BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Baada ya uteuzi huo, Dkt. Bashiru alitoa kauli kuwa nafasi hiyo ni ya kwanza na ya mwisho kwake na hatakubali kuteuliwa katika nafasi yoyote baada ya uteuzi huo.
Februari 26, 2021, Hayati Rais Magufuli, alimteua Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na siku hiyo hiyo aliteuliwa kuwa Balozi. Hata hivyo Machi 21, 2021 aliondolewa katika nafasi hiyo na kuteuliwa kuwa Mbunge.