- Thread starter
- #21
Asante sana ndugu, watu kama nyinyi ndo ninaowapenda. Tuache unafiki na kujifanya. Ukweli utabakia kuwa ukweli na huwa unauma sana. Ndo maana negative answers humu ndani ni nyingi sana.Kwa vile keshakiuka imani yako kwake itakuwa vigumu sana kumwamini tena. Hivyo mimi naunga kwa mkono na mguu uamuzi uliouchukua na utakaouchukua hapo siku za usoni...wink wink