jatu plc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Mkurugenzi wa JATU PLC aomba kukiri Makosa kwa DPP

    Peter Gasaya (33) anayekabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu, amemwandika Mkurugenzi wa Mashitaka Tanzania (DPP) barua ya kukiri na kuomba apunguziwe adhabu. Gasaya alishtakiwa kwa makosa ya kujipatia fedha hizo kutoka katika Saccos ya JATU...
  2. Lady Whistledown

    DPP amfutia kesi Mkurugenzi wa JATU PLC

    DPP AMFUTIA KESI ALIYEJIPATIA BILIONI 5 KWA UDANGANYIFU Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amemfutia kesi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu Ni baada ya kuwasilisha hati ya...
  3. Mukulu wa Bakulu

    Imegundulika kwamba Kampuni ya JATU PLC iliyosajiliwa DSE ni ya kitapeli

    Tanzania haiishi vituko. Soko la Hisa la Dar es Salaam wanafuatilia kampuni ambayo imesajiliwa kwenye soko hilo inayoitwa JATU PLC. Hii ni kutokana na hisa za kampuni hiyo kushuka kutoka TZS 2,900 hadi TZS 290 sawa na angulo la asilimia 90. Angalia hapa. Swali la kujiuliza, kabla ya...
  4. G

    Jatu Plc ni Pyramid Scheme

    Wadau wa kilimo nchini wana kilio kikubwa sana baada ya kutapeliwa mabilioni ya shilingi na kampuni ya Jatu Plc ambayo imeendesha pyramid scheme tangu 2019. Kampuni hii imekuwa ikitangaza kama mkombozi wa watanzania wenye nia ya kuwekeza kwenye kilimo biashara katika mazao mbalimbali. Mwaka...
  5. Cannabis

    Sakata la JATU PLC lazidi kupamba moto, Serikali yaingilia kati mgogoro wake na wanachama

    Serikali imesema inaifuatilia Kampuni ya Jenga Afya Tokomeza Umasikini (Jatu PLC) baada ya baadhi ya wanachama wake kudai kutapeliwa mamilioni ya fedha waliyowekeza katika miradi ya kilimo. Kwa mujibu wa tovuti ya Jatu PLC, kampuni hiyo inayowaunganisha wakulima na kuwawezesha kulima kisasa...
  6. BLACK MOVEMENT

    JATU PLC ipo kwenye soko la hisa?

    Huyu JATU anajiita JATU PLC, Public Limited Company maana yake yuko kajiorodhesha kwenye soko la hisa la Dar es salaam. Sina hakika kama yuko kwenye soko la hisa ila ninacho jua ni aina ya upigaji anao ufanya. Nashangaa mamlaka husika zimelala, haiwezekani ujiite PLC then uendeshe mambo gizani...
Back
Top Bottom