Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Mimi nadhani hakuna haja ya kuogopa tupeleke tu huo mswada na watao upinga si haibu yao kwa wapiga kura?
Bila shaka maaskofu wataongoza huo mpango!Jambo la dowans,iptl,sh kushuka thamani,rada,mabilioni ya jk,mfumuko wa bei,umeme kupanda bei,mikataba mibovu ya madini,safari za nje
Jambo la dowans,iptl,sh kushuka thamani,rada,mabilioni ya jk,mfumuko wa bei,umeme kupanda bei,mikataba mibovu ya madini,safari za nje
Jambo la dowans,iptl,sh kushuka thamani,rada,mabilioni ya jk,mfumuko wa bei,umeme kupanda bei,mikataba mibovu ya madini,safari za nje
Halafu akiisha ondoka JK nani achukue dola ? kama ni CHADEMA hapana , hawa ni waroho wa madaraka, walafi, wazinzi, wenye kuhubiri udini na ukanda. Hawatufai hata chembe, Mungu tuepushie mbali watu hawa aisee !
Halafu akiisha ondoka JK nani achukue dola ? kama ni CHADEMA hapana , hawa ni waroho wa madaraka, walafi, wazinzi, wenye kuhubiri udini na ukanda. Hawatufai hata chembe, Mungu tuepushie mbali watu hawa aisee !
Ni mawazo yako ya kitoto
no coment kaka,ila lisemwalo lipo!Wewe NKOMBEMARO naona unaingia kwa PUPA humu Jamvini tuliza boli usiweke thread za KIMANYAKI humu.
kama huna cha kusema ni bora ukakaa kimya na si kurusha thread nyingi bila mpango .:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::rain::rain:
naona unazo 9 tu sasa tupe vitu vya maana si upuuzi km huu usio na kichwa wala miguu.
Watanzania wengi walikuwa na imani na Rais Kikwete alipoingia madarakani 2005,wazliamini yeye ndo atakuwa rais bora kuliko walitangulia baada ya nyerere.Lakini imekuwa tofauti na matarajio ya wengi ndo maana wakamtosa kumpa kura 2010 lakini akachakachua! Ila wengi wanaamini Kikwete ni rais mzuri tatizo amaezidiwa kete na matajiri waliomuweka madarakani hivo anatoa maamuzi kwa maslahi yao.
Je wana JF hili mnalionaje?😛layball: