Mara kadhaa Rais na wapambe wake wakiwemo mawaziri wanapohisi kuna ubadhilifu katika fedha za umma huwaagiza TAKUKURU wafanye uchunguzi! Mtindo huu wa utawala ni wa hovyo kwani tayari fedha zinakuwa zimetumika vibaya. Jambo hili lingeweza kuepukika kama TAKUKURU wangeufahamu mradi tangu mwanzo na wakawa wanafuatilia hatua kwa hatua utekekezaji wake.
Kitendo cha kuwastukiza wakati mradi umekwisha au upo katika utekekezaji ni kutowatendea haki kwani kuna vingi watadanganywa.
Kwa utendaji huu wa kustukizwa mara zote TAKUKURU itaonekana kibogoyo!
Kitendo cha kuwastukiza wakati mradi umekwisha au upo katika utekekezaji ni kutowatendea haki kwani kuna vingi watadanganywa.
Kwa utendaji huu wa kustukizwa mara zote TAKUKURU itaonekana kibogoyo!