MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,224
- 22,305
Wachaga hasa wa Machame wana mambo ya kijinga mno. Binti akipata mtu ataulizwa kwanza jamaa anafanya kazi gani au ana biashara gani. Katika wachaga wote hawa Machame ndo wanapenda hela kupitiliza. Ukioa mmachame maisha yako yanakuwa hatarini.nakumbuka siku nilihuduria kikao cha msiba kanda ya kaskazini mimi kama mkwe wife kanitambulisha kwa mjomba wake kila dakika mjomba ananiuliza umekuja na gari gani
ikabidi tu nimpotezee wao wanadhani kila anayemwoa binti yao ni tajiri