Ikiwa Rais ndiye anatoa pesa zake kwa maendeleo ya nchi, Serikali inapeleka wapi kodi zetu?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,754
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina Pascal Mayalla wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Bajeti, lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR raraa reree imhotep FaizaFoxy dronedrake zitto junior Dkt Mohamed Attia Samia gang johnthebaptist
 
Hivi Serikali na Raisi nani anamlipa mwenzake mshahara? Serikali ndo inatoa pesa kwenda kwa wananchi au wananchi ndo wanatoka pesa kwenda Serikalini? Kumbuka ile hadithi ya kati ya mwaka mpya na Christmas kipi kinaanza kusherehekewa?
 
Hivi Serikali na Raisi nani anamlipa mwenzake mshahara? Serikali ndo inatoa pesa kwenda kwa wananchi au wananchi ndo wanatoka pesa kwenda Serikalini? Kumbuka ile hadithi ya kati ya mwaka mpya na Christmas kipi kinaanza kusherehekewa?
Raisi ndio anailipa serikali,alisikika chawa mmoja akisema
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
CCM ni washamba sana. Wana siasa za kijima
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Ni utaratibu wa uchawa na kujipendekeza kwa Rais, utaratibu ambao umeshika kasi sana siku za hivi karibuni. Ulianzia wakati wa mwendazake. Ni utaratibu ambao unaturudisha nyuma katika juhudi za kujenga demokrasia ya kweli.
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa Rais ambae ndie custodian wa pesa zote then anazitoa kwenye miradi mbalimbali.

Punguza ujinga ndugu na kujitoa ufahamu,hata vitani kamanda ndio husifiwa ila uliwahi muona mstari wa mbele wa vita?
 
"Rais katoa pesa" ni kauli ya kijinga inayotoka mdomoni mwa mpumbavu kumpamba mjinga ili naye aendelee kuneemeshwa au akiiba asishikwe kirahisi.
Wivu na chuki,kwani wewe hujui Rais ndio custodian wa pesa za Umma na ana amri ya kubadili matumizi anapoona inafaa?
 
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa Rais ambae ndie custodian wa pesa zote then anazitoa kwenye miradi mbalimbali.

Punguza ujinga ndugu na kujitoa ufahamu,hata vitani kamanda ndio husifiwa ila uliwahi muona mstari wa mbele wa vita?
Kama ungenyamaza nani angeujua ujinga wako?
Kwanini Kuna Bunge?
Kwanini Kuna Baraza la mawaziri?
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Back
Top Bottom