Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,909
Tanzania haiishi vituko.
Soko la Hisa la Dar es Salaam wanafuatilia kampuni ambayo imesajiliwa kwenye soko hilo inayoitwa JATU PLC.
Hii ni kutokana na hisa za kampuni hiyo kushuka kutoka TZS 2,900 hadi TZS 290 sawa na angulo la asilimia 90.
Angalia hapa.
Swali la kujiuliza, kabla ya kusajiliwa DSE, je ilifanyiwa Due Diligence hii kampuni?
Soko la Hisa la Dar es Salaam wanafuatilia kampuni ambayo imesajiliwa kwenye soko hilo inayoitwa JATU PLC.
Hii ni kutokana na hisa za kampuni hiyo kushuka kutoka TZS 2,900 hadi TZS 290 sawa na angulo la asilimia 90.
Angalia hapa.
Swali la kujiuliza, kabla ya kusajiliwa DSE, je ilifanyiwa Due Diligence hii kampuni?