Images: Pres Barack Obama in Senegal

Images: Pres Barack Obama in Senegal

Anafanya rehearsal na kamati ya Mamiss ili apate mapozi a maana si unajua camera za nje ndo zitatawala
Hachelewi kukataa picha kama itatokea picha ameweka pozi tutaambiwa kuanzia tarehe 5.07. 2013 picha rasmi ya mzee es kuhongwa suti ni.... ukikamatwa unatumia ya zamani kifungo miaka mitano....
 
Nasubiria nione tenge la Urafiki na lemba liloenda shule kutoka kwa ''festi ledi ''wetu mama Salma Kikwete,lazima amuonyeshe ''Mchele Obama'' kuwa nasi bongo twaweza tukiwezeshwa ala!
Wapi nyie nasikia amepanga kuomba nepi baada ya mara ya kwanza mmewe kuomba neti...
 
mtoto anaelewa kinachoendelea au atakuja asimuliwe tu akikua kuwa wewe ushawahi kubebwa na USA presida?


Afrika hatuachi asili, katoto kamejazwa hirizi shingoni hadi kanapata tabu! Na kwa vile kabebwa na rais wa Marekani, basi kila mmoja ataamini hirizi zina baraka!
 
Umekosa cha kuchangia.





imagine Rais angekuwa slaa angemtambulisha josephine " huyu ndio mchumba wangu nimempora mwanaume flani hivi..?" obama will be like dude WTF..?

hahahaha! aim soo glad hii nchi haindeshwi na CDM
 
Wasenegal

na Afrika kusini wamepewa fursa ya kuongea na rais anayetawala taifa
kubwa kabisa kwenye uso wa dunia,wamebeba mabango kupinga ushoga,sisi
tumeambiwa tutapigwa na Pinda.TUNAJENGA TUNABOMOA?Ni haki yetu na ndo
fursa ya mtu wa chini toka dunia ya tatu kutoa hisia zake za
ndani,angalau kwa kusimama pembeni mwa barabara na bango,ccm napo mnaona
tutawaabisha.ni woga wa ajabu sana,hata Obama ni mzoefu wa maandamano,wao wana falsfa yao inayomtaka kila mwananchi kujieleza kwa uhuru,acheni ufukara wa kifikra,ni janga kwa taifa
 
Duuuh Mie kila nikiwaza magay
akili haifanyi kazi ni juu ya nini?
Mie huwa sitaki hata kuwaza.Ila pia nachukia sana ubaguzi.So its a hot topic to many of us.Kama ingekuwa easy kusingekuwa hata na mjadala.So usijali coz you're not alone.
 
Obama si kwamba anapenda magay,ila ile dhambi na ule uchungu wa kubaguliwa unaweza kukubadilisha na ukakataa kiumbe yeyote asibaguliwe.Simtetei Obama lakini I understand where he comes from!

Wabongo wengi hasa walio bongo ni wagumu sana kulielewa hilo kwa sababu dhana nzima ya haki za binadamu ni kama 'foreign' kwao.

Nimegundua wale ambao wanaishi au wameshaishi kwenye nchi za Ulaya na Marekani ndiyo walau wanauelewa wa kutosha kuhusiana na hayo mambo ya haki za kibinadamu, usawa, n.k.

Wengi walio bongo ni kama vile wanawaona mashoga kama si binadamu na ushoga ni kosa. Wanashindwa kutambua kuwa mtu anaweza akawa ni shoga na akawa ni mtu mwema na mzuri sana.

Na mara nyingi ukiwauliza kama ikitokea wamejikuta na shida kubwa sana na mtu ambaye anaweza kuwasaidia ni shoga, je, watakataa msaada wake kisa tu yeye ni shoga ilhali wale ambao si mashoga wamekataa au wameshindwa kabisa kuwasaidia, wanaishiwa la kusema!
 
nimeipenda, inavutia kuona Rais anaonesha wazi anajali familia yake huyu wa kwetu sidhani kuna sehemu anaonekana akimpa kipaumbele mke au hata akiwa na familia kwa pamoja sehemu ila bora achunie tu maana wabongo hawakawii kusema anatumia pesa vibaya kwa kuongozana na familia yake.
 
Kama kawa kama dawa ila naona wamevaa bajaji watoto wa obama na mkewe vp maisha magum mpaka waje tz kutafta?
 
Mshoga hawabaguliwi kama binaadamu bali zinazowafanya wabaguliwe ni tabia zao kutumiana kwa jinsia moja kinyume na maumbile, hata wanyama hawana tabia hiyo, je iweje kwa binaadamu?
 
Back
Top Bottom