johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Tunakumbushana tu, Rais wa Awamu ya 5 Shujaa Magufuli alituachia wosia kuwa tukiendekeza Maandamano Uchumi wa nchi utayumba na hapatakuwa na Maendeleo yoyote.
Nalisema hili kwa sababu napitia nukuu zake mbalimbali kipindi hiki tunapoelekea kwenye Kumbukizi lake la miaka 3.
Mungu wa mbinguni Hayati Shujaa Magufuli, Tarehe 17 March ni Kumbukizi la Shujaa Magufuli.
Nalisema hili kwa sababu napitia nukuu zake mbalimbali kipindi hiki tunapoelekea kwenye Kumbukizi lake la miaka 3.
Mungu wa mbinguni Hayati Shujaa Magufuli, Tarehe 17 March ni Kumbukizi la Shujaa Magufuli.