Michango mingi inayotolewa humu ukiangalia kwa makini kinachosababisha madhaifu yote hayo ni UDHAIFU WA KATIBA YETU. vote of no confidence ilipaswa iwepo kwenye katiba, sio kwa Rias tu hata Wabunge na Madiwani. Kipengele hiki kingemfanya Kiongozi aliyechaguliwa kujituma na kuwafanya waliomchagua kumu-asses mara kwa mara.
CHANGAMOTO: Tunapoimizana kuchagua wabunge wa upinzani wengi lengo la msingi ni kwenda kubadilisha katiba. Sasa hivi inakuwa ngumu kwani Mbunge wa upinzani akipeleka changamoto ya kubadili Katiba kitaitishwa kikao cha wabunge wa CCM na kuelezwa madhara ya kuingizwa kipengele hicho kwa CCM bila kuangalia madhara yake kwa wakulima na wafanyakazi.
nakubaliana na Shoo Gap. msingi mkubwa wa matatizo tuliyo nayo ni katiba ndiyo maana kuna kuoneana haya katika kufanya maamuzi ya maslahi ya TAIFA na kundekeza USHIKAJI.
LEO Mtikila hana thamani ktk jamii lakini ali waambia wapinzani tushughulikie katiba kabla ya uchaguzi lakini kwa kwa sababu ccm wanajua mdhara walitumia mapandkizi yoa kwenye upinzani na uchaguzi ukafanyika. katiba ina ruhusu ubinafsi hata udikteta kutokana na madaraka makubwa aliyo nayo RAIS
CHANGAMOTO: Tunapoimizana kuchagua wabunge wa upinzani wengi lengo la msingi ni kwenda kubadilisha katiba. Sasa hivi inakuwa ngumu kwani Mbunge wa upinzani akipeleka changamoto ya kubadili Katiba kitaitishwa kikao cha wabunge wa CCM na kuelezwa madhara ya kuingizwa kipengele hicho kwa CCM bila kuangalia madhara yake kwa wakulima na wafanyakazi.
nakubaliana na Shoo Gap. msingi mkubwa wa matatizo tuliyo nayo ni katiba ndiyo maana kuna kuoneana haya katika kufanya maamuzi ya maslahi ya TAIFA na kundekeza USHIKAJI.
LEO Mtikila hana thamani ktk jamii lakini ali waambia wapinzani tushughulikie katiba kabla ya uchaguzi lakini kwa kwa sababu ccm wanajua mdhara walitumia mapandkizi yoa kwenye upinzani na uchaguzi ukafanyika. katiba ina ruhusu ubinafsi hata udikteta kutokana na madaraka makubwa aliyo nayo RAIS