Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

Lyndon Johnson ndiye rais wa Marekani wa mwisho kukalia kiti awamu ya 36 toka mwaka 1963 baada ya kuwa makamu wa rais. Je, nini kilifanyika mpaka leo, hakuna "died in office", tukajifunze?
Sahiv wanafanyaje?
 
Suala la katiba lipewe kipaumbele sana.

Katiba ni uhai.

Yapo mengi ya hatari sana kwenye katiba hii.

Lakini hili la Mrithi wa rais anayefariki dunia, kuwa ni makamu wa rais (automated) ni hatari sana kwa marais endapo tukipata Makamu asiyemwaminifu.

Pia linachangia sana kumuweka mbali makamu wa rais kuwa karibu na rais kwa hofu ya kutoaminia! (Naturally internal conflict)

Kwa gharama yoyote naomba tuanze na katiba inafaida kwetu sote matajiri na masikini, viongozi na watawaliwa.
ccm hawawezi jadili katiba mpya peke yao bungeni hawana jipya
 
Suala la katiba lipewe kipaumbele sana.

Katiba ni uhai.

Yapo mengi ya hatari sana kwenye katiba hii.

Lakini hili la Mrithi wa rais anayefariki dunia, kuwa ni makamu wa rais (automated) ni hatari sana kwa marais endapo tukipata Makamu asiyemwaminifu.

Pia linachangia sana kumuweka mbali makamu wa rais kuwa karibu na rais kwa hofu ya kutoaminia! (Naturally internal conflict)

Kwa gharama yoyote naomba tuanze na katiba inafaida kwetu sote matajiri na masikini, viongozi na watawaliwa.
Mimi naona kuna kitu Katiba imeachia hasa ikizingatiwa kuna Bara na Visiwani. Haipendezi Bara na Visiwani kuongozwa na Wanzazibar. Ingesema ikiwa VP ni Mzazibar endapo Rais atakufa /kujiuzulu apatikane VP toka Bara. Angeweza kuchaguliwa miongoni mwa Viongozi waandamizi Serikali I wanalijua Tz Bara nje na ndani.
 
Mimi naona kuna kitu Katiba imeachia hasa ikizingatiwa kuna Bara na Visiwani. Haipendezi Bara na Visiwani kuongozwa na Wanzazibar. Ingesema ikiwa VP ni Mzazibar endapo Rais atakufa /kujiuzulu apatikane VP toka Bara. Angeweza kuchaguliwa miongoni mwa Viongozi waandamizi Serikali I wanalijua Tz Bara nje na ndani.
Kwanini haipendezi bara na visiwani kuongozwa na wazanzibari?
 
Kuubadilisha katiba ya nchi ni wazi zuri Ila itachukua muda mwingi Sana kukusanya maoni na kuitunga.
Tuanze na katiba ya chama, katiba iondoe ukomo wa mwenyekiti, Kuna wenyeviti ving'ang'anizi sana.
Kaanza uenyekiti toka raisi mkapa, akaja kikwete, akaja magu, na Sasa Samia. Aah sio demokrasia hiyo
Maoni yepi tena? kwani hujui tuna katiba iko pending...
 
Ndugu watanzania napendekeza kipengele cha katiba ya Tanzania kinachompa Makamu wa Rais nafasi ya kurithi kiti cha Urais moja kwa moja kama ilivyotokea kwa Suluhu kibadilishwe haraka.

kwa sababu kipengele hicho kinahatarisha usalama wa Rais Makamu wa Rais anaweza kushawshika kumdhuru Rais ili yeye arithi nafasi hiyo. Kkundi cha watu wenye nia ovu na tamaa wanaweza kutumia mwanya huo ili kumuweka mtu wao.

Hivyo napendekeza kuwa mara baada ya kiti cha Urais kuwa wazi kwa sababu ya Kifo, maradhi au kuondolewa kwa sababu nyingine. Makamu wa Rais awe Rais wa mpito kwa muda na kuwe na uchaguzi mwingine hata kama ni gharama.
 
Kuna baadhi ya nchi hufanya hivyo. Ndani ya siku 90, uchaguzi wa Rais unafanyika tena. Ila kwa bahati mbaya nadhani sisi tumechukua mfumo wa nchi kama Marekani!

Kile kibabu Joe Biden kikatokea ghafla kikaanguka, na kwenyewe kutatokea tukio la kihistoria kwa Makamu wa Kwanza kabisa Mwanamama Camara Harris kukabidhiwa Nchi ya Kibeberu kuitawala
 
Sensible opinion.

Ni ushauri unaofikirisha sana japo kuna watu tayari wanadhani unamwonea wivu Mama Samia Suluhu.

Hawajui kuwa pengine hata miaka minne hii iliyobaki, makamu anayekuja (kwa mujibu wa hoja yako), kwa kutambua kumbe anaweza kuwa President just kwa boss wake kukata umeme tu, basi aweza kufanya yake ili mradi akalie kiti cha Urais...!
 
Sensible opinion....

Ni ushauri unaofikirisha sana japo kuna watu tayari wanadhani unamwonea wivu Mama Samia Suluhu..

Hawajui kuwa pengine hata miaka minne hii iliyobaki, makamu anatekuja (kwa mujibu wa hoja yako), VP anayekuja aweza kufanya yake ili mradi akalie kiti cha Urais...!
Hili jambo ni la msingi sana maana katiba imewacha sana nafasi ya mambo ya hovyo kufanyika
 
Watu wanaweza wasikuelewe hapa au hata usieleweke Kwao upesi ila umekuja si tu na Hoja nzuri na Muhimu lakini pia kuna Fumbo umelifumba hapa hasa kutokana na Tetesi za chini chini kuwa kuna Kundi fulani lenye Sifa ya Umafia na pia lina Pesa limecheza Mchezo wote Kiufundi kabisa na Mission ya Siku nyingi imekuwa Accomplished.

Nakubaliana nawe 100% juu ya Hoja yako Ndugu ili tuepuke Misiba mingine isiyo ya Kilazima huko mbeleni. Na hata aliyeshika hatamu sasa namshauri awe Makini kuliko wakati wowote kwani hata wanaomzunguka sasa wana Ubobezi mkubwa tu wa Kimafia na Wanajulikana kutokana na Washirika wao.
 
Back
Top Bottom