denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Hicho kipengele cha katiba ni kama kimewatenga wananchi ambao kimsingi ndio wenye jukumu la kuwaweka viongozi.
Halafu mbaya zaidi huyo Rais anayekuja anakuwa na mamlaka ya kuunda upya Baraza lake la mawaziri, na kuwateua wote, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wapya kama akipenda kufanya hivyo.
Halafu mbaya zaidi huyo Rais anayekuja anakuwa na mamlaka ya kuunda upya Baraza lake la mawaziri, na kuwateua wote, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wapya kama akipenda kufanya hivyo.