LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Haahaa ameula mwenzetuu...
Asante kwa jibu hili. Nilikuwa najiuliza uhusiano wa ubalozi na ukatibu mkuu.kwakupewa hadhi ya diplomatic inaendana.na kazi yake hio mpya.lazima awe na gamba jekundu na akifika nchi yoyte anakuwa na sawa ya hadhi ya diplomat.uwage unauliza ikiwa kitu una ujinga nacho
Siyo vizuri kuwacheka watu, hasa zama hizi ambazo watu kulazwa kwenye mitungi ya oxygen ni kawaida kama mzaramo kulala ngomani.Hahahaaaa...... hahahaaaa..... hahahaaaa......!
Nimekucheka sana na kukupuuza bwashee!
kaupata pamoja na ukatibu mkuu kwa mpigo ameteuliwa vyeo viwili wewe ndie huna habari.Sasa hivi ni balozi pia
Kwani yeye anakagua wapi? Acha kutisha watu. Labda kama atafanya siasa kuweka watu wake anaowataka.Serikalini mijizi mjiandae kukiona cha mtema kuni akiwa katibu mkuu CCM kapambana na mijizi kweli kweñi na kurudisha mali za chama
Sasa kaja serikalini mtamkoma Dk Bashiru
Hatukusikia juu ya kuteuliwa kwake kuwa balozi, au ukiteuliwa tu kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, automatically unakuwa balozi?kaupata pamoja na ukatibu mkuu kwa mpigo ameteuliwa vyeo viwili wewe ndie huna habari.Sasa hivi ni balozi pia
Wewe endelea kuandalia Wanaume Kahawa huku ukipiga vigelegele.Uongozi sio keki kama ruzuku ya chama mliyokuwa mkiila Chadema!
Uongozi ni kazi tena nzito hakuna keki hapo.
Yehodaya, kama ukiacha ushabiki, kiuhalisia, rushwa na ubadhirifu, bado sana ndani ya CCM na Serikali.Serikalini mijizi mjiandae kukiona cha mtema kuni akiwa katibu mkuu CCM kapambana na mijizi kweli kweñi na kurudisha mali za chama
Sasa kaja serikalini mtamkoma Dk Bashiru
Wewe peke yako ndio hujasikia na kusoma!Hatukusikia juu ya kuteuliwa kwake kuwa balozi, au ukiteuliwa tu kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, automatically unakuwa balozi?
Na ndivyo imekuwa hivyo wakati wote toka uongozi wa Mwalimu? Makatibu Wakuu Viongozi wote waliteuliwa pia kuwa mabalozi?
Marehemu Kijazi, najua alikuwa Balozi kwa sababu kabla ya uteuzi, alikuwa balozi nchini India.
Ufafanuzi - kutoka kwa mtu mwenye uelewa wa kutosha kuhusiana na hii nafasi.
Hakunaga kitu kama hicho. Sheria za kazi ziko wazi. Lazima uwe balozi kwanzakaupata pamoja na ukatibu mkuu kwa mpigo ameteuliwa vyeo viwili wewe ndie huna habari.Sasa hivi ni balozi pia
Kwani sheria zinafuatwa siku hizi!? Ni vurugu tuhakunaga kitu kama hicho. sheria za kazi ziko wazi. lazima uwe balozi kwanza
haha nguvu inatumika zaidi. naona wana jump hata sheria walioapa kuilinda.Kwani sheria zinafuatwa siku hizi!? Ni vurugu tu
Tupe elimu hiyo mkuu imeandikwa wap? Yaan sheria gani... mimi ni mwanafunz wew ni mwalimu wangu nipe nondo nipate faidahakunaga kitu kama hicho. sheria za kazi ziko wazi. lazima uwe balozi kwanza