Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 709
- 1,558
Hili liko wazi kuwa Bashiru kuendelea kuwa katibu Mkuu CCM baada ya kuwa katibu Mkuu Kiongozi ilikuwa ngumu. Magufuli alikuwa tayari ana plan B ya kumpata Katibu Mkuu CCM pamoja na Katibu Mwenezi CCM, maana Polepole tayari alikuwa ameshasukumizwa bungeni tayari.
Sasa mimi nauliza ni kina nani hao ambao walikuwa wameandaliwa kurithi mikoba ya kina Polepole na Bashiru? Je, ni hawa kina Chongolo na Shaka?
Sasa mimi nauliza ni kina nani hao ambao walikuwa wameandaliwa kurithi mikoba ya kina Polepole na Bashiru? Je, ni hawa kina Chongolo na Shaka?