Images: Pres Barack Obama in Senegal

Images: Pres Barack Obama in Senegal

Moment kama hii ikifika, sijui Mama yetu Ze Festi Ledi ataweza kutema yai vizuri au itakuwa ni kutikisa kichwa na tabasamu kibaoooo....

5284812_orig.jpg
 
Obama si kwamba anapenda magay,ila ile dhambi na ule uchungu wa kubaguliwa unaweza kukubadilisha na ukakataa kiumbe yeyote asibaguliwe.Simtetei Obama lakini I understand where he comes from!
Prejudice is against human right. Homosexuals are there and are human
 
Kwetu sijui tutaenda kumtembeza wapi? Tumetelekeza vivutio vyetu vingi vya makumbusho, huko mbugani sijui kama kutakuwa na vyombo vizuri vya usafiri vya kuweza kumpakiza Rais wa USA kama tulishindwa kumsafirisha marehemu Michael Jackson. Itabidi tuwaombe Ze Komedi wampe shoo...

Mbugani kwenyewe Kinana ameshamaliza Tembo wote
 
Hivyo vitoto hivyo Malia na Sasha vinatoa udenda kweli aisee ningekuwa na kivulana kikubwa ningekisakizia kikajaribu bahati yake
 
jmushi1 said:
Obama si kwamba anapenda magay,ila ile dhambi na ule uchungu wa kubaguliwa unaweza kukubadilisha na ukakataa kiumbe yeyote asibaguliwe.Simtetei Obama lakini I understand where he comes from!
Nakubaliana na wewe kwenye hili

Mkuu jmushi1 ni matakwa ya MTAWALA WA DUNIA...
 
Last edited by a moderator:
Mie binti zao tu jamani lol!
Mabinti ni warembo kweli
 
Mie binti zao tu jamani lol!
Mabinti ni warembo kweli

Mbona ni mabinti wa kawaida sana....? Huo "urembo kweli" uko wapi? Au ni kwa vile tu ni watoto wa rais wa Marekani ndo maana unadai ni warembo kweli....?
 
Macho yangu na yako ni tofauti, unachokipenda wewe si lazima mimi nikipende wala ninachokipenda mimi si lazima wewe ukipende, macho yangu yameona kuwa ni warembo so sijakulazimisha wewe uamini kama ni warembo

Malia na Sasha ni warembo kwelikweli, hutaki kojoa ukalale


Mbona ni mabinti wa kawaida sana....? Huo "urembo kweli" uko wapi? Au ni kwa vile tu ni watoto wa rais wa Marekani ndo maana unadai ni warembo kweli....?
 
Macho yangu na yako ni tofauti, unachokipenda wewe si lazima mimi nikipende wala ninachokipenda mimi si lazima wewe ukipende, macho yangu yameona kuwa ni warembo so sijakulazimisha wewe uamini kama ni warembo

Malia na Sasha ni warembo kwelikweli, hutaki kojoa ukalale

Sioni urembo wowote ulio kwelikweli. Ni ubabaikaji wako tu kwa vile ni watoto wa rais wa Marekani. Hutaki jamba ukanye.:becky:
 
Moment kama hii ikifika, sijui Mama yetu Ze Festi Ledi ataweza kutema yai vizuri au itakuwa ni kutikisa kichwa na tabasamu kibaoooo....

5284812_orig.jpg

wewe yule alikuwa ticha wa A level halafu kapewa mazoezi ya kutosha na Mr. mi nahisi ndo sababu moja wapo ya kusogezwa mbele hii ziara, kuna walimu walikuwa wamemzunguka wa aina ya 'si uchawi english college' kuhakikisha hakumbani na changamoto kama hizo, pia lazima awsiliane na huyo mama kujua alikuwa anaongelea nini?
 
Duh, nice nice nice. Lakini hapa tu ndo ninapochoka, "...the visit came just hours after he clashed with his Senegalese hosts over gay rights":A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
 
mh! Ila wamependeza!....kumbuka uzuri nao unachangia!...ha haa
 
Back
Top Bottom