Hakuna cha kuzidiwa kete na wenzake ni mpumbavu tuWatanzania wengi walikuwa na imani na Rais Kikwete alipoingia madarakani 2005,wazliamini yeye ndo atakuwa rais bora kuliko walitangulia baada ya nyerere.Lakini imekuwa tofauti na matarajio ya wengi ndo maana wakamtosa kumpa kura 2010 lakini akachakachua! Ila wengi wanaamini Kikwete ni rais mzuri tatizo amaezidiwa kete na matajiri waliomuweka madarakani hivo anatoa maamuzi kwa maslahi yao.
Je wana JF hili mnalionaje?layball: