- Thread starter
- #41
Tena kama ulikuwepo ndanii ya akili yangu dear, akizubaa anabandikiwa tuu. Atakapokuja kundua am already too far. Am cheating i cannot do that...i am a human being too, nanisingependa more problems. Ntazaa tuu na Mr. wangu na tutabanana hapa hapa naye. Pengine awalete hao wanawake ndani...hapo tena sina budi nikusepa tuu.Penzi la kweli adimu dunia ya leo, ila inabidi uwe makini usije ukapata mimba ya bf halafu ukampachikia mumeo.