofikiria wewe. IMF wamesema hivi na nanukuu:-

Tunakopa kwa kuwekeza na tunakopa kwa kufidia bajeti. Hivi mabarabara, ma University, ma shule. Huo wote kivyako wewe sio uwekezaji? Unanshangaza sana.


Hivi ulitaka Serikali iwekeze tena kwenye viwanda vya umma, warudie makosa ya Nyerere? ni kiwanda kipi cha Umma kilichofanikiwa? uwekezaji wa uhakika ni kwenye elimu na miundo mbinu na huo ndio unafanyika kwa sasa, na hizo ndio katika "reforms strategies".


Kuhusu kufidia bajeti, naomba tazama takwimu zimewekwaa juu huko, uniambie ni kipindi kipi toka 1967 mpaka sasa ambacho tunafidia bajeti kwa kiwango kidogo? toka kashika Kiwete tumetoka kwenye zaidi ya 40% sasa tupo "around" 25%. Au hilo hulioni?


"Under the PSI program through June 2011, the Bank of Tanzania's reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits. However, partly due to the shortfall in commercial borrowing, domestic financing of the budget was higher than planned and the target for accumulating net international reserves was missed. Structural reforms are moving forward, notably to strengthen debt management capacity.

"Discussions during the mission focused on ensuring that public spending does not exceed the available fiscal space; setting the right policy mix for reducing inflation; and the financial implications of Tanzania's emergency power plan.

"It was agreed that the budget deficit in 2011/12 should be allowed to exceed the earlier programmed level (6 percent of GDP) to help finance the emergency power plan and accommodate expanded social spending. At the same time, savings will be implemented in non-priority programs, ensuring that the deficit is reduced from year-ago levels to around 6½ percent of GDP. This fiscal tightening will also help the disinflation effort.

"The authorities intend to pursue prudent fiscal policies in 2012/13 and beyond to stabilize Tanzania's rising public debt, projected to end this year at close to 42 percent of GDP. The government has agreed that recurrent spending in the 2012/13 budget should not exceed the financing provided by revenues and grants. This will require continuing efforts to prioritize spending and/or increase revenue collections.

"The authorities will maintain tight liquidity conditions to help reduce the demand for foreign exchange and stem inflationary pressures. The floating exchange rate regime will be maintained, and the accumulation of international reserves will benefit in the coming months from new donor funding and other credits.

"The government's emergency power plan combines public and private investment in new thermal power capacity, with initial investments having already reduced the frequency of load-shedding. The purchase cost to the state power utility of the new power supplies is relatively high, and the government recognizes that early steps will be needed to strengthen the power utility's finances.
"Reflecting discussions in these and other areas, the authorities and the mission reached understandings, ad referendum, on economic policies and reforms that could be supported under the PSI. The IMF Executive Board is expected to take up the third PSI review in January 2012."

Mwisho wa kunukuu.

Hayo uliyowawekea nyekundum ndio mambo yaliyokuwa kwenye "discussions" ya kuyafanyia kazi, ambayo ni kawaida kabisa, kama huna cha kuyafanyia kazi ili kuboresha uchumi wako utakuwa na faida ipi? tayari umeshatosheka? mnashangaza sana sijui hujaliona neno "discussion"?

Sasa yatazame hayo ambayo hujayaweke "red" uone ni nini hicho? uchumi mbovu?


Kwa hivyo basi serikali yenyewe inaliona tatizo la madeni ya nchi. IMF wanachokipendekeza na kukubaliana na serikali ndio hichi tunachokisema hapa kuwa serikali inahitaji kusave hela na kupunguza gharama zisizo na umuhimu pamoja na kutatua tatizo la umeme. Let us hope they keep their promise to the IMF we shall see!!!

Unasave pale unapokuwa nazo, na hilo linaongeleka tu pale unapokuwa nazo au hilo vile vile linakupa shida kufahamu hujakiona hiki kipande? hiki ndio hicho unachokiita wewe "kusave" "the Bank of Tanzania's reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits."

Faiza,

Unanchekesha, serikali imejenga shule na university lakini 26% of graduates hawana kazi na youth unemployment is around 70% uko wapi huo uwekezaji unaodai wewe? Vyuo na mushrooming schools zimejengwa lakini leo watoto wa darasa la nne hawajui kusoma wala hesabu za kujumlisha moja jumlisha moja. Uko wapi huo uwekezaji? Tuna mashule ya kata mengi lakini our literacy rate is 69% hata Nyerere anamshinda ambaye alikuwa na literacy rate ya more than 70%?

Umesema kuwa our dependancy on foreign aid decline from 40% to 25% kwanza naomba figures hizo unazozisema pili labda nikupe figures za our debt to gdp ujiulize kwanini limekuwa kiasi hicho?

Before 2006 - Our Debt to GDP ratio - 53% (However, kutokana na rekodi nzuri ya ufanisi , ulipaji wa madeni na reforms za Mkapa Tanzania serikali yake ilifanikiwa kupata msamaha wa madeni).

2007 - Tukaanza na Debt to GDP ratio ya 20%

2008 Kasi ya madeni ikakuwa na Debt to GDP ratio ikapanda na kufikia 35%

2010 Our Debt to GDP ratio now stands at 40.08%.

IMF wana predict 2011 our Debt to GDP ratio kuwa 42%.

Ijapokuwa serikali imepunguza utegemezi wa donors but imelekea katika kukopa zaidi kwa ajili kuendesha serikali sasa sioni cha kujivunia hapo.

Tunarudi kule kule alikotutoa Mkapa yaani kuwa nchi zilizoelemewa na madeni. Huo ndio uchumi imara kwa mujibu wa akina Faiza unaotegemea msamaha wa madeni kwani hela zote umekopa na kuponda mali ukitegemea huruma ya nchi matajiri. Guess what Nchi wakopeshaji hawataweza tena kutusamehe kwani wao wenyewe sasa hivi hawana kitu.
 
unatafuta excuse.

Hivi wewe na Tanzania yako ya kwenye pochi na Uingereza au Ujerumani wapi na wapi?

Labda unshindwa kuelewa kuwa Uingereza na Ujerumani bila kuwa na "resources" za "raw material" na masoko ya ku "export" hawana cha kufanya.

Tanzania, kwa sasa tunafanya vizuri sana katika uchumi na dalili zote zinaonesha tutaendela kufanya vizuri, tunaona Gas, Oil zinavyochangamkiwa, viwanda vipya, uzalishaji wa chuma, na mengine kadha wa kadha, mambo ambayo ni ndoto ya kila mwenye kutaka neema katika nchi yake, yote yanafanyika ni nini kinawasumbuwa? mawazo mgando?
 
Mchambuzi hili unalosema ni kweli kabisa. Hawa CDM na hataa wapinzani wengine 80% ya effortr zao zipo kwenye political.. Tunajua matatzo mengi ya nchi zetu kwa asilimia kubwa yamesababishwa na siasa lakini suluisho la 80% linahitaji zaidi ya siasa . Though nami ni advocate wa change lakini sioni kama tunaowatazama wana mawazo mapya ya kutekelezeka na yenye tija nje ya siasa.

Sahihi kabisa Mtazamaji,
I am of the opinion kwamba - chama kitakachofanikiwa ni ike chenye political vision beyond the next elections; both chadema and CCM wana hili tatizo as we speak right now, especially CCM kwani Chadema have an upper hand to attack what they can do better, CCM wapo more on the defense on what they have done right; but all in all, ukimuuliza mwananchi wa kawaida je Chadema ni bora kwako sawa, watafanya nini tofauti? the answer becomes so vague - mchanganyiko wa kuichoka tu CCM, ufisadi, na raslimali za taifa; sasa Chadema wakijikita huko kwenye Raslimali ya taifa bila uangalifu mafanikio yao hayatakuwa long lived kwa sababu hizi:
Chadema embraces liberalisation and marketisation tangia enzi za mwasisi wake mzee mtei; angalau CCM tuna unafiki wa "siasa ya ujamaa na kujitegemea', otherwise it remains kwamba - whether we like it or no, liberalization and marketization dont and wont address the very fundamental problems facing this country - the poverty in rural areas; ndio maana uchumi wetu tunabakia nao kuwa wa ki-uchwara kwani the impressive growth doesnt trickle down, free mobility of capital badala ya directed capital, haiendi vijijini, mifano ni mingi sana; whether it is CDM or CCM, mafanikio ya kweli kuinua wananchi yanahitaji a truly nationally owned and autonomous development policy/programme kwa mwendo ule ule Mwalimu alioukataa na IMF (very radical and socialist in nature- not socialism per se, socialist in nature); na best way kuanza hili ni kwa kuonyesha hao wawekezaji, mabalozi, worldbank/IMF kwamba we can take matters in our own hands; sio kidogo tu kitu kinatokea, CDM wanaenda kuwasemea CCM kwa mabalozi, au kitu kidogo tu, CCM inaenda kupiga magoti kwa mabalozi na kuwapa a tour kidogo kwa hela za walipa kodi huko mbuga za wanyama;

Mimi sio mwanasiasa bali mwanafunzi wa siasa; natanguliza samahani kwa wale watakaokerwa na hayo juu;vinginevyo mada hapa sio hii bali IMF na kufilisika kwa tanzania;
 
mkuu hawa mods nadhani inabidi wathibiti baadhi ya memba wasiwe wanapata access ya baadhi ya majukwaa.

mtu kama FF hana analofanya zaidi ya kuandika ujinga akitetea ujinga.

Tanzania ya Mkoloni hata mimi naisikia leo.
kweli mkuu-cha ajabu anateteaa chama chake hata pale ambapo ukweli upo wazi
pia anajaribu kulinganisha vitu visivyofanana kabisa.
SIMLAUMU SANA-MAANA HIVI VYAMA VYENYE BENDERA YA KIJANI KAMA YA GADDAFI NI WABISHI SANA WA KUKUBALI KUSHINDWA,HATA PALE AMBAPO UKWELI/UWAZI KILA MTU ANAUONA+WAO PIA WANAWEZA KUUONA-HUWA WANAUPINGA TU
 
Labda unshindwa kuelewa kuwa Uingereza na Ujerumani bila kuwa na "resources" za "raw material" na masoko ya ku "export" hawana cha kufanya.

Tanzania, kwa sasa tunafanya vizuri sana katika uchumi na dalili zote zinaonesha tutaendela kufanya vizuri, tunaona Gas, Oil zinavyochangamkiwa, viwanda vipya, uzalishaji wa chuma, na mengine kadha wa kadha, mambo ambayo ni ndoto ya kila mwenye kutaka neema katika nchi yake, yote yanafanyika ni nini kinawasumbuwa? mawazo mgando?



FF, pitia hapa uone hiyo migodi inatusaidiaje!!

Siri zaidi migodi ya dhahabu zafichuka


Majimbo ya kampuni ya Anglo Gold Tanzania
Wawekezaji wajifungulia kampuni za udalali
MIGODI ya dhahabu nchini imekuwa ikikwepa kulipa kodi kwa kutengeneza mikopo ‘bandia’ iliyoombwa kama mtaji wa kuendesha shughuli na ambayo ndiyo inayodaiwa kula mapato ya mauzo kupitia katika ulipaji wake na riba, Raia Mwema imeelezwa.
Mbali na migodi hiyo kujitengenezea mikopo hiyo zipo pia taarifa ya kuwa baadhi ya migodi huuza dhahabu kwa kampuni tanzu zilizoanzishwa kwa nia ya ukwepaji kodi.
Kampuni hizo ndizo huuziwa dhahabu kwa bei nafuu ambayo ni tofauti na ile ya soko la dunia na zenyewe baadaye huuza dhahabu hiyo kwenye soko la dunia ambako bei ni kubwa, hiyo ikisaidia kuipotezea mapato Serikali kwa sababu hesabu za mauzo zinazowasilishwa serikalini ili kukokotoa takwimu na kujua kiasi cha fedha kinachopatikana ni zile za kiwango cha chini kinachohusisha mauzo kati ya migodi iliyowekeza nchini kwa kampuni za za kati.
Kiwango cha bei ya awali ambayo dhahabu imekuwa ikiuzwa kwa kampuni hizo za kati ndicho hesabu zake zimekuwa zikiwakilishwa serikalini. Kwa hiyo, takwimu halisi za mauzo ya dhahabu zimekuwa za ‘kuchakachua.’
Taarifa hizo zimefichuliwa na Kampuni ya Kimataifa ya CRA-International, iliyotafiti kinachoendelea katika migodi ya dhahabu nchini Tanzania, ikijikita zaidi katika migodi ya North Mara, mkoani Mara na Geita, mkoani Mwanza (sasa Geita).
Hali hiyo ya hujuma zinazotajwa kudumu kwa miaka kadhaa inaanza kufichuka katika wakati ambao migodi hiyo sasa imekubali kulipa kodi serikalini, makubaliano yaliyowekwa bayana na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Anglo-Gold Ashanti, Mark Cutifani, mbele ya Rais Jakaya Kikwete, walipokutana Perth, Australia, hivi karibuni.
Hata hivyo, katika hali inayothibitisha kuwa migodi ya dhahabu imekuwa hailipi kodi, taarifa ya Ikulu ilieleza kuwa Anglo-Gold Ashanti sasa italipa kodi.
“Sera nzuri za Serikali za kuyataka makampuni ya madini nchini kuanza kulipa kodi ya mapato zimeanza kuzaa matunda baada ya Kampuni ya Anglo-Gold Ashanti kutangaza kuwa italipa kodi ya sh bilioni 86 (sawa na dola za Marekani milioni 50) mwaka huu.
Taraifa ya Ikulu inathibitisha kwa kueleza kuwa ni mara ya kwanza kwa kampuni hiyo kulipa kodi ya mapato tangu mwaka 1999.
“Hii ni mara ya kwanza kwa kampuni ya Anglo-Gold Ashanti kulipa kodi ya mapato kutokana na mapato yake tokea kuingia katika soko la Tanzania mwaka 1999,” inaeleza taarifa ya Ikulu.
Hata hivyo, katika kile kinachoweza kuthibitishwa kuwa ni makosa ya awali ya Serikali kuwapa uhuru mpana wachimbaji wakubwa wa dhahabu nchini kujiamulia kulipa kodi wanapomaliza kurejesha fedha za mtaji wao, taarifa hiyo ya Ikulu imeeleza, “hatua hiyo inatokana na sera ya Serikali ya kuyataka makampuni ya madini nchini kuanza kulipa kodi ya mapato baada ya kurudisha fedha zake za uwekezaji katika uchimbaji wa madini nchini”.
Taarifa ya CRA-International iliyotafiti migodi ya Geita na North Mara inaeleza kuwa migodi hiyo imekuwa na sifa inayofanana ambayo ni kuuza dhahabu kwa kampuni zenye uhusiano nayo kwa lengo la kula njama ili kutoa takwimu zinazoweza kuikosesha mapato halisi Serikali.
Kwa upande mwingine Kampuni hiyo imeweka bayana kuwa migodi hiyo yote miwili haijawahi kulipa kodi tangu kuanzishwa kwake nchini, hali ambayo inathibitishwa na taarifa ya Ikulu kwamba kama ilivyo kwa kampuni mama ya Anglo Gold Ashanti, nayo haijawahi kulipa kodi tangu mwaka 1999.
 
Labda unshindwa kuelewa kuwa Uingereza na Ujerumani bila kuwa na "resources" za "raw material" na masoko ya ku "export" hawana cha kufanya.

Tanzania, kwa sasa tunafanya vizuri sana katika uchumi na dalili zote zinaonesha tutaendela kufanya vizuri, tunaona Gas, Oil zinavyochangamkiwa, viwanda vipya, uzalishaji wa chuma, na mengine kadha wa kadha, mambo ambayo ni ndoto ya kila mwenye kutaka neema katika nchi yake, yote yanafanyika ni nini kinawasumbuwa? mawazo mgando?

Tuanze kwanza na hii kali uliyotoa leo: "Tanzania ya Mkoloni"

back to topic:

nakwambia tena. Nyerere unayemdharau kuanzia hapo ulipo mpaka msikitini kwako, hakuwa mjinga aliposema bora madini (au rasilimali zetu for that matter) yaozee ardhini kuliko kuruhusu hawa wanaohubiri ushoga kuja kuyavuna.

Mfano hai ni nyamongo:

huyu mama nafikiri unamfahamu
nyamongo1.jpg

hizi nyumba ziko pembezoni tu mwa mgodi wa Barric
karibu kabisa na barric.jpg

serikali yenu iliyoshindwa mpaka kupewa sharti la kuwa mashoga ndiyo imetufikisha hapa. na bado mtu kama wewe unaona fahari hawa wazungu kuja kuvuna rasilimali zetu.
 
kweli mkuu-cha ajabu anateteaa chama chake hata pale ambapo ukweli upo wazi
pia anajaribu kulinganisha vitu visivyofanana kabisa.
SIMLAUMU SANA-MAANA HIVI VYAMA VYENYE BENDERA YA KIJANI KAMA YA GADDAFI NI WABISHI SANA WA KUKUBALI KUSHINDWA,HATA PALE AMBAPO UKWELI/UWAZI KILA MTU ANAUONA+WAO PIA WANAWEZA KUUONA-HUWA WANAUPINGA TU

Ni nini msichokielewa hapo?

Ripoti ya IMF hiyo hapo, inasema uchumi umekuwa kwa asilimia 6.3 kwa kipindi cha miezi 6 ya mwanzo ya 2011 na wanasema wameongelea mambo ya kuyafanyia kazi.

Sasa tazama kichwa cha habari na post ya kwanza inavyosema, anaandika tofauti kabisa na ripoti ya IMF, nani wa kula ban hapo?
 
Mkuu, ni mimi ambae cjaelewa au ni wewe?! manake jamaa kaeleza huwezi kuongeza forex pasipo na kuongeza exports. Likewise, kashauri kuongeza uzalishaji as a move forward to increase exports. Offcoz, if we want to earn more forex ni lazima tuongeze exports....but wht to exports if no production?! nope, we really produce for exports but if we wanna increase exports then we must increase production, bila kusahau kale ka-logical defensive mechanism kwamba keeping other factors constant!
Thats what we need to talk about, tunatumia dola kama miloni 3 kwa siku kuagiza mafuta na tunatengeneza milioni 60$ kwa siku. Wenzetu kenya kiasi hicho hutengeneza dola milioni karibu 110m$. What does that say about our productivity?
 
Tuanze kwanza na hii kali uliyotoa leo: "Tanzania ya Mkoloni"

back to topic:

nakwambia tena. Nyerere unayemdharau kuanzia hapo ulipo mpaka msikitini kwako, hakuwa mjinga aliposema bora madini (au rasilimali zetu for that matter) yaozee ardhini kuliko kuruhusu hawa wanaohubiri ushoga kuja kuyavuna.

Mfano hai ni nyamongo:

huyu mama nafikiri unamfahamu
View attachment 40828

hizi nyumba ziko pembezoni tu mwa mgodi wa Barric
View attachment 40829

serikali yenu iliyoshindwa mpaka kupewa sharti la kuwa mashoga ndiyo imetufikisha hapa. na bado mtu kama wewe unaona fahari hawa wazungu kuja kuvuna rasilimali zetu.
DARESS3.JPG

Dar Es Salaam

city.jpg

Mwanza
arusha-city.JPG

Arusha
 
Ni nini msichokielewa hapo?

Ripoti ya IMF hiyo hapo, inasema uchumi umekuwa kwa asilimia 6.3 kwa kipindi cha miezi 6 ya mwanzo ya 2011 na wansema wameongelea mambo ya kuyafanyia kazi.

Sasa tazama kichwa cha habari na post ya kwanza inavyosema, anaandika tofauti kabisa na ripoti ya IMF, nani wa kula ban hapo?


wewe nimekushusha kabisa.

yaani unafurahia wazungu wanavyochangamkia maliasili zetu?

looo
 
DARESS3.JPG

Dar Es Salaam

city.jpg



Mwanza
arusha-city.JPG

Arusha

sitachoka kukuita mjinga kwa sababu ujinga siyo tusi...ni sifa.

kwanza hizo picha zimepigwa kutoka juu kwa picha za namna hiyo hata uje upige choo chetu cha pasport size huku uswazini itapendeza tu.

pili nihakikishie katika hizo ghorofa za Dar/Kisutu uwiano wa waswahili na wahindi(wezi wa nchi yetu) wanaoishi au kufanya biashara humo.

nawasilisha.
 
Back
Top Bottom