Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
MPANGO WA ZITTO KUAMA CHADEMA UNAANZIA HAPA?

Hapa zitto alikuwa anautubia wanaccm ili wamzohee, ili mpango wa kuama ukikamilika wanachama wawe wamemuzoea

IMG_3027.JPG

I dought the authenticity of this photo, it has been superimposed, these are two different photos, wataalam wa maswala ya photos watakuambia kitu kama hicho, kwanini isielezwe hapo ni wapi na lini ilichukuliwa, maana hata kupata recognition ya watu waliohudhuria inakuwa ni tabu, nahisi kuna mkono wa mtu hapa
 
Well yeye ni Mwenyekiti wa Kamati Bungeni na wote wanakamati ni Chadema, CCM na nilizima wazungumze na Wananchi si CCM tu hata wa Chadema, CUF, NCCR na vingine walikuwapo

Sio hiyo hoja izimwe he's free to choose whaever party he wanted 2 Join as he has right lakini kwenye picha hiyo sababu ni Kamati ya Bunge
 
Picha inapotosha.
Zitto pamoja na kamati ya bunge inayoshughulikia .....walitembelea Wilaya ya Ludewa ambapo Mbunge wa Ludewa mheshimiwa Deo Filikunjombe ni katibu wa hiyo kamati wakati wakiwa kazini kama kamati walipita vijiji vya Lupingu ambapo wananchi walikusanyika wakitaka kuongea na Deo ila deo alimwomba Zitto aongee nao sioni ubaya katika hilo.
kwa maelezo zaidi tafuta sredi imeandikwa Tunampenda Deo Filikunjombi Ludewa.
 
me sikubaliani na hilo kwani ninachoamini ni kwamba hao watu waliovaa kijani na njano hizo kwao ni kama mavazi as a basic need na hawamaanishi kuwa wamevaa hivyo kwa ajili ya ccm.......peoples........power..........
 
Hivi huyu Kupeng'e sio ms naona mtiririko wa maandiko na mada zake zinashahibiana isije ikawa tunapoteza muda kubishana na ms kwa jina jingine !
 
games hii thread ya nini?kumpa ujiko zitto? Who is zitto by the way? Magazeti au vyombo vya habari ndivyo vinavyowajenga hawa watu...fanya assumption..kama magazeti/vyombo vya habari hayato andika habari za zitto, who will know zitto? ..i agree with other pple..nothing will change...wapo watu..kufa kwao au kuhama kwao chama lazima kiyumbe..kaka zitto hajafikia hapo...wapo ktk siasa za tz fuatilia...

kweli mkuu. Huyu bwana hajafikia hicho kiwango, anasafari ndefu ya kisiasa
 
This is contingent issue, i dont think its wise to stress other people's mind for issue like this. Tusubiri itokee then itajulikana itakuwaje. Kuhama kwa Zitto ni maamuzi binafsi sana na yatakuwa na madhara binafsi pia.
 
Kuhama kwakwe Chadema hakuna madhara yeyote ndiyo kwanza utakuwa ni mwanzo wa kufilisika kwake kisiasa na hatimaye kuzamia kwenye meli waliyopanda wenzake akina Mrema na Mbatia.
 
Mwana CDM anaemake sense.....Zitto,Lema and Ndesamburo.The rest are so wack!
 
I dought the authenticity of this photo, it has been superimposed, these are two different photos, wataalam wa maswala ya photos watakuambia kitu kama hicho, kwanini isielezwe hapo ni wapi na lini ilichukuliwa, maana hata kupata recognition ya watu waliohudhuria inakuwa ni tabu, nahisi kuna mkono wa mtu hapa


wewe jamaa pumba kweli.

kwanini usiseme alikuwa anamwaga sera ili hao wa mama waachane na hivyo viremba vya bure vinavyogharimu maisha yao?
 
binafsi sipendelei personalities zinapokuwa popular kuliko chama na nadhani its about time chadema wakaaachana na mikutano ya hadhara kila kukicha na waka concentrate na mambo muhimu
kp_140.jpg

otherwise wataingia hiyo edward lowassa sydrome ambayo symptoms zake ni pamoja na kuona ofisi kama kituo cha polisi, kutoa amri za sikusaba saba na kuzunguka nchi kila kukicha

nakumbuka mrema naye alikuw ahivi hivi na nccr na najiuliza hivi leo zitto anaamua kujiunga na ccm au anaachana na siasa itakuwaje?

sidhani kama chadema inasimama kwa vile zitto yupo ndani. Hii ni dhana potofu.
 
Dhahabu ni dhahabu tu hata uipake matopo, mtaibuka mtapotea mtaibuka mtapotea. Yake yanamuendea, chuki haijengi, mwacheni kijana wawatu.
 
Yeye kawaambia anahama? Hii thread ni ya mwaka 2007 mpaka leo mnazungumzia Zitto kuhama,Zitto kuhama hamchoki? kwa taarifa yenu hahami yuko CDM na makamanda wengine wakipambana kuliangusha hili dude CCM. Tofauti ya kimtizamo inayoonekana kati ya Zitto na wengine ndani ya CDM ndiyo demokrasia ya kweli na ndiyo inayorutubisha chama. CDM sio kama CCM bwana, mlimsikia Makamba akiwaporomoshea matusi wale wazee wa Mfuko wa Nyerere eti kwa vile wametoa maoni yao tofauti na msimamo wa kundi fulani ndani ya CCM.
Kama mnafikiri Zitto atahama kuja CCM ili furaha yenu itimie hapo mmenoa, Kila mtu anaona dhahiri kuwa CCM inaelekea kufa au kuwa na hadhi kama UPDP au SAU katika miaka michache ijayo. Nani awezaye kujipeleka ICU?
 
kama anataka kujimaliza ahame!
Kama mdau wa karibu wa Chadema kuhama kwa Zitto, kungepunguza matatizo mengi sana ya Chadema.
Zitto amehusishwa sana kuwa na ukaribu mkubwa sana na usalama wa Taifa magazetingini - eg Mwanahalisi na hajajibu.

Akahusishwa na Rostam Azizi na gazeti hilo hilo kwa ushahidi wa maongezi ya simu - hajajibu.

Zitto ni chanzo cha kuvunjika kwa uchaguzi wa Bavicha baadaye ya kupenyeza Rushwa ndani ya umoja huo hadi Kamati kuu wakaahirisha uchaguzi.

Zitto anatabia ya kugawa makundi ndani ya Chama.Kwa mfano alikuwa anatumia kuwagawa wabunge wa Chadema KWA MISINGI YA UDINI ili wasimpinge Rais JK Ameshindwa. Chadema hatumkubali JK si kwa dini yake bali kwa Kushindwa kwake kudhibiti Mafisadi ambao wengi wao ni wakristo lakini maswahiba wake.

Nimesikia anataka kuwa mkiti wa Taifa wa Chadema mwaka 2013. Ajaribu kama hajaumbuka.

Mimi simkubali kabisa zitto.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom